Tuwataje "100 Greatest Tanzanian of all time"

Tuwataje "100 Greatest Tanzanian of all time"

TOP 15 yangu ambao hawajatajwa kabisa
1. Jenerali Ulimwengu
2. Richard Mabala
3. Rugemalira Mutahaba
4. Samwel Sitta
5. Mohammed Dewji
6. Muhammed Said Abdulla
7. John Kaduma
8.John Msimbe Simbamwene
9. Aristablis Elvis Musiba
10.Maria Tsehai Sarungi
11. Hussein Tuwa
12. Prof. Joyce Ndalichako
13. Asha Baraka
14. Kelvin Twisa
15. Happiness Magese
 
Nguvu,
Frank Humplink
alikuwa baba yangu rafiki yangu nikifika nyumbani kwake Lushoto
na tukizungumza mengi katika maisha yake ya muziki akiwa Moshi na baadae
Nairobi.

Kila nikifika alikuwa lazima mwisho wa mazungumzo yake atatoa guitar lake
na kuniimbia nyimbo zake alizorekodi wakati wa enzi zake kati ya 1950 - 1960s.

Alipofariki nilimwandikia taazia abayo ilichapwa katika The East African:

Asante umefanya nimfahamu zaidi, kwa mara ya kwanza nilimsikia kwa Masoud Masoud TBC Taifa.
 
Statesman,
Mimi nimeshawaandika wale niwajuao sasa ni zamu ya wengine na wao
wakatupatia majina ya wale ambao hawajatajwa.
Nimerejea tena baada ya kufanya tafakuri na kwenda nyuma katika kumbukumbu
zangu za udogo nikikua katika mitaa ya Kariakoo.

Naamini si wengi wanaomfahamu Rashid Sisso.

Lakini endapo Mwalimu Julius Nyerere angejaaliwa kuandika historia ya maisha
yake pale alipoanza siasa Dar es Salaam baada ya TANU kuundwa, atake asitake
lazima angetueleza Rashid Sisso alikuwa nani kwake na kwa TANU.

Baa ya TANU kuundwa mwaka wa 1954 kilijitokeza kikundi cha vijana wa mjini
waliomuunga mkono Nyerere kwa kujitolea nafsi zao.

Mmoja katika hawa alikuwa Rashid Sisso.
Lile ambalo lingempata Nyerere basi Sisso lisingemkosa.

Hebu jiulize katika picha hiyo ya watu wakubwa sana Nyerere, Kamuzu Banda,
Kaluta Amri Abeid Sisso
inakuwaje awe katikati ya miamba hii?

1564855108641.png
 
TOP 15 yangu ambao hawajatajwa kabisa
1. Jenerali Ulimwengu
2. Richard Mabala
3. Rugemalira Mutahaba
4. Samwel Sitta
5. Mohammed Dewji
6. Muhammed Said Abdulla
7. John Kaduma
8.John Msimbe Simbamwene
9. Aristablis Elvis Musiba
10.Maria Tsehai Sarungi
11. Hussein Tuwa
12. Prof. Joyce Ndalichako
13. Asha Baraka
14. Kelvin Twisa
15. Happiness Magese
hauko serious mkuu
 
Mtikila
Khadija Kopa
Seif Shariff Hamad
Kadinali Rugambwa
Mufti Hemed bin Jumaa bin Hemed
Ruge Mutahaba
Mzee Jangala
Mzee Majuto
Zamoyoni Mogella
Sunday Manara Computer
Tundu Antipass Lissu
Zitto Kabwe
Captain John Komba
Kanumba
Benny Mtobwa [Kikosi cha Kisasi, Kikokomo, Njama]
 
Statesmann,
[/QUOTE]
101.Mizengo Peter Pinda.
102.
Statesmann,
Hii ni fikra nzuri sana lakini inahitaji umakini mkubwa sana.

Mathalan umewataja Abdul na Ally Sykes na hii nadhani katika kategori ya
wanasiasa.

Umemsahau baba yao Kleist Sykes.

Kleist Sykes anao wenzake waliofanya makubwa katika wakati wao kama
Martin Kayamba, Erika Fiah kwa kuwataja wachache.

Hapo hapo ikiwa utawataja Abdul, Ally na Nyerere lazima umtaje na Hamza
Mwapachu.

View attachment 1170796


Hamza Kibwana Mwapachu

Umemtaja mwanamuziki Diamond,,,

Itabidi uwataje wanamuziki ''pioneers,'' kama Frank Humplink, Salum Abdallah,
Ahmed Kipande, Mbaraka Mwinshehe, na wengine...

View attachment 1170795

Salum Abdallah na Cuban Marimba Cha Cha Band

Hii si kazi nyepesi itahitaji umakini wa hali ya juu sana.
Ni kweli,katika hili ni wazi Wizara husika ilichukue hoja na mawazo yetu kama pilot study ya elimu kuhusu Uzalendo.
 
So far,
1. Nyerere - Baba wa taifa.

2. Okello - Kufanikisha Mapinduzi.

3. Karume - Baba mwenza wa taifa.

4. Moringe Sokoine - the most outstanding waziri mkuu.

5. Dk. Slaa - Revolutionized siasa za upinzani.

6. Sitti Binti Sa'ad na Bi. Kidude (not sure of the Spelling)- Magwiji mziki wa mwambao.

7. Mkapa - kuiingiza Tanzania kwenye ubepari (achana na Mwinyi) na Infrastructures.
8. S.S Bakhresa - Kabadili sana maisha ya mijini kwa product zake.

9. Dk. Mengi - His touch in media and manufacturing industry.

10. P - Funk Majani - You all know him.

11. Miriam Odemba - Opened the way for Tz international models.

12. Diamond Naseeb - Revolutionized Tz music to what it is right now.

13. Lady Jay D - The real female GOAT in Bongo flavor.

14. Ruge Mutahaba - Media, Music and Motivation.
 
Back
Top Bottom