Starboywiz
JF-Expert Member
- Nov 28, 2016
- 867
- 1,455
Kuna mtu atamtaja Mange Kimambi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, Asante Sana mkuu kwa taarifa hii, huyo jamaa anastahili kuwemo ndani ya top 5Laston Nazareth Mwaipopo aliyetengeneza mchanganyiko wa bia aina ya SAFARI LAGA 1977 na kuipa Breweries Tuzo mbali mbali za Kimataifa
Naunga mkono hoja.Statesmann,
Hii ni fikra nzuri sana lakini inahitaji umakini mkubwa sana.
Mathalan umewataja Abdul na Ally Sykes na hii nadhani katika kategori ya
wanasiasa.
Umemsahau baba yao Kleist Sykes.
Kleist Sykes anao wenzake waliofanya makubwa katika wakati wao kama
Martin Kayamba, Erika Fiah kwa kuwataja wachache.
Hapo hapo ikiwa utawataja Abdul, Ally na Nyerere lazima umtaje na Hamza
Mwapachu.
View attachment 1170796
Hamza Kibwana Mwapachu
Umemtaja mwanamuziki Diamond,,,
Itabidi uwataje wanamuziki ''pioneers,'' kama Frank Humplink, Salum Abdallah,
Ahmed Kipande, Mbaraka Mwinshehe, na wengine...
View attachment 1170795
Salum Abdallah na Cuban Marimba Cha Cha Band
Hii si kazi nyepesi itahitaji umakini wa hali ya juu sana.