Tuwaombee Kenya, hali inazidi kuwa mbaya

Tuwaombee Kenya, hali inazidi kuwa mbaya

Msiwasingizie majirani kwa chuki zenu.
Hao si wakenya wala waganda
 
Msiwasingizie majirani kwa chuki zenu.
Hao si wakenya wala waganda
Hawa nao ni akina nani.
Screenshot_20200519-205118.png
 
Unaogopa kufa kwa Corona unaenda kifa kwa njaa
 
Habari wadau

Kwa pamoja Tuwaombee ndugu zetu wa Kenya wanao pitia wakat mgum kipindi hichi Cha Corona

Wananch wa Kenya wameshindwa kuvumilia serekal Yao na kuamua kufanya vurugu ikiwa ni moja ya harakat za kuto kukubalia na unyama wanao fanyiwa na viongoz wa nchi yao Kenya na viongozi wake wote wa ngazi za juu wanatakiwa wawasikilize wananch wao

RAIS Uhuru kinyata anaizika Kenya kwa mikono yake miwil uke unanii walio mwita Rais wetu huenda ukawa ni unanii wa Rais wao

Pia wapinzan wa TANZANIA mnatakiwa mtuambie mkiwa viongoz wa nchi mtakua mnaongoza nchi kwa matakwa yenu au matakwa ya wananchi?

Maana wananchi wa Tanzania wamerufisha na hatua za Rais Magufuli alizo chukua na ndio walizo ziunga mkono alafu nyie hamtak mnataka njia zenu na si za wananch Sasa Kati ya magufuli na nyie Nan dikteta?

Pia kinachoendelea Kenya kiwe somo kwenu




Shida mbaya sana.
Watu wanafungiwa ili kuepuka corona, lakini kwa sabau ya shida wanaandamana na kuchoma matairi eti waruhusiwe watoke ili wakakutane na corona.
 
Huwezi kua na tatizo moja ukaongeza lingine utashindwa kupambana tu njaa plas Corona Vita hio ni kubwa kwa nchi za kiafrica
Shida mbaya sana.
Watu wanafungiwa ili kuepuka corona, lakini kwa sabau ya shida wanaandamana na kuchoma matairi eti waruhusiwe watoke ili wakakutane na corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani alidanganya waTanzania kuna total lockdown Kenya?
Usiku pekee kuna curfew, watu walale nyumbani na familia zao. Mchana maisha ni kawaida. Tunaenda kazi kama kawaida, enda pale twitter mwangalie vile tuna foleni Nairobi juu ya watu kurudi maisha ya kawaida
 
Ahahahahaahah kumbe hamjaa kaa Lock down mlivyo kua mnajitapa
Nani alidanganya waTanzania kuna total lockdown Kenya?
Usiku pekee kuna curfew, watu walale nyumbani na familia zao. Mchana maisha ni kawaida. Tunaenda kazi kama kawaida, enda pale twitter mwangalie vile tuna foleni Nairobi juu ya watu kurudi maisha ya kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya imekumbwa na kipindu pindu Hali ni mbaya toka Jana wamesha kufa watu 10 Kenya kwa uzembe wake na ujinga wa kuwafungia watu mdan bila mipango amesababisha mripuko mwingine unao gharim maisha ya watu

KENYA sasaiv inapambana na
Corona
Kipindu pindu
Njaa
Na ujinga wa viongozi wao Mungu awasaidie wanach wasio na hatia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom