Tuwataje "100 Greatest Tanzanian of all time"

Tuwataje "100 Greatest Tanzanian of all time"

Nimekutana na maandiko mengi ya Prof Mulokozi katika Fasihi ya Kiafrika na Utamaduni na amefanya makubwa. Ila pia kuna Prof. Isaria Kimambo.

Upande wa Historia sijui kama wanaweza pata namba yoyote katika hii orodha.
 
Mama Anna Makinda

Mwanamke alikuwa akipigiwa kura jimboni na kushinda mfululizo na kuwa spika wa kwanza mwanamke Tanzania. Na hakuharibu.

Mama Getrude Mongela (Huyu mama tangu yuko chuo mpaka amekuwa kiongozi kimataifa.

Dr Asha Rose Migiro. Mtanzania pekee kufikia cheo kikubwa UN

Miriam Odemba
Mtanzania wa kwanza kutambulika kimataifa kwenye tasnia ya urembo na bado yupo vizuri. Huyu ndo aliimarisha safari za warembo smart waliofuatia.

Bi Kidude

Khadija Kopa

Prof. Esther Mwaikambo (the first female doctor and first female Vice chancellor)

Esther Chabuluma -Mchezaji mfungaji wa Twiga stars.

Rita Paulsen - Bongo star search imewatoa vijana wengi

Rebecca Gyumi - Mwanasheria ambaye amepata tuzo za kimataifa kupigania wasichana

Halima Mdee -Mwanasiasa wa kike wa kwanza kuingia bungeni chini ya miaka 30 akitokea upinzani.

Nancy Sumari - Mrembo aloshinda taji kwenye miss world

Dr Judith Mhina - Mmiliki na Mkurugenzi wa PMM ICD kampuni kubwa.

Angelina - Mfanyabiashara mmiliki wa Bravo logistics, Agricom, Green city
 
Statesmann,

Umeonyesha ukomavu wa historia na namna unavyo ifatilia lakini tusisahau watu wengine kama machief ambao kwa wakati wao nao waliipeleka mbele Tanzania kwa kuitetea zaidi itapendeza zaidi tukiwaweka Machief wote katika orodha hii.
 
umeonyesha ukomavu wa historia na namna unavyo ifatilia lakini tusisahau watu wengine kama machief ambao kwa wakati wao nao waliipeleka mbele Tanzania kwa kuitetea zaidi itapendeza zaidi tukiwaweka Machief wote katika orodha hii
Mdau, napenda sana kusoma na kujifunza historia.
 
Mama Anna Makinda
Mwanamke alikuwa akipigiwa kura jimboni na kushinda mfululizo na kuwa spika wa Kwanza mwanamke Tanzania. Na hakuharibu

Mama Getrude Mongela ( Huyu mama tangu yuko chuo mpaka amekuwa kiongozi kimataifa.

Dr Asha Rose Migiro. Mtanzania pekee kufikia cheo kikubwa UN

Miriam Odemba
Mtanzania wa kwanza kutambulika kimataifa kwenye tasnia ya urembo na bado yupo vizuri. Huyu ndo aliimarisha safari za warembo smart waliofuatia.

Bi Kidude

Khadija Kopa

Prof. Esther Mwaikambo (the first female doctor and first female Vice chancellor)

Esther Chabuluma -Mchezaji mfungaji wa Twiga stars.

Rita Paulsen - Bongo star search imewatoa vijana wengi

Rebecca Gyumi - Mwanasheria ambaye amepata tuzo za kimataifa kupigania wasichana

Halima Mdee -Mwanasiasa wa kike wa kwanza kuingia bungeni chini ya miaka 30 akitokea upinzani.

Nancy Sumari - Mrembo aloshinda taji kwenye miss world

Dr Judith Mhina - Mmiliki na Mkurugenzi wa PMM ICD kampuni kubwa.

Angelina - Mfanyabiashara mmiliki wa Bravo logistics, Agricom, Green city
asante sana mkuu ngoja niedit orodha
 
Nimeipenda sana hii.

Na maadam hawa mashujaa na wengine kama wangekumbukwa katika uzinduzi wa kila uchao kwa heshima walioiletea taifa letu wangepewa at least hiyo heshima.

Tumeona Nyerere wamemuenzi kwa mengi.
 
Frank humplik namuelewa sana , utadhani hakuwa mzungu kwa zile tungo zake
Nguvu,

Frank Humplink
alikuwa baba yangu rafiki yangu nikifika nyumbani kwake Lushoto na tukizungumza mengi katika maisha yake ya muziki akiwa Moshi na baadae Nairobi.

Kila nikifika alikuwa lazima mwisho wa mazungumzo yake atatoa guitar lake
na kuniimbia nyimbo zake alizorekodi wakati wa enzi zake kati ya 1950 - 1960s.

Alipofariki nilimwandikia taazia abayo ilichapwa katika The East African:

 
Seif Sharrif Hammad, Mtanzania wa kwanza kushinda kachengwa. Mtanzania wa kwanza kuhama chama na maelfu kwa masaa.
 
Back
Top Bottom