Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Hapo kwenye list aongezwe Christopher Mtikila, amepata taabu sana kwa ajili ya kutetea Uhuru wa Tanganyika na demokrasia ya kweli nchini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwepo Mobutu Sese seko yuko wapi leo?Magundu ni nduli, sijui yeye ataishi milele?
Mzee hivi nikitaka kukuona nakupataje?.. If you won't mind!..Statesmann,
Hii ni fikra nzuri sana lakini inahitaji umakini mkubwa sana.
Hii si kazi nyepesi itahitaji umakini wa hali ya juu sana.
Huyu ni nani mkuu?Osale otango
daah huyo bado mdogo sana mkuuPaul makonda muweke mtoe Jakaya kikwete[emoji2958]
Mkuu hivi Paul Bomani na Mark Bomani ni ndugu wa damu?
Je kuna ukweli kwamba Paul Bomani alifadhili harakati nyingi za Mwalimu Nyerere kudai uhuru?
Samata na makonda nani mkubwa?daah huyo bado mdogo sana mkuu
Pia Mshume Kiyate na Hamza Aziz.Usimsahau Bi Kidude na Siti bint Saadi kwenye wanamuziki.
Unansahau vipi Mshume Kiyate muuza samaki Kariakoo aliyechukuwa jukumu la kuihudumia familia ya Nyerere wakati wa harakati za kudai Uhuru?
Ngoja niwaongezee kweny listUsimsahau Bi Kidude na Siti bint Saadi kwenye wanamuziki.
Samatta nimemweka kwa kuzingatia mchango wake kimichezo sio kiumri mkuuSamata na makonda nani mkubwa?
Si ndio hapo mkuu maana hadi bodigadi na beki tatu wa Nyerere nao sasa watadai wawekweKwa style hii list si itajaza watu pekee waliomsaidia Nyerere