Mwandishi wa habari anaekaa mkao wa kuteuliwateuliwa kwenye siasa hawezi kufanya kazi za mhimili wa nne (4) wa dola. Mwandishi habari wa Kenya Ni zaidi Sana ya mwandishi wetu.
👇
Mkuu nikupe nafasi alafu uanze kuniponda, inaingia akilini kweli? Hata ukisimamia taaluma yako bado utakuwa na hofu juu yangu (boss wako)
Pascal Mayalla na kipindi chache Cha kiti Moto ndio aina ya waandishi wa habari wenye viwango vya kimataifa, sijui nae alibanwa wapi.
👇
Asingeweza kukiendeleza pasi udhamini, gharama ni kubwa pamoja ni freelance mpaka tulipofika mfumo ungembana angetaka sifa kuwabana wanasiasa wa ccm ili aonekane ambapo kanuni na sheria zinabana kwa sasa.