Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye mamlaka ya kuwapa less watu Nani?.
Kesi ya ugaidi walipewa uamsho leo wapo wapi?
Ana mamlaka ya kumuagiza DPP,
Pale mama yako wa kambo alipo sema kuwa wenzie na Mbowe tayari wamesha hukumiwa huku akijua kuwa ni uongo alikuwa anatumia KATIBA ya Pemba au kule kwao Omani?
Ukiijua kweli itakuweka huru. Nduguzangu hii ni ngumu kumeza ila ipo katika politiko sayansi nimeona si vyema kuficha ngoja tuelimishane japo kidogo. Nikisema sayansi ninamaana ni uchunguzi wa kimaabara kupata ukweli, iko hivi Mbowe alijenga nguvu ya umma bila huo umma kuupa hiyo nguvu. Nini maana yake. Katika uongozi wa nguvu ya umma uwa maamuzi, mamlaka na haki zinasikilizwa kutoka chini kwenda juu.
Tofauti kabisa na Mbowe ambapo mdomoni alikuwa anauburi nguvu ya umma wakati maamuzi yote yalitoka juu kwa mtu mmoja au watu wachache kuwafikia wengi ndiyo maana leo yupo Segerea wafuasi wake wanapanga foleni kwenda kumsalimia wakati kama ingekuwa kweli ni nguvu ya umma wasinge sogea hata mmoja pale gerezani ila wote wangekuwa barabarani.
Ndiyo maana kisayansi utaona Nelson Mandela alipofungwa gerezani ni mkewe, watoto wake na baadhi tu ya viongozi wachache ndiyo walikuwa wanakwenda kumtembelea na si umati wote ulikusanyika gerezani. Ila habari ilikuwa kule Natali, Soweto, Zululandi na mitaani Kaburu Bota alikuwa anausikia mziki mkubwa. Lakini leo tumeshuhudia watu wakikodi magari kutoka mikoani kwenda gerezani na mahakamani kumwona kiongozi wao.
Angalia Jakobu Zuma alipohukumiwa kufungwa kwa uonevu hakuna mtu alieenda gerezani hata kumsalimia au kutia fujo, mziki waliufungulia kama nguvu ya umma mtaani. Hii ndiyo maana ya nguvu ya umma, sasa ukiona wafuasi wanaomba kibali kwa bwana jela kumwona mtuumiwa au mfungwa ujue biashara imeisha kwani wamekubali yote.
Jamani huu ni ukweli ila si mtam hivyo kama wewe mfuasi unaenda Segerea wewe ni mtu mstaarabu sana tena kuzidi wale wa Lumumba unafuata sharia za nchi na unaenda pale kiungwana kumsalimia mtuhumiwa kama tunavyokwenda kuwaona wagonjwa hosipitali na hiyo si nguvu ya umma hata mkiwa milioni bado uwezi kuita nguvu ya umma.
Hivyo Mbowe yeye mwenyewe kwa mikono yake alifeki nguvu ya umma na kujenga nguvu ya waungwana ndiyo maana leo waungwana wote wanajipanga jinsi na namna ya kwenda Segerea kumsalimia kiongozi wao na hii inamaana kuwa hata atakapo hukumiwa (kama) ndiyo wataenda kwa wingi sana kumwona Mbowe gerezani. Eleweni nguvu ya umma si kufuata katiba, nguvu ya umma yenyewe ni katiba tosha sasa ukiona nguvu ya uma inafuata katiba ujue hapo ni matango poli.
Hivyo kwa vijana wa Ufipa mliobahatika kwenda shule na mnapenda nguvu ya umma anzeni kushauri na kujenga nguvu ya umma kwani inawezekana na humu waacheni vilaza waendelee kutukana mitusi kwani hawana elimu ninyi jengeni taasisi hiyo iposiku Mungu mkubwa.
Mi nalishauri jeshi la magereza kuweka utaratibu mzuri wa hawa waungwana kuweza kumsalimia kiongozi wao kwani hilo si kosa hata kidogo bali wanafuata sharia na wanaimani na kiongozi wao na wanampenda na ni watiifu kwa serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Magaidi wa uamsho wapo wapi?ebu kunywa maji kwanza mda wa kulala unafika
Niliposoma title nikajua nitapata fursa ya kufahamu makosa ya ugaidi ya Mbowe,sijaona hata moja bali blah blah tu.Mbowe siyo na hawezi kuwa gaidi.Ukiijua kweli itakuweka huru. Nduguzangu hii ni ngumu kumeza ila ipo katika politiko sayansi nimeona si vyema kuficha ngoja tuelimishane japo kidogo. Nikisema sayansi ninamaana ni uchunguzi wa kimaabara kupata ukweli, iko hivi Mbowe alijenga nguvu ya umma bila huo umma kuupa hiyo nguvu. Nini maana yake. Katika uongozi wa nguvu ya umma uwa maamuzi, mamlaka na haki zinasikilizwa kutoka chini kwenda juu.
