Tuwe objective: Mbowe ana sababu gani za kuendelea kuwa mwenyekiti wa CHADEMA

Tuwe objective: Mbowe ana sababu gani za kuendelea kuwa mwenyekiti wa CHADEMA

..bila Mbowe kuwa na moyo alio nao wa kuthamini na kusaidia watu wengine, kwa lililomtokea Lissu asingekuwa hivyo tunavyomuona.
....Na Freeman Mbowe kama binadamu, kiongozi na nahodha wa timu alifanya hivi Ili huyu mtu afike nyakati na majira haya!

.....Thank God. Everything has worked perfectly. Huko Lumumba hakukaliki Sasa na ukienda YouTube Kuna channels nyingi za machawa zinatengeneza vimahojiano vya kuikandia hii blockbuster movie ya CHADEMA!
 
..bado yanahitaji mtu mwenye uvumilivu sana na mlezi kuepusha shari.
Kuepusha shari kutoka kwa nani? Saa ya ukombozi ni sasa, Mbowe anatakiwa ampishe Tundu Lissu kwenye Uenyekiti HARAKA ili akatafute MUAROBAINI wa kukabiliana na hiyo SHARI yenu.
 
Jana nimemsikia Mh. Lissu mwanzo mpaka mwisho
Nikiri kuwa sijasikia kama Freeman atagombea.
Nafahamu kwamba kwa heshima yake kama angekuwa hagombei anawaachia "vijana" basi angeshatoa taarifa mapema kidogo.
Kwa hiyo anaweza kugombea

Sasa nimekuwa najiuliza kama Mbowe ataamua kugombea uenyekiti atakuwa na sababu gani za kuamua kuendelea kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20.

Declaration of Interest
Namuunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu nzuri alizozitaja jana
Mbowe aliongea kabla ya Lissu ila aliongea kabobo tu.

Alifokafoka tu kama mtu ambaye hajaenda shule anatumia turufu ya jina na entitlement ya cheo.

Hakuwa anajenga hoja za kiushawishi.

Kimantiki kabisa Mbowe alitakiwa kujiuzulu muda mrefu maana kashindwa mambo mengi tu.

Alitakiwa kujifunza somo la "kung'atuka" la Nyerere.
 
Sifa alizotaja Lissu jana..ni sifa gani hakuwa nayo wakati Mbowe anagombea uenyekiti mara ya kwanza? Km vile viungo vya mwili vinavyohitajiana na uongozi kwenye kundi ni hivyo hivyo, mkono hauwezi kufanya kazi za kichwa..Lissu hawezi kazi/majukumu ya kuwa Mwenyekiti..anaweza kuwa msaidizi..ukizitambua kazi za kichwa cha mnyama, hizo ndio sifa za Mbowe kuwa Mwenyekiti Chadema..tujifunze kujua vyama vina maelekezo ya waliobeba maono wakati kinaanzishwa vzr kuyazingatia kuliko jazba za ujana..kwa anayesoma vitabu pekee vyenye umri mrefu kupita vitabu vingine vyote..vina mifano ya kutahadhalisha jamii kufuata msimamo wa vijana au kusikiliza maneno yao..9 kati ya 10 yana mwelekeo wa uharibifu na si kujenga.
Kwa mawazo kama haya, ndiyo maana watu wanasema, vyama ni kwa ajili ya maslahi ya viongozi na si vya wanachama
 
Sifa alizotaja Lissu jana..ni sifa gani hakuwa nayo wakati Mbowe anagombea uenyekiti mara ya kwanza? Km vile viungo vya mwili vinavyohitajiana na uongozi kwenye kundi ni hivyo hivyo, mkono hauwezi kufanya kazi za kichwa..Lissu hawezi kazi/majukumu ya kuwa Mwenyekiti..anaweza kuwa msaidizi..ukizitambua kazi za kichwa cha mnyama, hizo ndio sifa za Mbowe kuwa Mwenyekiti Chadema..tujifunze kujua vyama vina maelekezo ya waliobeba maono wakati kinaanzishwa vzr kuyazingatia kuliko jazba za ujana..kwa anayesoma vitabu pekee vyenye umri mrefu kupita vitabu vingine vyote..vina mifano ya kutahadhalisha jamii kufuata msimamo wa vijana au kusikiliza maneno yao..9 kati ya 10 yana mwelekeo wa uharibifu na si kujenga.
Na pia ukumbuke kuwa kama Lissu akiwa mwenyekiti haina maana kuwa Mbowe atahama Chadema.
 
