Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,418
- 5,257
Wakuu Jana tulikuwa na part flan maghton actually nlialika masela tule bujiii na kuchoma, na kama unavyojua sehemu kukiwa na idadi kubwa ya masela stori ni mpira na madem japo Kuna wachache waliokuja na manzi zao.
Katika ubishani mchizi mmoja(simtaji jina najua yupo Jf) akawa ndio spika manaa Kila kitu alikuwa anaongea yeye,mara aseme anajua hili,mara alikuwa usalama akaamua kuacha yaani mambo kibao.
Niwe wazi Jamaa alikuwa anakera watu kila muda unavyokwenda na Kila mtu akaanza kumkwepa japo naye kadri tungi inavyokolea ndio anazidi kuchonga.
Sasa Kuna muda Katoka kuchuja kama mnavyojua waAfrica mtu akiwa hayupo yakaanza maneno pale"ooh Ili Jamaa linajiona sana sijui Msukuma Gani na maneno mengine ya shombo,"
Mm kidogo nichangie ila kuona manzi yake yupo nkasema nkae kimya maana japo nae alikuwa anasapoti Kwa kumuita mshamba ila nlijua wakiwa watupu lazima atampa ubuyu nani alikuwa anamchamba.
Dakika tatu jamaa karudi Toka msalani, watu wakauchuna kama sio waliokuwa wanamsema sekunde chache zilizopita.
Ninachokumbuka wakati tunaendelea kulaza bapa, Jamaa akasema anaomba dakika 5 Kuna jambo muhimu la kutuambia
Tukadhanj ni yale yale ya kujisifia Jamaa akachukua Tambo akaweka mezani Kila kitu walichoonge kikawa laudi spika.
Mbaya zaidi manzi yake pia alichangia tena Kwa mbwembwe mno,na pati ikaishia hapo na mpaka naamka naandika bandiko hili Sina abc ya kilichoendelea bt it was fuckin embarrassig.
Nimewaza sana ningemwangaliaje Jamaa usoni kama na mm ningechangia japo tulikuwa tumetinga Ila haikuwa sawa kumsema mtu nyuma ya mgongo wake. Nimejifunza na nyie atakae ajifunze kabla halijakukuta
Katika ubishani mchizi mmoja(simtaji jina najua yupo Jf) akawa ndio spika manaa Kila kitu alikuwa anaongea yeye,mara aseme anajua hili,mara alikuwa usalama akaamua kuacha yaani mambo kibao.
Niwe wazi Jamaa alikuwa anakera watu kila muda unavyokwenda na Kila mtu akaanza kumkwepa japo naye kadri tungi inavyokolea ndio anazidi kuchonga.
Sasa Kuna muda Katoka kuchuja kama mnavyojua waAfrica mtu akiwa hayupo yakaanza maneno pale"ooh Ili Jamaa linajiona sana sijui Msukuma Gani na maneno mengine ya shombo,"
Mm kidogo nichangie ila kuona manzi yake yupo nkasema nkae kimya maana japo nae alikuwa anasapoti Kwa kumuita mshamba ila nlijua wakiwa watupu lazima atampa ubuyu nani alikuwa anamchamba.
Dakika tatu jamaa karudi Toka msalani, watu wakauchuna kama sio waliokuwa wanamsema sekunde chache zilizopita.
Ninachokumbuka wakati tunaendelea kulaza bapa, Jamaa akasema anaomba dakika 5 Kuna jambo muhimu la kutuambia
Tukadhanj ni yale yale ya kujisifia Jamaa akachukua Tambo akaweka mezani Kila kitu walichoonge kikawa laudi spika.
Mbaya zaidi manzi yake pia alichangia tena Kwa mbwembwe mno,na pati ikaishia hapo na mpaka naamka naandika bandiko hili Sina abc ya kilichoendelea bt it was fuckin embarrassig.
Nimewaza sana ningemwangaliaje Jamaa usoni kama na mm ningechangia japo tulikuwa tumetinga Ila haikuwa sawa kumsema mtu nyuma ya mgongo wake. Nimejifunza na nyie atakae ajifunze kabla halijakukuta