Tuwapuuze CHADEMA na suala la Katiba mpya, wana ajenda ya siri

Tuwapuuze CHADEMA na suala la Katiba mpya, wana ajenda ya siri

Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi. Kwa pamoja mjibu Chama kiendelee.

Nimeona leo niweke hili suala la katiba sawa ili kusaidia wajinga wengi wasioelewa na kuishia kuchotwa kijinga na Chama Cha Mbowe (Chadema).

Siku za hivi karibuni kumekuwa na kuhamasishana huko upande wa upinzani kutaka katiba mpya kwa maana iliyopo haifai. Kwa haraka haraka waweza kudhani wapinzani wana nia njema kumbe hakuna. Nitafafanua bila kutoza gharama yoyote ikiwa kama shukrani kwa mwenyezi kwa hii akili kubwa niliyojaliwa ili kusaidia binadamu wenzangu.

Kabla ya kuongelea CHADEMA na suala lao lazima tukubaliane watanzania wengi hawajasoma hii katiba mpya kujua yaliyomo. Wewe unayesoma hapa kuna ibara gani ya katiba waweza ikumbuka na kilichomo humo? Kwahiyo kabla ya kutaka katiba mpya lazima wawaeleze wafuasi wao kuisoma na kuielewa katiba iliyopo.

Kuwaswaga watu kama mifugo sio sawa. Kwa tunaoifahamu katiba hii iliyopo tunakubali kwamba ina mapungufu mengi hasa kwa nyakati hizi za vyama vingi na mabadiliko mbalimbali duniani. Kama enzi za Nyerere aliona ina mapungufu, je vipi nyakati hizi? Haina ubishi lazima kuna marekebisho yafanyike. Kwa mfano sifa ya mbunge ya kujua kusoma na kuandika imepitwa na wakati. Taifa kwa sasa lina wasomi wengi sana kwahiyo hakuna haja ya kupeleka bungeni watu wasio na elimu. Mifano ni mingi sana ya mapungufu kwenye katiba.

Kwanini tuwapuuze CHADEMA? Tunawapuuza kwasababu nia yao ni kutaka katiba itakayowawezesha kushika madaraka na kunufaisha genge la viongozi wachache na sio kumnufaisha mwananchi. Wakati ule wa mchakato wa kupata katiba mpya kupitia rasimu ya Warioba tuliona jinsi gani viongozi wa CHADEMA walivyoweka maslahi yao mbele kwa kudai serikali tatu kwanza badala ya kurekebisha mambo yanayomgusa mwananchi moja kwa moja.

Serikali tatu ni kumuongezea mwananchi gharama ya kuziendesha. Kwahiyo CHADEMA wanataka mabadiliko kwa manufaa ya viongozi sio wananchi wote. Nawasihi wananchi wote tutafute namna nyingine ya kubadili katiba yetu bila kutumjka na hili genge lenye maslahi binafsi.
Kwa maoni yangu na dhana naona kama seif alikula dili na mbowe kusaidia kuvunja muungano kwa chadema kudai katiba mpya ya serikali tatu. Seif alijua chini ya serikali tatu tanganyika itakua na rais wake kwa sababu isingekubali zanzibar wawe na rais halafu tanganyika haina rais. Walijua serikali ya muungano yenye madaraka madogo kwa washirika ingekua dhaifu na kuiangusha ingehitaji kazi ndogo tu. Ingehitaji zanzibar kuanzisha ukorofi kwenye muungano na tanganyika yenye rais 'yeltsin' wake ingekua rahisi tu kumwacha rais wa jamhuri 'gobachev' bila nchi ya kuongoza. Kwa waelewa wataelewa kwa nini wapinzani wakiongozwa na chadema walitoka kwenye bunge la katiba mara baada ya kudhihirika walichokua wanatafuta kimekosekana..yaani serikali tatu lengo likiwa hatimae kuvunja jamhuri ya muungano wa tanzania.
 
Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi. Kwa pamoja mjibu Chama kiendelee.

Nimeona leo niweke hili suala la katiba sawa ili kusaidia wajinga wengi wasioelewa na kuishia kuchotwa kijinga na Chama Cha Mbowe (Chadema).