Jana nimemsikia Mh. Lissu mwanzo mpaka mwisho
Nikiri kuwa sijasikia kama Freeman atagombea.
Nafahamu kwamba kwa heshima yake kama angekuwa hagombei anawaachia "vijana" basi angeshatoa taarifa mapema kidogo.
Kwa hiyo anaweza kugombea

Sasa nimekuwa najiuliza kama Mbowe ataamua kugombea uenyekiti atakuwa na sababu gani za kuamua kuendelea kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20.

Declaration of Interest
Namuunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu nzuri alizozitaja jana
Labda kwavile ni chama kulichoasisiwa na Mkwewe ,Edwin Mtei
 
Ndugu OKW BOBAN SUNZU

Kwa ufahamu na uelewa wako unadhani Tundu Lissu hajashauriana kwanza na Mwenyekiti wake na Mwenyekiti kutoa go ahead...?

Kama ulisikiliza vyema hotuba ya Freeman Mbowe juzi neno kwa neno wakati CHADEMA wanatoa tamko na msimamo wao juu "uchafuzi" wa kile kilichoitwa uchaguzi wa vijiji, mitaa na vitongoji, unaweza kuunganisha dots na kuweza kuelewa kuwa huu ni mpango mkakati wa chama kwa ujumla...

Kwa kifupi, huyu ndiye aliyeandaliwa kuchukua mikoba ya Freeman Mbowe CHADEMA...

There's absolutely NO HATE NOR FEAR in this move...

Na ni move ambayo imeitetemesha Lumumba, Magogoni na Chamwino yote....

Ndiyo maana huko Lumumba hakukaliki Sasa hivi. Wanabuni plan C maana A & B zote zilishafeli...

Ndio maana wameibuka kwenye mitandao kama nyuki waliotibuliwa mzingani na Moshi wa moto na ghafla Mbowe aliyekuwa target ya mashambulizi yao kama mla ruzuku yote ya chama zikiingia kwenye akaunti yake binafsi, mng'ang'ania madaraka leo anatetewa na Chawa wa Samia na CCM eti asikubali Tundu Lissu kum - challenge....!!

Loooh, this is absolutely ridiculous. Na hii kumbe ni kweli ni Bongolala...!

Hata hivyo, Tundu Lissu ndiye Mwenyekiti. Hili halina ubishi tena....
Acha kupiga ramli. Lissu anawachemsha na kiwakaanga bila taarifa ili mradi tu anazingatia sheria na kanuni za chama. Hakuhitaji majadiliano ya awali juu ya uamzi wa mtu kuwania kiti kwa kuzingatia katiba ya chama.
 
Jana nimemsikia Mh. Lissu mwanzo mpaka mwisho
Nikiri kuwa sijasikia kama Freeman atagombea.
Nafahamu kwamba kwa heshima yake kama angekuwa hagombei anawaachia "vijana" basi angeshatoa taarifa mapema kidogo.
Kwa hiyo anaweza kugombea

Sasa nimekuwa najiuliza kama Mbowe ataamua kugombea uenyekiti atakuwa na sababu gani za kuamua kuendelea kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20.

Declaration of Interest
Namuunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu nzuri alizozitaja jana
Sawa kwa kweli tuwe objective, CCM wana haja gani ya kuumizwa na uwepo wa Mbowe kwenye chama kama Mwenyekiti?
 
Kwa hiyo sababu za Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti ni kumfikisha Lissu hapo alipo? Pumbavu kabisa hili
..matusi ya nini wewe mende, kuna mtu aliwahi kuwa confrotational km Mtikila nchi hii? utayari wa watu kuvamia maduka ya wahindi kufanya uporaji wakitoka kwenye mikutano yake leo hii upo? watu wa aina hiyo wapo? Alifanikiwa Mtikila..kitu gani anacho Lissu zaidi ya alivyokuwa navyo Mtikila vitakavyompa mafanikio akikiongoza chama..acha matusi bwana!
 
Katiba ya JMT ni ya 1977

Katiba ya CCM ni ya 1977

Sidhani kama unaelewa 😂
Kwa hiyo katiba yao wanavyoitii inahalalisha wao kubaki kutawala? Wewe umesema Mbowe ana muda mrefu, nimekuuliza ccm je mbona husemi wao pia wapumzike..unarukia katiba, katiba ndio zinapiga kura..
 
Back
Top Bottom