Tuwataje "100 Greatest Tanzanian of all time"

Edward molinge sokoine je


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nashukuru Mungu sijaona jina la yule kiongozi wa kiimla hapa!Yule kiongozi anaeongoza wadanganyika kwa sasa!
 
Greatest Of all tym 100!?

Never. Hawatakiwi kuzidi watatu.
 
mkuu namba 5 weka mastermindwwa mchezo ntaalam JK KIKWETE apo maana kipindi chake watu waliiba sanaaaa lakn mwamba alijenga barabara shule kila kata mishahara ikapanda kila raia akawa na mkwanja mfukon big up kwake lakn pia Kuna shida apo kwa Samata TOA weka Platnumz mtu anacheza ligi ya watoto ulaya unamueka apo
 
Filbert Bayi mwanariadha nguli
Kanumba mwigizaji mashuhuri
Ali samata mchezaji shupavu
Nyirenda aliepandisha bendera nchi juu ya Kilimanjaro
Na
Luwassa Edward ngoyay
 
Mkuu hivi Paul Bomani na Mark Bomani ni ndugu wa damu?

Je kuna ukweli kwamba Paul Bomani alifadhili harakati nyingi za Mwalimu Nyerere kudai uhuru?
Ni kweli hao jamaa ni Ndugu wa damu Paul ndiye mkubwa.
 
Wapo wengi sana ila kwangu ni Frank Humplik na Pror Mussa Assad
 
M.Samatta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…