cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
- Thread starter
- #21
Tunakemea nini na wewe unashauri nini!!
Yale yaleee...........
bora wee umesema kaka yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakemea nini na wewe unashauri nini!!
Yale yaleee...........
Jamii yetu bado ni homophobic sana. Sielewi kwa nini homosexuals wanakuwa ridiculed hivi wakati wao nao ni binadamu kama wengine.
U-homosexual wao haumaanishi wame cease kuwa binadamu. Ni vizuri kuheshimu haki za binadamu wote hata wale walio tofauti na wengi. Hatuwezi tukawa tunaimba injili za usawa wa fursa na haki huku tukiwatendea vibaya was[e]nge. Ni unafiki huo.
Kama ni haki na usawa basi haki na usawa iwe kwa wote. Kama ni kutendewa na kutenda heshima basi iwe hivyo kwa wote pia hata wenye divergent lifestyles.
baba eeh utanisamehe bure maana sitakaa niuone u-homosexual kuwa jambo la kawaida,yaani vitendo hivyo vinavyonitibua mtima hujui tu,acha niwe mnafiki lkn mashoga na wasagaji upande wangu washaji-cease-sha ubinadamu wao wenyewe.
imani yangu haikubaliani na hayo mambo na Mungu wangu alichokizwa sana na vitendo hivyo hata akashindwa kuvumilia kiasi cha kuiteketeza miji ya Sodoma na Gomora sasa wewe unataka tuwachekee!!!!.
kwanza nimesema tuwaombee na nikasisitiza kuwa siwachukii bali NACHUKIZWA NA MATENDO YAO hivyo babu weee acha kukurupuka na kuita wenzio eti 'wanafiki',,afu vipi kwani mbona unawatetea sana:confused2:!!!!.
sitakaa niwatetee ng'oooooo..
baba eeh utanisamehe bure maana sitakaa niuone u-homosexual kuwa jambo la kawaida,yaani vitendo hivyo vinavyonitibua mtima hujui tu,acha niwe mnafiki lkn mashoga na wasagaji upande wangu washaji-cease-sha ubinadamu wao wenyewe.imani yangu haikubaliani na hayo mambo na Mungu wangu alichokizwa sana na vitendo hivyo hata akashindwa kuvumilia kiasi cha kuiteketeza miji ya Sodoma na Gomora sasa wewe unataka tuwachekee!!!!.
kwanza nimesema tuwaombee na nikasisitiza kuwa siwachukii bali NACHUKIZWA NA MATENDO YAO hivyo babu weee acha kukurupuka na kuita wenzio eti 'wanafiki',,afu vipi kwani mbona unawatetea sana:confused2:!!!!.
sitakaa niwatetee ng'oooooo..
Jamii yetu bado ni homophobic sana. Sielewi kwa nini homosexuals wanakuwa ridiculed hivi wakati wao nao ni binadamu kama wengine.
U-homosexual wao haumaanishi wame cease kuwa binadamu. Ni vizuri kuheshimu haki za binadamu wote hata wale walio tofauti na wengi. Hatuwezi tukawa tunaimba injili za usawa wa fursa na haki huku tukiwatendea vibaya was[e]nge. Ni unafiki huo.
Kama ni haki na usawa basi haki na usawa iwe kwa wote. Kama ni kutendewa na kutenda heshima basi iwe hivyo kwa wote pia hata wenye divergent lifestyles.
Kuna watu ambao wanazaliwa kuwa heterosexuals, huwezi kuwabadilisha na kama ukitaka kuwabadilisha utakuwa unawaonea. Kuna wengine wamezaliwa Homos, ukitaka kuwabadilisha utawaonea.
