Tuwe makini na taarifa za mitandaoni

Tuwe makini na taarifa za mitandaoni

Rashda Zunde

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2022
Posts
204
Reaction score
231
Matumizi ya mitandao ya kijamii inazidi kuongezeka kila siku na usipokuwa makini utaishia kuamini taarifa za uongo kila siku.

Leo tumeona Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akikanusha taarifa za kwamba serikali imeunda kamati ya watu 200 kupitia tozo na kusema kwamba si kweli kwani watu hawa walijadili suala hili wakiwa ndani ya ofisi zao za kila siku. Kuwa makini na taarifa za mitandaoni.

Aidha, natoa pongezi kwa serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa mstahili wa mbele kwenye kuhakikisha kwamba wanasikiliza matakwa na maoni ya wananchi pamoja na kuyafanyia kazi kwa wakati.

Kwa pamoja tuseme KAZIIENDELEE , MAMA YUKO KAZINI
 
Tozo wameanzisha wao mkapongeza na sasa wamepunguza kidogo tu baada ya wananchi kuzikataa mumepongeza tena.uchawa unaumiza taifa
 
Kwa hiyo sahvi wale wapiga debe mfano wa Steve Nyerere watabadilisha upepo sasa

Ova
 
Matumizi ya mitandao ya kijamii inazidi kuongezeka kila siku na usipokuwa makini utaishia kuamini taarifa za uongo kila siku.

Leo tumeona Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akikanusha taarifa za kwamba serikali imeunda kamati ya watu 200 kupitia tozo na kusema kwamba si kweli kwani watu hawa walijadili suala hili wakiwa ndani ya ofisi zao za kila siku. Kuwa makini na taarifa za mitandaoni.

Aidha, natoa pongezi kwa serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa mstahili wa mbele kwenye kuhakikisha kwamba wanasikiliza matakwa na maoni ya wananchi pamoja na kuyafanyia kazi kwa wakati.

Kwa pamoja tuseme KAZIIENDELEE , MAMA YUKO KAZINI
Mbona Mimi nimeshauri KAMATI kuu ya ccm impumzishe Rais samia ameshindwa kuongoza hwajanisikia na Mimi ni mwananchi!!?awamu ya sita inasikia mikopo tu wala sio WANANCHI Tena!!
 
Matumizi ya mitandao ya kijamii inazidi kuongezeka kila siku na usipokuwa makini utaishia kuamini taarifa za uongo kila siku.

Leo tumeona Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akikanusha taarifa za kwamba serikali imeunda kamati ya watu 200 kupitia tozo na kusema kwamba si kweli kwani watu hawa walijadili suala hili wakiwa ndani ya ofisi zao za kila siku. Kuwa makini na taarifa za mitandaoni.

Aidha, natoa pongezi kwa serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa mstahili wa mbele kwenye kuhakikisha kwamba wanasikiliza matakwa na maoni ya wananchi pamoja na kuyafanyia kazi kwa wakati.

Kwa pamoja tuseme KAZIIENDELEE , MAMA YUKO KAZINI
Ujinga mtupu. Bora niamini mitandao kuliko hao mabaradhuli.
 
Umetumwa uko kwenye asali. Saivi unatumika tishu subiria utakapotupwa jalalani na kuliwa na funza ndipo utajua
 
Hivo akili za wataalam wetu tulio nao zimekosa namna nyingine ya kubuni miradi itakayoiingizia serikali vipato maradufu zaid ya kuchukua tozo kwa wananchi ambao hawawekewi mazingira rafik yakupa hata hizo tozo wanazokamuliwa???
 
Back
Top Bottom