Tuwe makini na kuwasema watu vibaya

Tuwe makini na kuwasema watu vibaya

chai.gif
 
Yan tukae cabinet kama wana halaf mjinga mmoja uwe unaturekodi halaf tukugwaye? Hiyo kesi kwangu sio nyepeai lazima uzinguke tuu!! Tapping our conversation seriously?? That is not acceptable!!!!!
 
Si huwa mnasema nyie wanaume hamsengenyani mnachanan tu live!!

Ila mambo yamekuwa mchanganyiko siku hizi, wanaume ni wasengenyaji na wambea balaa.
Hao wanaume wa hivyo walifyekelewa mbali vitani kule Kagera. Haya tuliyonayo ndo kama mleta uzi , pamoja na kushindwa kuchangia pale pale sababu dem wa jamaa yao likuwepo bado limekaba mpaka leo kaja kulitoa kwa gia ya Ushauri.. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Achuchumae tu akojoe
 
Hao wanaume wa hivyo walifyekelewa mbali vitani kule Kagera. Haya tuliyonayo ndo kama mleta uzi , pamoja na kushindwa kuchangia pale pale sababu dem wa jamaa yao likuwepo bado limekaba mpaka leo kaja kulitoa kwa gia ya Ushauri.. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Achuchumae tu akojoe
🤣🤣🤣🤣 Halafu kweli, umbea ulimkabaa akaona akikaa nalo atapasuka bora atafute namna nzuri ya kulitoa.
 
Wakuu Jana tulikuwa na part flan maghton actually nlialika masela tule bujiii na kuchoma, na kama unavyojua sehemu kukiwa na idadi kubwa ya masela stori ni mpira na madem japo Kuna wachache waliokuja na manzi zao.

Katika ubishani mchizi mmoja(simtaji jina najua yupo Jf) akawa ndio spika manaa Kila kitu alikuwa anaongea yeye,mara aseme anajua hili,mara alikuwa usalama akaamua kuacha yaani mambo kibao.

Niwe wazi Jamaa alikuwa anakera watu kila muda unavyokwenda na Kila mtu akaanza kumkwepa japo naye kadri tungi inavyokolea ndio anazidi kuchonga.

Sasa Kuna muda Katoka kuchuja kama mnavyojua waAfrica mtu akiwa hayupo yakaanza maneno pale"ooh Ili Jamaa linajiona sana sijui Msukuma Gani na maneno mengine ya shombo,"

Mm kidogo nichangie ila kuona manzi yake yupo nkasema nkae kimya maana japo nae alikuwa anasapoti Kwa kumuita mshamba ila nlijua wakiwa watupu lazima atampa ubuyu nani alikuwa anamchamba.

Dakika tatu jamaa karudi Toka msalani, watu wakauchuna kama sio waliokuwa wanamsema sekunde chache zilizopita.

Ninachokumbuka wakati tunaendelea kulaza bapa, Jamaa akasema anaomba dakika 5 Kuna jambo muhimu la kutuambia
Tukadhanj ni yale yale ya kujisifia Jamaa akachukua Tambo akaweka mezani Kila kitu walichoonge kikawa laudi spika.

Mbaya zaidi manzi yake pia alichangia tena Kwa mbwembwe mno,na pati ikaishia hapo na mpaka naamka naandika bandiko hili Sina abc ya kilichoendelea bt it was fuckin embarrassig.

Nimewaza sana ningemwangaliaje Jamaa usoni kama na mm ningechangia japo tulikuwa tumetinga Ila haikuwa sawa kumsema mtu nyuma ya mgongo wake. Nimejifunza na nyie atakae ajifunze kabla halijakukuta
nyinyi ni wanaume wa aina gani? Wanaume huwa hatusemani ovyo tena mbele ya mwanamke
 
Alinyamaza sababu ye ndo alialika wana
🤣🤣🤣

Na pia mpaka sahii hana abc ya kilichoendelea… je wana waliondokaje hapo maghetoni alipokuwa kawaalika?
Ni chai hiyo, labda kama na yeye alilewa hadi akasahau yupo nyumbani na yeye akaondoka
 
Alinyamaza sababu ye ndo alialika wana
🤣🤣🤣

Na pia mpaka sahii hana abc ya kilichoendelea… je wana waliondokaje hapo maghetoni alipokuwa kawaalika?
Mkuu Kila mtu aliaga kivyake,kwanza alianza manzi ya Jamaa kua anaenda toi ila hakurudi
 
Ofcoz Jamaa anabonga kichizi hata ww ungemsema ila I was lucky mkuu
Hujatoa jibu ...alirekodi nani ..mpaka jamaaa alipofika tu akawasha mazungumzo yenu..... Ukishindwa kujibu hiii ni chai tu kama zingine.....uongo uongo tu Ili kupata comments...
 
Hujatoa jibu ...alirekodi nani ..mpaka jamaaa alipofika tu akawasha mazungumzo yenu..... Ukishindwa kujibu hiii ni chai tu kama zingine.....uongo uongo tu Ili kupata comments...
Dah kumbe sikusema mkuu,nimeeleza hapo juu akatoa Tambo (simu)alikuwa ameingia voice rekoding akaiacha kwenye sofa alivyorudi Toi akaplay Kila tulichokuwa tunasema ..Hii si chai I repeat this is not tea..
 
Back
Top Bottom