Siku za hivi karibuni kumekuwa na kuhamasishana huko upande wa upinzani kutaka katiba mpya kwa maana iliyopo haifai. Kwa haraka haraka waweza kudhani wapinzani wana nia njema kumbe hakuna. Nitafafanua bila kutoza gharama yoyote ikiwa kama shukrani kwa mwenyezi kwa hii akili kubwa niliyojaliwa ili kusaidia binadamu wenzangu.

Kabla ya kuongelea CHADEMA na suala lao lazima tukubaliane watanzania wengi hawajasoma hii katiba mpya kujua yaliyomo. Wewe unayesoma hapa kuna ibara gani ya katiba waweza ikumbuka na kilichomo humo? Kwahiyo kabla ya kutaka katiba mpya lazima wawaeleze wafuasi wao kuisoma na kuielewa katiba iliyopo.

Kuwaswaga watu kama mifugo sio sawa. Kwa tunaoifahamu katiba hii iliyopo tunakubali kwamba ina mapungufu mengi hasa kwa nyakati hizi za vyama vingi na mabadiliko mbalimbali duniani. Kama enzi za Nyerere aliona ina mapungufu, je vipi nyakati hizi? Haina ubishi lazima kuna marekebisho yafanyike. Kwa mfano sifa ya mbunge ya kujua kusoma na kuandika imepitwa na wakati. Taifa kwa sasa lina wasomi wengi sana kwahiyo hakuna haja ya kupeleka bungeni watu wasio na elimu. Mifano ni mingi sana ya mapungufu kwenye katiba.

Kwanini tuwapuuze CHADEMA? Tunawapuuza kwasababu nia yao ni kutaka katiba itakayowawezesha kushika madaraka na kunufaisha genge la viongozi wachache na sio kumnufaisha mwananchi. Wakati ule wa mchakato wa kupata katiba mpya kupitia rasimu ya Warioba tuliona jinsi gani viongozi wa CHADEMA walivyoweka maslahi yao mbele kwa kudai serikali tatu kwanza badala ya kurekebisha mambo yanayomgusa mwananchi moja kwa moja.

Serikali tatu ni kumuongezea mwananchi gharama ya kuziendesha. Kwahiyo CHADEMA wanataka mabadiliko kwa manufaa ya viongozi sio wananchi wote. Nawasihi wananchi wote tutafute namna nyingine ya kubadili katiba yetu bila kutumjka na hili genge lenye maslahi binafsi.
Sijui tuchague lipi mara watanzania wengi hawajui kusoma kwaiyo hawaielewi katiba iliyopo mara ooh inatakiwa ifanyiwe malekebisho kuwa na mbunge wa kujua kusoma na kuandika imepitwa na wakati watanzania wengi wamesoma mkuu tuchague lipi?
 
Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi. Kwa pamoja mjibu Chama kiendelee.

Nimeona leo niweke hili suala la katiba sawa ili kusaidia wajinga wengi wasioelewa na kuishia kuchotwa kijinga na Chama Cha Mbowe (Chadema).

Siku za hivi karibuni kumekuwa na kuhamasishana huko upande wa upinzani kutaka katiba mpya kwa maana iliyopo haifai. Kwa haraka haraka waweza kudhani wapinzani wana nia njema kumbe hakuna. Nitafafanua bila kutoza gharama yoyote ikiwa kama shukrani kwa mwenyezi kwa hii akili kubwa niliyojaliwa ili kusaidia binadamu wenzangu.

Kabla ya kuongelea CHADEMA na suala lao lazima tukubaliane watanzania wengi hawajasoma hii katiba mpya kujua yaliyomo. Wewe unayesoma hapa kuna ibara gani ya katiba waweza ikumbuka na kilichomo humo? Kwahiyo kabla ya kutaka katiba mpya lazima wawaeleze wafuasi wao kuisoma na kuielewa katiba iliyopo.

