Tuwe tu wakweli ndugu zangu, hivi Vitambulisho vya mjasiriamali hatujapigwa?

Huwezi pata majibu kwa hayo maswali kamwe!!!

Usione Ccm wameprint tshirt za kugawa kwa watu wanaoenda kwenye mikutano yao na kuwa na makundi makubwa ya wasanii.

Hela za vitambulisho vya machinga ndo zinafanya hayo. Ndo mana nikiona mtu anasema magufuli ni mzalendo mi huwa namshangaa sana 😂
 
Inategemea upo maeneo gani.

Kuna maeneo usipokuwa na hicho utajikuta faida yote kila siku wanakula migambo.

Hii haiondoi aliyebuni huu mradi amekula pesa
Mbona Magu alisema akiwa Rais mgambo watafute kazi nyingine na hakuna mnyonge atakayenyanyaswa. Sasa inakuaje bado Wana nyanyasa?
 
Ndio maana wameziba watu midomo ila Lissu kawa msemaji wa wote.
 
Prof ambae huna akili,hujui kuwa mlipaji anapewa control number,na risiti inayotoka ni electronic,na malipo yanaingia hazina! Jinga pumbavu linalojiita prof.
Acha kupotosha watu nani kwenye vitambulisho hivyo alipewa control number, ya kwenda kulipia, wakati huku nilipo kila mfanyakazi wa halimashauri alikuwa anapewa vitambulisho 10,akatafute watu wa kuwauzia?!!!na hakuna risiti yoyote ile walikuwa wakiitoa!! Acheni kufanya watu wajinga hata kama ni kutetea sio kwa jambo hili ambalo liko wazi!! Ni suala la muda tu huu ufisadi utakuja onekana tu!! Pesa ya serikali haiwezi kuwa inakusanywa kama pesa ya magendo!!!
 
Na kama lengo lilikuwa kuwatambua wamachinga, kwani kitambulisho kitolewa kwa gharama kubwa kiasi hicho?

Labda tuambiwe gharama ya wastani ya vitambulisho, mfano vya wafanyakazi,cha kura, n.k huwa ni around shilingi ngapi ili tufanye ulinganisho.
Cha Nida wanasema hadi kitambulisho moja ikamilike hizo material ni almost elfu 80
 
Jamaa kweli kwenye vitambulisho kapiga hela kubwa ,piga mahesabu wamachinga wote Tanzania zidisha mara 20,000 ,bila risiti au makato ya kodi TRA ,ni kitu kaamka nacho tayari kavitengeneza akaamuru visambazwe na ni lazima kununua
 
Ulisha ambiwa akili za mbayuwayu changanya na za kwako angalia vitambulisho ulivyo navyo kipi kinathamani kwako ambacho hata ukienda benki utaambiwa ukileta 'inamaana kwa miaka hii 5 hujajifunza tabia ya viongozi wa kitaifa kujitoa ufahamu?
 
Uzi kama huu wale masalia wa lumumba a.k.a wazee wa buku 7..ambao njaa zimewapanda kichwani hiweziona wakichangia.
 
Prof ambae huna akili,hujui kuwa mlipaji anapewa control number,na risiti inayotoka ni electronic,na malipo yanaingia hazina! Jinga pumbavu linalojiita prof.
Acha uongo! control number wanapewa wapi? na risiti inatoka wapi?

Yani umekaa hapo lumumba unalipwa buku saba yako alafu unakuja kuandika upuuzi humu?

Sasa sikiliza,

Vilivyotolewa kila mkoa/halmashauri ilipewa vitambulisho, na amri ilikua moja! vitambulisho lazima viishe! tena wakaenda mbali zaidi na kuwa lazimisha wakuu wa idara kwenye kila halmashauri wauze!

Sasa nashangaa unaposema walipewa risiti/control number wakati sisi huku mtaani unatoa buku 20 unapewa kitambulisho na hakuna cha control number wala risiti!!

SIO KILA KITU UNAANDIKA UJINGA, TUMIA AKILI WEWE MTOTO!
 
