Tuwakumbushe Yanga, mwaka huu tumekataza kujieleza sana

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Nimeshaona dalili hawa Yanga mwaka huu watakuwa na tantalila nyingi.

Embu ona mifano michache ya timu kubwa na hata zile ndogo zilivyosherehekea mwaka mpya.




Wenzetu wakaamua kutuangushia gazeti la kurasa mbili.


Halafu wanasema 2024 wamecheza mara mbili hatua ya makundi. Huu ni udanganyifu wa wazi kabisa. Hivi mafanikio ya timu tunayahesabu kwa mwaka au kwa msimu?
 
Mnaumia sana masikini🤔😌,...ligi mnaongoza ila hofu ni KUU..😄😄😄.
 
Kuna ushauri ulitolewa humu Jamii forums kwamba wawapime members afya ya akili
Sasa hapa unaweza kuona, wenye akili humu jukwaani tuko wachache
Hauna tofauti na yule mwenzako kila mada anaongelea class na form. Inaonyesha hizo mambo za class, form na afya ya akili bado ni mageni kwenu, mnakaushamba fulani kanashindwa kujificha.

Wewe nilikuorodheshea mambo 4 ambayo kila mada jibu lako lazima liwe moja wapo kati ya hayo. Nina uhakika jibu lako kwenye post yangu hii litakuwa moja ya majibu 4.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…