Tuwataje "100 Greatest Tanzanian of all time"

Tuwataje "100 Greatest Tanzanian of all time"

Mtu yeyote aliyefariki kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wa mwaka 1964, hajawahi kuwa Mtanzania.
Kha !! Mtu wa vurugu vipi tena!!!tena!?
===
Nadhani katiba iliyotungwa/rekebishwa iliwapa wote waliokuwepo kabla ya muungano kuwa Watanzania. Ngoja wenye vifungu waje watuweke sawa.
 
Pius Msekwa, Horace Kolimba, Mwamwindi, Chidel Mgonja na Amir Jamal.
 
Habib Kinyogoli,

Emmanuel Mlundwa,

Omar Mahadhi.

Sunday Manara,

Abdallah Kibaden

Power Mabula

Leodgar Tenga

George Masatu

Kenneth Mkweche

Gibson Sembuli
 
amalize kwanza awamu yake ndio tupime mchango wake kwa taifa
Kuwa raisi wa Tanzania tayari ni sifa tosha ya kuwepo kwenye orodha.

Kusubiri amalize muda ni kigezo kisichokuwa na mashiko maana hakuna kipimo cha kupimia mafanikio ya uraisi wa nchi.
 
salehe jabri huyu ndo kijana wa kwanza kutoa album ya bongo fleva na ikauza nchi nzima
 
TOP 15 yangu ambao hawajatajwa kabisa
1. Jenerali Ulimwengu
2. Richard Mabala
3. Rugemalira Mutahaba
4. Samwel Sitta
5. Mohammed Dewji
6. Muhammed Said Abdulla
7. John Kaduma
8.John Msimbe Simbamwene
9. Aristablis Elvis Musiba
10.Maria Tsehai Sarungi
11. Hussein Tuwa
12. Prof. Joyce Ndalichako
13. Asha Baraka
14. Kelvin Twisa
15. Happiness Magese
Kwa hii orodha na huu mwandiko yawezekana nikawa nakujua ama tuna share one thing in common

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Statesmann,

Hii ni fikra nzuri sana lakini inahitaji umakini mkubwa sana.

Mathalan umewataja Abdul na Ally Sykes na hii nadhani katika kategori ya
wanasiasa.

Umemsahau baba yao Kleist Sykes.

Kleist Sykes anao wenzake waliofanya makubwa katika wakati wao kama
Martin Kayamba, Erika Fiah kwa kuwataja wachache.

Hapo hapo ikiwa utawataja Abdul, Ally na Nyerere lazima umtaje na Hamza
Mwapachu.



Hamza Kibwana Mwapachu

Umemtaja mwanamuziki Diamond,,,

Itabidi uwataje wanamuziki ''pioneers,'' kama Frank Humplink, Salum Abdallah,
Ahmed Kipande, Mbaraka Mwinshehe, na wengine...

View attachment 1170795

Salum Abdallah na Cuban Marimba Cha Cha Band

Hii si kazi nyepesi itahitaji umakini wa hali ya juu sana.
Juma Kilaza "ngoma iko huku, ukitaka chacha chacha
 
K
Nashukuru mkuu umekuja

Mkuu mimi nmchanga sana katika historia yetu ya nchi hivyo nimetoa kama mwongozo ila nategemea zaidi mawazo ya wadau kama nyie kuboresho orodha.

Halaf sikujua Kleist sykes ni baba yao Abdul na Ally, halafu hivi hawa watu wameenziwa kwa lolote? hawa watu walipaswa wawe amongo the Founder's fathers of our Nation!
Kwani Mandela anapowekwa juu kila kitu alifanya peke yake.Mbona alipata msaada mkubwa tu.
 
Back
Top Bottom