B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Aug 31, 2022 Thread starter #21 Matola said: Enzi za yule shetani aliyetwaliwa kuzimu ni zaidi ya ujasiri. Click to expand... Alijulikana kwa ukatili wake. Akijinasibu: "kwenye maandamano viongozi na watoto wao wawe mbere!" Apumzike kwa amani Aquilina Aquiline.
Matola said: Enzi za yule shetani aliyetwaliwa kuzimu ni zaidi ya ujasiri. Click to expand... Alijulikana kwa ukatili wake. Akijinasibu: "kwenye maandamano viongozi na watoto wao wawe mbere!" Apumzike kwa amani Aquilina Aquiline.
kichomiz JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 19,257 Reaction score 12,244 Aug 31, 2022 #22 Crimea said: Lisu mwemyewe ni mwoga kama kunguru! We mtu unakimbiliaje ubelgiji kisa kitisho cha kwenye simu? Click to expand... Unge kaa kimya ungeonekana mwenye busara ,kwani nani hajui kilichompata Lisu?
Crimea said: Lisu mwemyewe ni mwoga kama kunguru! We mtu unakimbiliaje ubelgiji kisa kitisho cha kwenye simu? Click to expand... Unge kaa kimya ungeonekana mwenye busara ,kwani nani hajui kilichompata Lisu?