Siungi mkono homosexuality, lakini ni lazima tuwaheshimu homos. Kuwa homo sio kucease kuexist kuwa binadamu, na kuwa hetero haina maana kuwa wew ndio binadamu perfect. jaribu kuangalia why are they homos. Kama wanaiga tu mambo ya California basi watakuwa wajinga sana, lakini kama wamezaliwa hivyo, ni binadamu wana haki zao, Acha wasishi dunia yao as long as hawawabugudhi wengine. Nadhani wanamjua Mungu kama wengine wanavyomjua, na huenda wanajua vizuri sana sodoma na gomora, no need to remind them.
ila huyo dogo mwenye nywele za gold ni model uwa anaonyesha mavazi kwenye fashion show ni mzanzibari sidhani kama ni shoga nadhani ni mwonekani tu kwenye hizo picha lakini ni model maarufu tu Zenji na mara chache uwa anaonyesha mavazi Dar tusimhukumu bure hapa maana kuna wa-congo wanajichubua na kuvaa vipini mpaka mdomoni (midume) lakini hawajasemwa kisa wacongo ila huyo dogo nadhani si shoga ila sina uhakika
Jamii yetu bado ni homophobic sana. Sielewi kwa nini homosexuals wanakuwa ridiculed hivi wakati wao nao ni binadamu kama wengine.
U-homosexual wao haumaanishi wame cease kuwa binadamu. Ni vizuri kuheshimu haki za binadamu wote hata wale walio tofauti na wengi. Hatuwezi tukawa tunaimba injili za usawa wa fursa na haki huku tukiwatendea vibaya was[e]nge. Ni unafiki huo.
Kama ni haki na usawa basi haki na usawa iwe kwa wote. Kama ni kutendewa na kutenda heshima basi iwe hivyo kwa wote pia hata wenye divergent lifestyles.
sisi huku kijijini tunajua model ni mwanamke tu. please nipe darasa kumbe kuna model wanaume?? ndiyo maana wanaishia kuwa mashoga
Ngabu,Jamii yetu bado ni homophobic sana. Sielewi kwa nini homosexuals wanakuwa ridiculed hivi wakati wao nao ni binadamu kama wengine.
U-homosexual wao haumaanishi wame cease kuwa binadamu. Ni vizuri kuheshimu haki za binadamu wote hata wale walio tofauti na wengi. Hatuwezi tukawa tunaimba injili za usawa wa fursa na haki huku tukiwatendea vibaya was[e]nge. Ni unafiki huo.
Kama ni haki na usawa basi haki na usawa iwe kwa wote. Kama ni kutendewa na kutenda heshima basi iwe hivyo kwa wote pia hata wenye divergent lifestyles.
Ni wewe broda wasema hayo...? may u be forgiven...bure!!!
Ngabu,
Hapa mimi nafikiri issue si ubinadamu, ubinadamu wao unabaki kama kawa, Hapa ni Maadili zaidi, maadili yetu ya Kiafrika toka enzi za babu zetu. Ni kweli kwamba wenzetu wameendelea sana mpaka mambo kama haya wanaona ni ya kawaida, Lakini effect yake ni kubwa sana katika jamii yetu. Kama wanaume watakuwa was[e]nge Tunawezaje kujenga Familia? Zenye maadili ? Na tunajua kuwa familia ndio zinazaa Taifa, Je hili taifa litakuwa la aina gani? Kuzuia mmomonyoko zaidi wa maadili lazima tukemee hadharani kwamba hii tabia siyo nzuri katika jamii!! Kijiko na kiwe kijiko , Tusonge.
hata mtu atumie terminology za kidhungu nisichokielewa bado hatani-convice kuwayakubali haya matendo sanasana nitaishia kumuonea huruma na kusema 'baba msamehe hajui asemalo'
You are entitled to hold whatever opinions you have so long as you don't harm anyone...najua sina power yakuutokomeza -uhomosexual lkn kama tutajitahidi kuuongealea in a negative way tunaweza kuokoa roho mbili tatu zilizopotea tayari na zile ambazo zinataka kujaribu.
thank you.
Nyinyi hamuelewi kabisa misingi ya haki za binadamu na mmejawa na ubaguzi na chuki ya hali ya juu. Hilo ndio tatizo lenu.
NN homosexuality tanzania ni kosa la jinai,je ni sahihi kusema jamii yetu haikubaliani na tabia na vitendo vya gays??na ndicho wachangiaji wengi humu wanachofanya[kukemea homosexuality kwasababu jamii yetu i.e tznians hairuhusu]