Kitambulisho,1. No pichaHapo rais Magufuli kapiga dili.
Hivi Rais akifanya kitendo kama hicho cha waziwazi kabisa wa kuchukuwa pesa za wananchi namna hiyo inakuwaje hata aendelee kugombea baada ya hii kashfa ya vitambulisho si inatosha kabisa kupoteza Sifa maana yeye siyo kwamba hakulipa kodi bali amefanya udanganyifu wankukusanya kama TRA kinyume na utaratibu wa uku sanyasi was pesa za seriakali. Hivi hili linawezaje kufumbiwa macho. Ni vema tuambiwe hizo pesa ziko wapi hadi sasa na zinafanya nini zimepatikana bila maandishi maana kama hakuna risiti ya waliolipa sasa zimehifadhiwa wapi na kama pesa za nini. Ni vema serikali akatolea ugafanuzi jambo hili maana ni pesa nyingi imekisanywa.
Nyamongo na Ifakara wamepiga mabomu hakuna hata raia aliyetikisika,wao wapige tu mabomu yataisha sijui watapiga nn tenaKitambulisho,1. No picha
2. No stakabadhi ya malipo.
3. No maelezo ya mapato
4. No maelezo ya matumizi.
TUMEPIGWA. LABDA ZIMENUNULIA MABOMU YA KUWATAWANYA WAPINZANI.
sio kitamblisho ni kabango kadogo tuu....wajisiriamali wameshapigwa ngeu.Naanza kupata wasi wasi na hili zaidi ya 90% kuhusu hivi vitambulisho vya mjasiriamali. Kila nikitazama najiuliza ni vipi serikali yangu ilifanya haya na kwa manufaa ya nani?
Naomba nijibiwe maswali haya tafadhali sana.
1. Kwanini hivi vitambulisho vinatolewa bila risi ya malipo?
2. Hizo pesa za vitambulisho zilizokusanywa zilienda kwenye mfuko wa nani na kufanya nini? Nani mwenye kuujua mfuko huo?
3. Kwanini mjasiriamali hakuambiwa anatoa hizo pesa zinaenda kufanya kitu gani?
4. Ilikuaje Rais ndio achangishe hizi pesa badala ya mamlaka yetu ya kukusanya kodi TRA?
Bas mkuu tumechelewa km pesa za kampeni zimeshapatkana wenzetu wanatamba tu.Fikra zako ni potofu, zimetiwa Giza, hazijui lolote
Pesa ya namna hii isiyokatiwa risiti halali ya serikali hata siku moja haingii kwenye fuko la hazina!
Ni makosa makubwa kuamini kuwa kwa kuwa Magufuli ana cheo cha "Urais", basi hataweza kuivaa roho ya wizi..
Hakuna, huyu Mzee ni mwizi wa hatari akitumia mifumo ya kidola kuiba..
Mfano wa wazi na wa moja kwa moja ni hili la hivi vinavyoitwa vitambulisho!!
Bas mkuu tumechelewa km pesa za kampeni zimeshapatkana wenzetu wanatamba tu.
Mataga kwa kuwa nyie mnajifanya WAZALENDO mshindo basi tokeni Jamii forum ,muende kuzima moto Mlima Kilimanjaro. Uzalendo sio kusifia utopolo bali ni kupigana kwa jasho na damu kuilinda nchi yako! #MtajuaHaumjuiMwakaHuuKitu kizuri zaidi ni kuwa 95 ya WATANZANIA ni wapiga dili.
Ila wametofautiana kanda na kanda.
Dah hapa sasa kwa Mimi/sisi wenye familia ni kipindi fikieishi sana, tumuombe sana mungu aitunze na kuilinda tanzania yetu.Watambe tu, lakini wakumbuke kuwa KARMA IS A BATCH..
Na kuwa, kila tendo ovu la dhambi lina consequences bila kujali kana unalifurahia sasa ama laa..