Tuwapuuze CHADEMA na suala la Katiba mpya, wana ajenda ya siri

Tuwapuuze CHADEMA na suala la Katiba mpya, wana ajenda ya siri

Hakuna heshima kuhusu kusema ukweli wa nchi kuvurugwa na watu wachache ili kung’ang’ania madarakani.
Kwanini heshima uliyojijengea kwa muda mrefu hapa JF unaiharibu kwa neno moja tu?...
 
Lishe bora ni muhimu sana kwa mtoto, mtoto asipopata lishe bora akiwa mtu mzima madhara yake ni kama yanavyoonekana kwa mleta mada. Punguani kabisa
 
Kikiboxer mbona unashindwa kuficha upuuzi wako? Huoni kama ni vema kwamba angalau mumeo na wazazi wako ndo wabaki kuwa watu wanaofahamu upuuzi wako?
Asee wewe takataka ni hasara kwa bwana ako, mama yako na taifa kwa ujumla.
 
Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi. Kwa pamoja mjibu Chama kiendelee.

Nimeona leo niweke hili suala la katiba sawa ili kusaidia wajinga wengi wasioelewa na kuishia kuchotwa kijinga na Chama Cha Mbowe (Chadema).

Siku za hivi karibuni kumekuwa na kuhamasishana huko upande wa upinzani kutaka katiba mpya kwa maana iliyopo haifai. Kwa haraka haraka waweza kudhani wapinzani wana nia njema kumbe hakuna. Nitafafanua bila kutoza gharama yoyote ikiwa kama shukrani kwa mwenyezi kwa hii akili kubwa niliyojaliwa ili kusaidia binadamu wenzangu.

Kabla ya kuongelea CHADEMA na suala lao lazima tukubaliane watanzania wengi hawajasoma hii katiba mpya kujua yaliyomo. Wewe unayesoma hapa kuna ibara gani ya katiba waweza ikumbuka na kilichomo humo? Kwahiyo kabla ya kutaka katiba mpya lazima wawaeleze wafuasi wao kuisoma na kuielewa katiba iliyopo.

Kuwaswaga watu kama mifugo sio sawa. Kwa tunaoifahamu katiba hii iliyopo tunakubali kwamba ina mapungufu mengi hasa kwa nyakati hizi za vyama vingi na mabadiliko mbalimbali duniani. Kama enzi za Nyerere aliona ina mapungufu, je vipi nyakati hizi? Haina ubishi lazima kuna marekebisho yafanyike. Kwa mfano sifa ya mbunge ya kujua kusoma na kuandika imepitwa na wakati. Taifa kwa sasa lina wasomi wengi sana kwahiyo hakuna haja ya kupeleka bungeni watu wasio na elimu. Mifano ni mingi sana ya mapungufu kwenye katiba.

Kwanini tuwapuuze CHADEMA? Tunawapuuza kwasababu nia yao ni kutaka katiba itakayowawezesha kushika madaraka na kunufaisha genge la viongozi wachache na sio kumnufaisha mwananchi. Wakati ule wa mchakato wa kupata katiba mpya kupitia rasimu ya Warioba tuliona jinsi gani viongozi wa CHADEMA walivyoweka maslahi yao mbele kwa kudai serikali tatu kwanza badala ya kurekebisha mambo yanayomgusa mwananchi moja kwa moja.

Serikali tatu ni kumuongezea mwananchi gharama ya kuziendesha. Kwahiyo CHADEMA wanataka mabadiliko kwa manufaa ya viongozi sio wananchi wote. Nawasihi wananchi wote tutafute namna nyingine ya kubadili katiba yetu bila kutumjka na hili genge lenye maslahi binafsi.

Usingewapuuza cdm, ingebidi cdm wajiangalie wanakosea wapi. Ila kwakuwa umewapuuza hapo inabidi cdm wajue wako sahihi kabisa. Ni hivi, katiba mpya ni lazima maana wananchi tumeelewa somo hilo, hasa baada ya ccm kutuletea rais muovu aliyeko kuzimu hivi sasa, na kushindwa kumdhibiti kwa siasa zake za kihayawani.
 