Kuwaswaga watu kama mifugo sio sawa. Kwa tunaoifahamu katiba hii iliyopo tunakubali kwamba ina mapungufu mengi hasa kwa nyakati hizi za vyama vingi na mabadiliko mbalimbali duniani. Kama enzi za Nyerere aliona ina mapungufu, je vipi nyakati hizi? Haina ubishi lazima kuna marekebisho yafanyike. Kwa mfano sifa ya mbunge ya kujua kusoma na kuandika imepitwa na wakati. Taifa kwa sasa lina wasomi wengi sana kwahiyo hakuna haja ya kupeleka bungeni watu wasio na elimu. Mifano ni mingi sana ya mapungufu kwenye katiba.

Kwanini tuwapuuze CHADEMA? Tunawapuuza kwasababu nia yao ni kutaka katiba itakayowawezesha kushika madaraka na kunufaisha genge la viongozi wachache na sio kumnufaisha mwananchi. Wakati ule wa mchakato wa kupata katiba mpya kupitia rasimu ya Warioba tuliona jinsi gani viongozi wa CHADEMA walivyoweka maslahi yao mbele kwa kudai serikali tatu kwanza badala ya kurekebisha mambo yanayomgusa mwananchi moja kwa moja.

Serikali tatu ni kumuongezea mwananchi gharama ya kuziendesha. Kwahiyo CHADEMA wanataka mabadiliko kwa manufaa ya viongozi sio wananchi wote. Nawasihi wananchi wote tutafute namna nyingine ya kubadili katiba yetu bila kutumjka na hili genge lenye maslahi binafsi.

Mimi sio Chadema bali ni ccm, lakini katiba mpya ni muhimu na tunaomba ipitishwe... tatizo wengi wenu mpo kishabiki na chuki, wala hamjui nini maana ya katiba.


Mungu ajaalie katiba mpya ipitishwe!
 
Mimi sio Chadema bali ni ccm, lakini katiba mpya ni muhimu na tunaomba ipitishwe... tatizo wengi wenu mpo kishabiki na chuki, wala hamjui nini maana ya katiba.


Mungu ajaalie katiba mpya ipitishwe!
Wao wanadhani katiba ni kwa ajili ya chadema na upinzani, ccm wajitaidi kuwanoa makada wao hasa uvccm
 
Kwa maoni yangu na dhana naona kama seif alikula dili na mbowe kusaidia kuvunja muungano kwa chadema kudai katiba mpya ya serikali tatu. Seif alijua chini ya serikali tatu tanganyika itakua na rais wake kwa sababu isingekubali zanzibar wawe na rais halafu tanganyika haina rais. Walijua serikali ya muungano yenye madaraka madogo kwa washirika ingekua dhaifu na kuiangusha ingehitaji kazi ndogo tu. Ingehitaji zanzibar kuanzisha ukorofi kwenye muungano na tanganyika yenye rais 'yeltsin' wake ingekua rahisi tu kumwacha rais wa jamhuri 'gobachev' bila nchi ya kuongoza. Kwa waelewa wataelewa kwa nini wapinzani wakiongozwa na chadema walitoka kwenye bunge la katiba mara baada ya kudhihirika walichokua wanatafuta kimekosekana..yaani serikali tatu lengo likiwa hatimae kuvunja jamhuri ya muungano wa tanzania.
Iangaliwe kwa umakini faida na hasara za muungano ikibidi itolewe elimu kuhusu faida na hasara then kuwe na opinion poll, umeng'ang'ania ya kuwa nia ya CHADEMA ni serikali tatu ili baadaye wauvunje muungano hebu toa ushahidi wa hilo na ufafanue hizo serikali mbili zinakusaidia nini na kama unaogopa gharama za kuendesha serikali tatu basi tuwe na serikali moja ili kupunguza gharama zisizo za lazima.
 
MPUUZI kweli wewe!

Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi. Kwa pamoja mjibu Chama kiendelee.

Nimeona leo niweke hili suala la katiba sawa ili kusaidia wajinga wengi wasioelewa na kuishia kuchotwa kijinga na Chama Cha Mbowe (Chadema).

Siku za hivi karibuni kumekuwa na kuhamasishana huko upande wa upinzani kutaka katiba mpya kwa maana iliyopo haifai. Kwa haraka haraka waweza kudhani wapinzani wana nia njema kumbe hakuna. Nitafafanua bila kutoza gharama yoyote ikiwa kama shukrani kwa mwenyezi kwa hii akili kubwa niliyojaliwa ili kusaidia binadamu wenzangu.

