Sisi washagiliaji, wapenzi wasimba hatunaga uwehu, shida ndogo ndogo wengi ni vigogo tosha we ulizia fanya tafiti kubwa asilimia kubwa sana watu wenye pesa ndio wanatushangilia Simba wachache sana ndio wanauchumi wakati , so hakunaga Simba ambaye ni wamaskini, na pia hatujaligi, kuwa mmetufunga Kisa hamjui kucheza mnaotea wengi w yanga niwamaskini , wachovu, wanamambo ya kiswahili, hawajielewi wanataje hawana utajiri mnabahatisha pesa .
Mnapanic , hamjiamini mmhamjieewi nyie mnajisifu tu ujinga kama Kenya wanawafunga SI shida Kenya ,Uganda wanawafunga , nyie mnaangalia point na mechi za hapa sio za nje ligi za maana . Angalia eti manara ni msemaji mkuu sijui akaona aibu akatolewa , anapesa zakuunga hadi mademu wanamkimbia eti harmonize ndio anasaidia kumlea mke wa manara , halafu wanaume wengi wa yanga nguvu za kiume hawanaga halafu automatic , Simba yetu haina ubaguzi ila nyie mnayo hadi wa dini siye aku hatuna wa dini