Jamaa kweli kwenye vitambulisho kapiga hela kubwa ,piga mahesabu wamachinga wote Tanzania zidisha mara 20,000 ,bila risiti au makato ya kodi TRA ,ni kitu kaamka nacho tayari kavitengeneza akaamuru visambazwe na ni lazima kununua
Vile vitamvulisho alitoka navyo ikulu alafu akagawa kwa wakuu wa mikoa huku akitoa maelekezo ole wake mkuu wa mkoa asivimalize. Hakukuwa na maeleko hela ziingie kwenye account ipi ya serikali wala BOT.

Ccm ni ukoo wa panya na bila kuwatoa madarakani nchi hii haiwezi pata maendeleo ya kweli kamwe!!
 
Prof ambae huna akili,hujui kuwa mlipaji anapewa control number,na risiti inayotoka ni electronic,na malipo yanaingia hazina! Jinga pumbavu linalojiita prof.
Machinga waje na ushuhuda, inawezekana wanatumiwa electronic receipt kwenye simu zao, baada ya kulipa kwa njia ya mtandao.
 
Hapa cha kuhoji ni je huyo mmachinga kinamsaidia kweli hasumbuliwi? Kuhusu iyo pesa inaenda wapi tungehoji na malipo mengine ya serikali yanaenda wapi kwa maana unapewa control number ya kulipia na risiti inarud baada ya malipo kuwa umelipa milipo ya serikali kiasi cha shilling elf20.
 
Kwaio moja kwa moja pesa inaenda hazina kwa fikra zangu Mimi.
 
Prof ambae huna akili,hujui kuwa mlipaji anapewa control number,na risiti inayotoka ni electronic,na malipo yanaingia hazina! Jinga pumbavu linalojiita prof.
Ungekuwa na hoja ungejibu kwa uungwana kwa maelezo fasaha yenye ufafanuzi wa hatua kwa hatua...

Sasa unatakiwe sawasawa na haiba yako ya ujinga ilivyo..

Kwanza kwa jinsi wewe ulivyo mjinga, basi unadhani watu wote wasomao ujinga na wapunbavu wako huu ni wajinga na wapumbavu wa kiwango chako hiki.

Unasema kila mwenye nacho huwa anapewa CONTROL NUMBER.... Mjinga wewe, usiambukize watu wengine ujinga wako!

Unasema, kila mwenye nacho alipewa risiti ya ki - electronic, pumbavu sana wewe na mjinga kama Magufuli wako..

Hivi vitambulisho huwa vinauzwa barabarani tu kama ndizi kwa amri na vitisho juu kwa wananchi

Hakuna risiti ya aina yoyote itolewayo na halafu eti wewe unajaribu kutuletea ujinga wako wa Chato hapa???

Very stupid..
 

Haya siyo malipo ya serikali. Hii ni biashara ya Rais - mtu binafsi

Ni biashara ya mtu (Rais) aliyeamua ku - abuse mamlaka ya ofisi ya Urais

Hakuna tafsiri ya kuipa biashara rather than kusema huu ni UFISADI wa matumizi mabaya ya Mamlaka!!
 
Ingekua vyema tupate risiti yao ya malipo tuone iyo pesa inaingia ktk account gani
 
Kwaio moja kwa moja pesa inaenda hazina kwa fikra zangu Mimi.
Fikra zako ni potofu, zimetiwa Giza, hazijui lolote

Pesa ya namna hii isiyokatiwa risiti halali ya serikali hata siku moja haingii kwenye fuko la hazina!

Ni makosa makubwa kuamini kuwa kwa kuwa Magufuli ana cheo cha "Urais", basi hataweza kuivaa roho ya wizi..

Hakuna, huyu Mzee ni mwizi wa hatari akitumia mifumo ya kidola kuiba..

Mfano wa wazi na wa moja kwa moja ni hili la hivi vinavyoitwa vitambulisho!!
 
Inategemea upo maeneo gani.

Kuna maeneo usipokuwa na hicho utajikuta faida yote kila siku wanakula migambo.

Hii haiondoi aliyebuni huu mradi amekula pesa

Kwani hao mgombo ni wa seriakali gani, inawezekanaje Rais anayeongoza nchi aseme wajasilia mali walikuwa wanaonewa Kwani kipindi hicho wanapoonewa kulikuwa na seriakali ya chama gani au walitengeneza tatizo ili wapige pesa za kampeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…