Kabla ya kuongelea CHADEMA na suala lao lazima tukubaliane watanzania wengi hawajasoma hii katiba mpya kujua yaliyomo. Wewe unayesoma hapa kuna ibara gani ya katiba waweza ikumbuka na kilichomo humo? Kwahiyo kabla ya kutaka katiba mpya lazima wawaeleze wafuasi wao kuisoma na kuielewa katiba iliyopo.

Kuwaswaga watu kama mifugo sio sawa. Kwa tunaoifahamu katiba hii iliyopo tunakubali kwamba ina mapungufu mengi hasa kwa nyakati hizi za vyama vingi na mabadiliko mbalimbali duniani. Kama enzi za Nyerere aliona ina mapungufu, je vipi nyakati hizi? Haina ubishi lazima kuna marekebisho yafanyike. Kwa mfano sifa ya mbunge ya kujua kusoma na kuandika imepitwa na wakati. Taifa kwa sasa lina wasomi wengi sana kwahiyo hakuna haja ya kupeleka bungeni watu wasio na elimu. Mifano ni mingi sana ya mapungufu kwenye katiba.

Kwanini tuwapuuze CHADEMA? Tunawapuuza kwasababu nia yao ni kutaka katiba itakayowawezesha kushika madaraka na kunufaisha genge la viongozi wachache na sio kumnufaisha mwananchi. Wakati ule wa mchakato wa kupata katiba mpya kupitia rasimu ya Warioba tuliona jinsi gani viongozi wa CHADEMA walivyoweka maslahi yao mbele kwa kudai serikali tatu kwanza badala ya kurekebisha mambo yanayomgusa mwananchi moja kwa moja.

Serikali tatu ni kumuongezea mwananchi gharama ya kuziendesha. Kwahiyo CHADEMA wanataka mabadiliko kwa manufaa ya viongozi sio wananchi wote. Nawasihi wananchi wote tutafute namna nyingine ya kubadili katiba yetu bila kutumjka na hili genge lenye maslahi binafsi.
 
Wewe takataka unataka tukariri katiba kwani ndio inatuletea ugali mezani?
 
Kwa maoni yangu na dhana naona kama seif alikula dili na mbowe kusaidia kuvunja muungano kwa chadema kudai katiba mpya ya serikali tatu. Seif alijua chini ya serikali tatu tanganyika itakua na rais wake kwa sababu isingekubali zanzibar wawe na rais halafu tanganyika haina rais. Walijua serikali ya muungano yenye madaraka madogo kwa washirika ingekua dhaifu na kuiangusha ingehitaji kazi ndogo tu. Ingehitaji zanzibar kuanzisha ukorofi kwenye muungano na tanganyika yenye rais 'yeltsin' wake ingekua rahisi tu kumwacha rais wa jamhuri 'gobachev' bila nchi ya kuongoza. Kwa waelewa wataelewa kwa nini wapinzani wakiongozwa na chadema walitoka kwenye bunge la katiba mara baada ya kudhihirika walichokua wanatafuta kimekosekana..yaani serikali tatu lengo likiwa hatimae kuvunja jamhuri ya muungano wa tanzania.
Case closed. Hii ni point
 
Wewe takataka unataka tukariri katiba kwani ndio inatuletea ugali mezani?
Kikiboxer mbona unashindwa kuficha upuuzi wako? Huoni kama ni vema kwamba angalau mumeo na wazazi wako ndo wabaki kuwa watu wanaofahamu upuuzi wako?
 
Sijui tuchague lipi mara watanzania wengi hawajui kusoma kwaiyo hawaielewi katiba iliyopo mara ooh inatakiwa ifanyiwe malekebisho kuwa na mbunge wa kujua kusoma na kuandika imepitwa na wakati watanzania wengi wamesoma mkuu tuchague lipi?
Ninachopinga ni CHADEMA kuwahadaa wananchi huku wakijua kabisa nia yao ni kujinufaisha viongozi wachache. Tutatoka kwenye mabaya ya CCM na kupambana na ya CHADEMA.
 
Back
Top Bottom