Uzalendo ni pamoja na kuyaweka wazi yanayotukera katika nchi bila kujali yanafanywa na nani.
Ndugu zetu pale kijitonyama, wasiojulikana, waziri Masauni hadi mama Samia tuvumiliane tu. Uzalendo kwanza.
Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
Kuna maswali ya msingi kwa awaye yote mwenye kutaka kushadadia ulaghai huu kuwa watanzania ni waoga.
"Hivi, kwenye waoga hao na waliokwenda kumpokea Lissu au kusimama naye imara muda wote ikiwamo pale Kiluvya nao wamo?"
Vipi wale waliochanga mamia kwa mamilioni ya shilingi ndani ya masaa tu, ili kuwanusuru wakiwamo kina Bulaya? Nao ni katika waoga hao?
Nakadhalika nakadhalika. Mifano iko mingi mno!
Atudanganye nani?
Upinzani - walio waoga (cowards) si Wafuasi
Habari ndiyo hiyo.
Ikumbukwe:
"In the course of war, fear and terror are often used as weapons to distort the opponent's decision-making or break the opponent's will."
Ndugu zetu pale kijitonyama, wasiojulikana, waziri Masauni hadi mama Samia tuvumiliane tu. Uzalendo kwanza.
Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
Kuna maswali ya msingi kwa awaye yote mwenye kutaka kushadadia ulaghai huu kuwa watanzania ni waoga.
"Hivi, kwenye waoga hao na waliokwenda kumpokea Lissu au kusimama naye imara muda wote ikiwamo pale Kiluvya nao wamo?"
Vipi wale waliochanga mamia kwa mamilioni ya shilingi ndani ya masaa tu, ili kuwanusuru wakiwamo kina Bulaya? Nao ni katika waoga hao?
Nakadhalika nakadhalika. Mifano iko mingi mno!
Atudanganye nani?
Upinzani - walio waoga (cowards) si Wafuasi
Habari ndiyo hiyo.
Ikumbukwe:
"In the course of war, fear and terror are often used as weapons to distort the opponent's decision-making or break the opponent's will."