Suala la katiba halikuanzishwa na Chadema Rais wa awamu ya nne Mh. Kikwete alilianzisha hili baada ya tume tatu zote zikiongozwa na watu mashuhuri kuona ulazima huo Majaji Mh.Francis Nyalali,Kisanga, mwanasheria mkuu mstaafu Mark Bomani na Mwanazuoni mashuhuri Prof. Aliyesema katiba tuliyonayo siyo ya wananchi. Unapotoa hoja usibebwe na mahaba ya chama na ndiyo yanawatesa baada ya Magufuri kuondoka mnajawa na wasiwasi hamna hakika Mama ataamua Nini maaa katiba iliyopo inampa mamlaka makubwa ya kufanya chochote.
 
Usingewapuuza cdm, ingebidi cdm wajiangalie wanakosea wapi. Ila kwakuwa umewapuuza hapo inabidi cdm wajue wako sahihi kabisa. Ni hivi, katiba mpya ni lazima maana wananchi tumeelewa somo hilo, hasa baada ya ccm kutuletea rais muovu aliyeko kuzimu hivi sasa, na kushindwa kumdhibiti kwa siasa zake za kihayawani.
Acha kudharau chama CCM kilichobeba matumaini ya watanzania wote
 
Nataka wanaosoma makala zangu watumie akili nyingi kuelewa
Kwa hiyo woga wako ni kwamba ikipatikana Katiba mpya, CCM inaweza kutolewa madarakani au siyo!
Kwa maana nyingine ni kwamba kwa Katiba ya sasa hakuna namna ya kuitoa CCM madarakani au siyo!
Kwa mantiki hiyo unataka Katiba ya sasa iendelee kwa sababu inailinda CCM kutoachia madaraka au siyo!
Kwa hiyo Katiba yoyote itakayotoa haki sawa kwa vyama vyote vya siasa nchini haifai na haitakiwi au siyo!
Kwa hiyo Katiba inayotakiwa ni ambayo itatoa upendeleo maalum kwa CCM kubaki madarakani asilani!
Kwa hiyo Katiba yoyote itakayotoa mwanya kwa chama chochote nje CCM kutwaa madaraka si ruhusa!
Kwa hiyo kama mwana CCM umelazimika kuanzisha uzi huu kama njia mojawapo ya kufikisha ujumbe maalum.

Swali...kwa kuwa JF ni jukwaa huru na mtu yeyote anaweza akajiunga, ujumbe huu unataka kuufikisha kwa nani? Wana CCM, Wapinzani au Watanzania? Je ujumbe wako ni ushauri, onyo, tahadhari, ombi, pendekezo, agizo au amri na walengwa ni akina nani?

Nadhani nikikuita mjinga nitakuwa nakuonea...wewe ni mpumbavu, period!
 
Acha kudharau chama CCM kilichobeba matumaini ya watanzania wote

Ccm sio chama cha siasa,bali ni kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa, ili kukaa madarakani kwa shuruti. Ukishaona chama kinakaa madarakani kwa kutumia vyombo vya dola, jua jicho ni kikundi cha kigaidi kilichorasimishwa.
 
Ccm sio chama cha siasa,bali ni kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa, ili kukaa madarakani kwa shuruti. Ukishaona chama kinakaa madarakani kwa kutumia vyombo vya dola, jua jicho ni kikundi cha kigaidi kilichorasimishwa.
1624720220520.png


mnaenda kupimwa akili lini?
 
Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi. Kwa pamoja mjibu Chama kiendelee.

Nimeona leo niweke hili suala la katiba sawa ili kusaidia wajinga wengi wasioelewa na kuishia kuchotwa kijinga na Chama Cha Mbowe (Chadema).

Siku za hivi karibuni kumekuwa na kuhamasishana huko upande wa upinzani kutaka katiba mpya kwa maana iliyopo haifai. Kwa haraka haraka waweza kudhani wapinzani wana nia njema kumbe hakuna. Nitafafanua bila kutoza gharama yoyote ikiwa kama shukrani kwa mwenyezi kwa hii akili kubwa niliyojaliwa ili kusaidia binadamu wenzangu.

Kabla ya kuongelea CHADEMA na suala lao lazima tukubaliane watanzania wengi hawajasoma hii katiba mpya kujua yaliyomo. Wewe unayesoma hapa kuna ibara gani ya katiba waweza ikumbuka na kilichomo humo? Kwahiyo kabla ya kutaka katiba mpya lazima wawaeleze wafuasi wao kuisoma na kuielewa katiba iliyopo.

