Tuwaombee mashabiki wa Simba, kwa sasa wanapita katika kipindi kigumu sana

Tuwaombee mashabiki wa Simba, kwa sasa wanapita katika kipindi kigumu sana

Diagnosis iko hivi;
  • Stress level iko juu
  • Wana msongo mkubwa wa mawazo
  • Hasira kali iliyo changanyika na njaa kali; and
  • Kujinyonga ni most natural and probable consequence.
Mungu awafanyie wepesi.
tuliza mshono we mwanayanga, yanga ilitakiwa ipate kipigo cha mbwa koko kutokana na uwanja wake kuzima taa wakati wa mchezo ili rivers wakiondoka wasihisi walifanyiwa hujuma. Mnapata ushindi katika mazingira tata halafu mnaanza kuzodoa wenzenu, tulia safari bado inaendele, mkichukua kombe rudi na ngebe zenu mtaeleweka kwa mashabiki wa simba, mpira unadunda ewe shabiki wa yanga
 
tuliza mshono we mwanayanga, yanga ilitakiwa ipate kipigo cha mbwa koko kutokana na uwanja wake kuzima taa wakati wa mchezo ili rivers wakiondoka wasihisi walifanyiwa hujuma. Mnapata ushindi katika mazingira tata halafu mnaanza kuzodoa wenzenu, tulia safari bado inaendele, mkichukua kombe rudi na ngebe zenu mtaeleweka kwa mashabiki wa simba, mpira unadunda ewe shabiki wa yanga
Maumivu yakizidi muone daktari
 
Wanajifariji na vineno vya uongo eti "hatuwadai simba" hamuwadai kivipi na wametolewa kwahiyo mnaidai yanga au🤣🤣
 
UTOPOLO
KINYESI
CHURA
GONGOWAZI
GONO FC
CONNECTION FC
MAMA J
KAHABA FC
NYANI FC
NDALA
MIHOGO FC
KANDAMBILI
MISUKULE
NYOKA FC
VIBWENGO FC
KABWILI FC
HIRIZ FC
[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Simba 2
Yanga 0
 
Nusu fainali ya shirikisho ndo mnaringa hivyo. Mbona hayo mashindano kabla hayajaitwa shirikisho (CAF Confederation) Simba alifika hadi fainali mwaka 1993
Historia haipigiwi makofi
Nusu fainali ya shirikisho ndo mnaringa hivyo. Mbona hayo mashindano kabla hayajaitwa shirikisho (CAF Confederation) Simba alifika hadi fainali mwaka 1993
 
Sisi washagiliaji, wapenzi wasimba hatunaga uwehu, shida ndogo ndogo wengi ni vigogo tosha we ulizia fanya tafiti kubwa asilimia kubwa sana watu wenye pesa ndio wanatushangilia Simba wachache sana ndio wanauchumi wakati , so hakunaga Simba ambaye ni wamaskini, na pia hatujaligi, kuwa mmetufunga Kisa hamjui kucheza mnaotea wengi w yanga niwamaskini , wachovu, wanamambo ya kiswahili, hawajielewi wanataje hawana utajiri mnabahatisha pesa .

Mnapanic , hamjiamini mmhamjieewi nyie mnajisifu tu ujinga kama Kenya wanawafunga SI shida Kenya ,Uganda wanawafunga , nyie mnaangalia point na mechi za hapa sio za nje ligi za maana . Angalia eti manara ni msemaji mkuu sijui akaona aibu akatolewa , anapesa zakuunga hadi mademu wanamkimbia eti harmonize ndio anasaidia kumlea mke wa manara , halafu wanaume wengi wa yanga nguvu za kiume hawanaga halafu automatic , Simba yetu haina ubaguzi ila nyie mnayo hadi wa dini siye aku hatuna wa dini
 
Angalau na wao wameweka rekodi mpya karne hii maana waliishi kwa kujificha mno.

.........acha wafurahie kwa muda kidogo
Huu ni muda sana sio kidogo......... YANGA itabeba kila takataka hadi mudi anune
 
Sisi washagiliaji, wapenzi wasimba hatunaga uwehu, shida ndogo ndogo wengi ni vigogo tosha we ulizia fanya tafiti kubwa asilimia kubwa sana watu wenye pesa ndio wanatushangilia Simba wachache sana ndio wanauchumi wakati , so hakunaga Simba ambaye ni wamaskini, na pia hatujaligi, kuwa mmetufunga Kisa hamjui kucheza mnaotea wengi w yanga niwamaskini , wachovu, wanamambo ya kiswahili, hawajielewi wanataje hawana utajiri mnabahatisha pesa .

Mnapanic , hamjiamini mmhamjieewi nyie mnajisifu tu ujinga kama Kenya wanawafunga SI shida Kenya ,Uganda wanawafunga , nyie mnaangalia point na mechi za hapa sio za nje ligi za maana . Angalia eti manara ni msemaji mkuu sijui akaona aibu akatolewa , anapesa zakuunga hadi mademu wanamkimbia eti harmonize ndio anasaidia kumlea mke wa manara , halafu wanaume wengi wa yanga nguvu za kiume hawanaga halafu automatic , Simba yetu haina ubaguzi ila nyie mnayo hadi wa dini siye aku hatuna wa dini
Tunaomba ambulance please, hii ni emergency case ya Mirembe
 
Back
Top Bottom