Tuwe makini na kuwasema watu vibaya

Yan tukae cabinet kama wana halaf mjinga mmoja uwe unaturekodi halaf tukugwaye? Hiyo kesi kwangu sio nyepeai lazima uzinguke tuu!! Tapping our conversation seriously?? That is not acceptable!!!!!
 
Si huwa mnasema nyie wanaume hamsengenyani mnachanan tu live!!

Ila mambo yamekuwa mchanganyiko siku hizi, wanaume ni wasengenyaji na wambea balaa.
Hao wanaume wa hivyo walifyekelewa mbali vitani kule Kagera. Haya tuliyonayo ndo kama mleta uzi , pamoja na kushindwa kuchangia pale pale sababu dem wa jamaa yao likuwepo bado limekaba mpaka leo kaja kulitoa kwa gia ya Ushauri.. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Achuchumae tu akojoe
 
🤣🤣🤣🤣 Halafu kweli, umbea ulimkabaa akaona akikaa nalo atapasuka bora atafute namna nzuri ya kulitoa.
 
nyinyi ni wanaume wa aina gani? Wanaume huwa hatusemani ovyo tena mbele ya mwanamke
 
Alinyamaza sababu ye ndo alialika wana
🤣🤣🤣

Na pia mpaka sahii hana abc ya kilichoendelea… je wana waliondokaje hapo maghetoni alipokuwa kawaalika?
Ni chai hiyo, labda kama na yeye alilewa hadi akasahau yupo nyumbani na yeye akaondoka
 
Alinyamaza sababu ye ndo alialika wana
🤣🤣🤣

Na pia mpaka sahii hana abc ya kilichoendelea… je wana waliondokaje hapo maghetoni alipokuwa kawaalika?
Mkuu Kila mtu aliaga kivyake,kwanza alianza manzi ya Jamaa kua anaenda toi ila hakurudi
 
Ofcoz Jamaa anabonga kichizi hata ww ungemsema ila I was lucky mkuu
Hujatoa jibu ...alirekodi nani ..mpaka jamaaa alipofika tu akawasha mazungumzo yenu..... Ukishindwa kujibu hiii ni chai tu kama zingine.....uongo uongo tu Ili kupata comments...
 
Hujatoa jibu ...alirekodi nani ..mpaka jamaaa alipofika tu akawasha mazungumzo yenu..... Ukishindwa kujibu hiii ni chai tu kama zingine.....uongo uongo tu Ili kupata comments...
Dah kumbe sikusema mkuu,nimeeleza hapo juu akatoa Tambo (simu)alikuwa ameingia voice rekoding akaiacha kwenye sofa alivyorudi Toi akaplay Kila tulichokuwa tunasema ..Hii si chai I repeat this is not tea..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…