Kuwaswaga watu kama mifugo sio sawa. Kwa tunaoifahamu katiba hii iliyopo tunakubali kwamba ina mapungufu mengi hasa kwa nyakati hizi za vyama vingi na mabadiliko mbalimbali duniani. Kama enzi za Nyerere aliona ina mapungufu, je vipi nyakati hizi? Haina ubishi lazima kuna marekebisho yafanyike. Kwa mfano sifa ya mbunge ya kujua kusoma na kuandika imepitwa na wakati. Taifa kwa sasa lina wasomi wengi sana kwahiyo hakuna haja ya kupeleka bungeni watu wasio na elimu. Mifano ni mingi sana ya mapungufu kwenye katiba.

Kwanini tuwapuuze CHADEMA? Tunawapuuza kwasababu nia yao ni kutaka katiba itakayowawezesha kushika madaraka na kunufaisha genge la viongozi wachache na sio kumnufaisha mwananchi. Wakati ule wa mchakato wa kupata katiba mpya kupitia rasimu ya Warioba tuliona jinsi gani viongozi wa CHADEMA walivyoweka maslahi yao mbele kwa kudai serikali tatu kwanza badala ya kurekebisha mambo yanayomgusa mwananchi moja kwa moja.

Serikali tatu ni kumuongezea mwananchi gharama ya kuziendesha. Kwahiyo CHADEMA wanataka mabadiliko kwa manufaa ya viongozi sio wananchi wote. Nawasihi wananchi wote tutafute namna nyingine ya kubadili katiba yetu bila kutumjka na hili genge lenye maslahi binafsi.
Mkuu tusiwapuuze hawa chadema maana wanataka haki kwa wote na katiba sio ya chama chochote bali niya wananchi umenipata mkuu
 
BADO KUNA WATANZANIA WANAKUFA NJAA. WANAKUFA KWA KUKOSA DAWA MAHOSPTALN, GARAMA KUBWA YA MATIBABU, WANAFUNZI WANAKAA CHN HAWANA MADAWATI. KWA MIAKA 60. KAMA HAYA BADO YANAWASUMBUA NA RASLMALI ZPO. JE KAMA HAWAJAYAWEZA NDIO WATALETA KATIBA AMBYO. ITAANGALIA, FREEDOM, MAJORITY RULE NA SOCIAL EQULITY?.
KAMA WANAKUAMBIA UKIMCHAGUA MPINZANI HAKULETEI MAENDELEO UNATEGEMEA KUTETEA MAJORITY RULE AU FREEDOM KAMA KEYS ZA DEMOCRACY? WANAPASWA WAJITATHIMINI UPYA.
 
Kwa hiyo woga wako ni kwamba ikipatikana Katiba mpya, CCM inaweza kutolewa madarakani au siyo!
Kwa maana nyingine ni kwamba kwa Katiba ya sasa hakuna namna ya kuitoa CCM madarakani au siyo!
Kwa mantiki hiyo unataka Katiba ya sasa iendelee kwa sababu inailinda CCM kutoachia madaraka au siyo!
Kwa hiyo Katiba yoyote itakayotoa haki sawa kwa vyama vyote vya siasa nchini haifai na haitakiwi au siyo!
Kwa hiyo Katiba inayotakiwa ni ambayo itatoa upendeleo maalum kwa CCM kubaki madarakani asilani!
Kwa hiyo Katiba yoyote itakayotoa mwanya kwa chama chochote nje CCM kutwaa madaraka si ruhusa!
Kwa hiyo kama mwana CCM umelazimika kuanzisha uzi huu kama njia mojawapo ya kufikisha ujumbe maalum.

Swali...kwa kuwa JF ni jukwaa huru na mtu yeyote anaweza akajiunga, ujumbe huu unataka kuufikisha kwa nani? Wana CCM, Wapinzani au Watanzania? Je ujumbe wako ni ushauri, onyo, tahadhari, ombi, pendekezo, agizo au amri na walengwa ni akina nani?

Nadhani nikikuita mjinga nitakuwa nakuonea...wewe ni mpumbavu, period!
Tofautisha CCM iliyobeba matumaini ya watanzania wote ukiwemo wewe na CHADEMA iliyobeba matumaini ya Mbowe.
 
Kwani wataandika peke yao hao chadema? Jamani tuweke akiba ya maneno, rais Samia akiunga mkono tu suala la katiba, nyumbu wote watageuka kumuunga mkono
Hawa jamaa vichwani wanamawazo finyu sijawahi kuona. Sampuli ya watu wanaotoa mawazo aina ya Mleta Mada hapo juu wakijinasibu kuipigania CCM, hawa ndio Ugonjwa wa Taifa letu kwa sasa... hawajui wanasimamia nini? Na hawajui kutofautisha wanachokisimamia na Katiba ya Nchi. Dah!
 
Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi. Kwa pamoja mjibu Chama kiendelee.

Nimeona leo niweke hili suala la katiba sawa ili kusaidia wajinga wengi wasioelewa na kuishia kuchotwa kijinga na Chama Cha Mbowe (Chadema).

Siku za hivi karibuni kumekuwa na kuhamasishana huko upande wa upinzani kutaka katiba mpya kwa maana iliyopo haifai. Kwa haraka haraka waweza kudhani wapinzani wana nia njema kumbe hakuna. Nitafafanua bila kutoza gharama yoyote ikiwa kama shukrani kwa mwenyezi kwa hii akili kubwa niliyojaliwa ili kusaidia binadamu wenzangu.

Kabla ya kuongelea CHADEMA na suala lao lazima tukubaliane watanzania wengi hawajasoma hii katiba mpya kujua yaliyomo. Wewe unayesoma hapa kuna ibara gani ya katiba waweza ikumbuka na kilichomo humo? Kwahiyo kabla ya kutaka katiba mpya lazima wawaeleze wafuasi wao kuisoma na kuielewa katiba iliyopo.

Kuwaswaga watu kama mifugo sio sawa. Kwa tunaoifahamu katiba hii iliyopo tunakubali kwamba ina mapungufu mengi hasa kwa nyakati hizi za vyama vingi na mabadiliko mbalimbali duniani. Kama enzi za Nyerere aliona ina mapungufu, je vipi nyakati hizi? Haina ubishi lazima kuna marekebisho yafanyike. Kwa mfano sifa ya mbunge ya kujua kusoma na kuandika imepitwa na wakati. Taifa kwa sasa lina wasomi wengi sana kwahiyo hakuna haja ya kupeleka bungeni watu wasio na elimu. Mifano ni mingi sana ya mapungufu kwenye katiba.

Kwanini tuwapuuze CHADEMA? Tunawapuuza kwasababu nia yao ni kutaka katiba itakayowawezesha kushika madaraka na kunufaisha genge la viongozi wachache na sio kumnufaisha mwananchi. Wakati ule wa mchakato wa kupata katiba mpya kupitia rasimu ya Warioba tuliona jinsi gani viongozi wa CHADEMA walivyoweka maslahi yao mbele kwa kudai serikali tatu kwanza badala ya kurekebisha mambo yanayomgusa mwananchi moja kwa moja.

Serikali tatu ni kumuongezea mwananchi gharama ya kuziendesha. Kwahiyo CHADEMA wanataka mabadiliko kwa manufaa ya viongozi sio wananchi wote. Nawasihi wananchi wote tutafute namna nyingine ya kubadili katiba yetu bila kutumjka na hili genge lenye maslahi binafsi.
Hapa ndugu yangu hujawatendea haki wananchi, nchi nzima, ambao walishiriki katika mjadala huu na kamisheni zilizopita za Katiba. Na bila kufuata kanuni za jibu stihaki unayoetegemea, niseme tu, Wacha kuwatukana Wananchi wanaodai Katiba mpya kwa kujificha katika siasa chafu. Chafu kudai ni CHADEMA ndio wanalitaka hili wakati ni dhahiri Watanzania wengi wanataka Katiba mpya.
Waziri sasa anataka avikwe nguvu za kutoa mismaha ya kodi, tena kwa siri yaani bila ridhaa ya wananchi,yaani bila kujadiliwa na bunge, bila kujadiliwa na yeyote yule hata Raisi. Hayo hapo tu inatosha kuona kuna usababu gani wa Katiba mpya.
Ndugu yangu wacha hizo siasa chafu.
 
Tofautisha CCM iliyobeba matumaini ya watanzania wote ukiwemo wewe na CHADEMA iliyobeba matumaini ya Mbowe.
Acha upumbavu, nani kakuambia mimi Chadema na hata ningekuwa Chadema, CCM niliikataa toka ilipoasisiwa mwaka 1977 pamoja na kutokuwepo chama chocote cha upinzani wakati huo. Kwangu mimi CCM ni adui mkubwa wa taifa hili kwani ndiyo inatuletea viongozi vichaa na mashetani wasio na hekima wala busara kama mwendazake Magufuli...heri kafa. Mtaji mkubwa wa CCM ni ujinga na upumbavu wa wapuuzi kama wewe.
 
Back
Top Bottom