Tuwatambue Wanamuziki wanaofanya muziki kwa hasara

Tuwatambue Wanamuziki wanaofanya muziki kwa hasara

Uzi unasema 'tuwatambue wasanii' nikatarajia utakuwa umeorodhesha wasanii kadhaa wanaofanya muziki wa hasara cha ajabu list imeishia kwa huyo mmoja, hii inaonesha una something personal naye
Kweli angesema tumatambue msani na sio wasani
 
Sasa huyu mtoa mada akiulizwa msanii gani mwenye mafanikio atataja nandy. Ndio tatizo la kuangalia clouds tv all the time.
Hahahaha uuuuwiiiiii mbavu zangu jomoni[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji15]
 
swadaktaaa.... ngada....

miaka yote aliyokaa china yy ndo alikuwa main dealer and suplier wa ngada yote inayotoka TZ kuingia MACAU na GUANGZHOU

na hata yule mrembo aliyekuwa demu wake kabla ya V yaani jack clif ambaye anatumikia kifungo huko guangzhou ule mzigo aliodakwa nao mchizi anahusika 100%

kwa waliobahatika kuwa naye karibu wataelewa haya... they guy is living large pushing expensive rides like range rover sport and mercedece C class kwa mziki gani anaofanya ...kwa leo niishie hapa

Hizo Range Rover anaziendeesha kwenye hii hii Dar ndogo yenye kilomita za mda na 200 , mbona haijawahi kumuona.. Fafanua mkuu
 
swadaktaaa.... ngada....

miaka yote aliyokaa china yy ndo alikuwa main dealer and suplier wa ngada yote inayotoka TZ kuingia MACAU na GUANGZHOU

na hata yule mrembo aliyekuwa demu wake kabla ya V yaani jack clif ambaye anatumikia kifungo huko guangzhou ule mzigo aliodakwa nao mchizi anahusika 100%

kwa waliobahatika kuwa naye karibu wataelewa haya... they guy is living large pushing expensive rides like range rover sport and mercedece C class kwa mziki gani anaofanya ...kwa leo niishie hapa
Asante kwa hayo sio machache ni mengi mno inaonekana we unaujua huo mtandao zaidi unaweza kulisaidia jeshi la police!? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
ni kweli alikuwa anasoma pia... na alisha graduate last year...

kwa mtu yoyote anayefanya illegal activity na lazima awe na cover up activity kwa wakati husiku na eneo husika

nilijaribu tu kuongea hayo cos i know the guy personally.... na watu wengi wanahisi eti V ndo anamuhonga mchizi nikataka wamjue tu mchizi angalau kidogo na waache kumchukulia poa....

alikuwaga ni mtu wa show off yani akinunua gari mpya lazima apost na hadi kuna kipindi yy na patner wako walikuwa wakipost bundle za cash wakiwa bank ...na kama unakumbuka aliwahi pia kupost ile gorofa anayojenga

ila baada ya V kukamatwa na kuhojiwa na jamaa kufahamu kuwa V alikamatwa ili amchome yy since mtt wa kike ni mdhaifu jamaa siku hizi ameacha showoff

bwana mdogo now anamiliki a brand new range rover sport model of 2016 na anakaa apartment ya USD 1200 per month na soon anahamia kwenye ileeee gorofa aliyopostiki

narudia tena kwa mziki gani anaofanya..
Ninakuelewa sana kijana
 
hahahah.... hata kwa dawa gani hawawezi kuhitaji msaada wangu wale jamaa ....

kuna sababu inayonifanya niamini hivyo hahah
nina wasi wasi nawe ni moja kati ya hao drug dealers...ngoja nianze kukutrace (undercover) kupitia hii jamiiforums!

Kama unajua undani wa huyu mtu kiasi hichi maana yake nawe upo kwenye jora moja...huwa mnakutana uchawini nyote, cjui mmekosana nini tu ndo maana ukaamua umuanike mwenzako humu mtandaoni.

Take care kijana!
 
Hivi ndivyo ninavyowapenda wabongo, katika maswala ya kuchambua mambo ya watu wapo vizuri kweli kweli..


Hata wewe mwenyewe jiulize V ana muziki gani? Albam yake yote ni nyimbo za kukopi na kupaste tu, hakuna wimbo hata mmoja wenye asili ya Bongo. Afro Beat si muziki wetu, yeye V na wasanii kibao wasiojitambua wanaiga hivyo, inaboa kishenzi.....mijizi tu ya kuiba beats za watu.
 
Hata wewe mwenyewe jiulize V ana muziki gani? Albam yake yote ni nyimbo za kukopi na kupaste tu, hakuna wimbo hata mmoja wenye asili ya Bongo. Afro Beat si muziki wetu, yeye V na wasanii kibao wasiojitambua wanaiga hivyo, inaboa kishenzi.....mijizi tu ya kuiba beats za watu.
Wimbo upi kakopi mkuu? Nitumie nisikilize
 
Wimbo upi kakopi mkuu? Nitumie nisikilize
Hatokujibu hilo swali, watu wenye majungu ndio khariba yao. Akikujibu kindakindaki hilo swali utanitag. kwa kifupi huyo hajanunua album. Ataje jina la nyimbo ambayo cacopy mimi nitamuumbua kwa maana album ninayo.
 
Kanunue upate hasara kama mimi.
Hatokujibu hilo swali, watu wenye majungu ndio khariba yao. Akikujibu kindakindaki hilo swali utanitag. kwa kifupi huyo hajanunua album. Ataje jina la nyimbo ambayo cacopy mimi nitamuumbua kwa maana album ninayo.
Hicho ndicho alicho jibu, na kutokomea kusiko julikana mkuu.
 
Chuki binafsi hazijawahi kumwacha mtu salama............. hongera kwa kumwona yeye anafanya mzk kwa hasara...... wewe unafanya nini kwa faida? Subalaheri ndio umeona na ile ya Escape kweli exposure muhimu. pole sana
 
HII LIST SIMUONI BABU WA KARIAKOO AU NAE LEVEL ZAKE NI FIESTA???AU NAE ANAFANYA KWA HASARA NINI???
254ee009f634f491c751237b8c45f5b6.jpg

Babu wa kariakoo alishafanya mwaka jana.. Na za fiesta pia alifanya
 
Back
Top Bottom