tuwaombeeni...


natamani kuwaambiwa 'mshindwe na mlegee' lkn nasita maana tayari 'wao kwisa legea'.

naomba tuwaombee hawa wapendwa watokwe na huo ulegevu na kugangamara tena kiume.


Sioni tatizo apo.
hiyo ni kazi kama kazi za kimodel zingine.
Kama wanalipwa kwa kuvaa hayo mavazi, tatizo liko wapi?
Wao hawakubahatika pengine kusoma shule nzuri kama za kwenu au pengine wanakipaji cha kutangaza mavazi, asa wangeiba?

Mbona akina Joti na akina wakuvanga (ze komedi) wanajilegezaga zaidi na hujaweka pics/utube zao humu?

Hayo ni mawazo yako, amalasivyo njoo na pics wakiwa wameshikishwa ukuta ndo tujue pa kuanzia kujadili hii topic.
 
Ni memba wa JF huyo mbona! ID yake ni..........
 


Ngabu,
Magay, Ni binadamu kama mimi na wewe, na wengine wanaweza kuwa ni ndugu na jamaa zetu, Tunapozungumzia Haki za binadamu zinajumuisha mambo mengi sana,Mojawapo ni kutobaguana, na ndiyo maana hatuwabagui. Lakini hatukubali Tabia zao, tunawapinga bila kuwabagua. Unapopingana na mtu haina maana kuwa hana HAKI!,au siyo Binadamu, Hapana.
Katiba ya Jamuhuri ya Muungano inasimamia wazi haki za Msingi za Kila Mtanzania, Lakini Sheria za Tanzania kwa sasa bado zinapinga matendo ya kujamiiana kwa jinsia moja, na ndugu Pia.
Lakini Pia, usisahau kuwa kwa Mtanzania Kuingiliana kinyume cha maumbile ni kinyume na Utamaduni wetu. Inawezekana tuko nyuma ya wakati lakini ukweli ndio huo. Nina wajibu wa kusimamia maadili, kila ninapopata nafasi mahali siachi kusema, na nitasema kwa sababu mambo haya tukiyaacha yatakuja kuaharibu kabisa Taifa letu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…