Tofauti kabisa na Mbowe ambapo mdomoni alikuwa anauburi nguvu ya umma wakati maamuzi yote yalitoka juu kwa mtu mmoja au watu wachache kuwafikia wengi ndiyo maana leo yupo Segerea wafuasi wake wanapanga foleni kwenda kumsalimia wakati kama ingekuwa kweli ni nguvu ya umma wasinge sogea hata mmoja pale gerezani ila wote wangekuwa barabarani.
Ndiyo maana kisayansi utaona Nelson Mandela alipofungwa gerezani ni mkewe, watoto wake na baadhi tu ya viongozi wachache ndiyo walikuwa wanakwenda kumtembelea na si umati wote ulikusanyika gerezani. Ila habari ilikuwa kule Natali, Soweto, Zululandi na mitaani Kaburu Bota alikuwa anausikia mziki mkubwa. Lakini leo tumeshuhudia watu wakikodi magari kutoka mikoani kwenda gerezani na mahakamani kumwona kiongozi wao.
Angalia Jakobu Zuma alipohukumiwa kufungwa kwa uonevu hakuna mtu alieenda gerezani hata kumsalimia au kutia fujo, mziki waliufungulia kama nguvu ya umma mtaani. Hii ndiyo maana ya nguvu ya umma, sasa ukiona wafuasi wanaomba kibali kwa bwana jela kumwona mtuumiwa au mfungwa ujue biashara imeisha kwani wamekubali yote.
Jamani huu ni ukweli ila si mtam hivyo kama wewe mfuasi unaenda Segerea wewe ni mtu mstaarabu sana tena kuzidi wale wa Lumumba unafuata sharia za nchi na unaenda pale kiungwana kumsalimia mtuhumiwa kama tunavyokwenda kuwaona wagonjwa hosipitali na hiyo si nguvu ya umma hata mkiwa milioni bado uwezi kuita nguvu ya umma.
Hivyo Mbowe yeye mwenyewe kwa mikono yake alifeki nguvu ya umma na kujenga nguvu ya waungwana ndiyo maana leo waungwana wote wanajipanga jinsi na namna ya kwenda Segerea kumsalimia kiongozi wao na hii inamaana kuwa hata atakapo hukumiwa (kama) ndiyo wataenda kwa wingi sana kumwona Mbowe gerezani. Eleweni nguvu ya umma si kufuata katiba, nguvu ya umma yenyewe ni katiba tosha sasa ukiona nguvu ya uma inafuata katiba ujue hapo ni matango poli.
Hivyo kwa vijana wa Ufipa mliobahatika kwenda shule na mnapenda nguvu ya umma anzeni kushauri na kujenga nguvu ya umma kwani inawezekana na humu waacheni vilaza waendelee kutukana mitusi kwani hawana elimu ninyi jengeni taasisi hiyo iposiku Mungu mkubwa.
Mi nalishauri jeshi la magereza kuweka utaratibu mzuri wa hawa waungwana kuweza kumsalimia kiongozi wao kwani hilo si kosa hata kidogo bali wanafuata sharia na wanaimani na kiongozi wao na wanampenda na ni watiifu kwa serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Low IQ,ssh alishasema wenzAke Mbowe walifungwa.ni kina nani hao???PROVE UDHALIMU UNAOFANYWA KWA NADHARIA ILIYO HAI,SIKU ZOTE HUWA NAAMINI KESI AU SHAURI,MAANA YAKE NI MTUHIMIWA,USHAHIDI ULIOPO,PAMOJA NA WASIKILIZA SHAURI,TUIACHIE MAHAKAMA
Mbowe yuko ukonga,sio segereaUkiijua kweli itakuweka huru. Nduguzangu hii ni ngumu kumeza ila ipo katika politiko sayansi nimeona si vyema kuficha ngoja tuelimishane japo kidogo. Nikisema sayansi ninamaana ni uchunguzi wa kimaabara kupata ukweli, iko hivi Mbowe alijenga nguvu ya umma bila huo umma kuupa hiyo nguvu. Nini maana yake. Katika uongozi wa nguvu ya umma uwa maamuzi, mamlaka na haki zinasikilizwa kutoka chini kwenda juu.
Tofauti kabisa na Mbowe ambapo mdomoni alikuwa anauburi nguvu ya umma wakati maamuzi yote yalitoka juu kwa mtu mmoja au watu wachache kuwafikia wengi ndiyo maana leo yupo Segerea wafuasi wake wanapanga foleni kwenda kumsalimia wakati kama ingekuwa kweli ni nguvu ya umma wasinge sogea hata mmoja pale gerezani ila wote wangekuwa barabarani.
Ndiyo maana kisayansi utaona Nelson Mandela alipofungwa gerezani ni mkewe, watoto wake na baadhi tu ya viongozi wachache ndiyo walikuwa wanakwenda kumtembelea na si umati wote ulikusanyika gerezani. Ila habari ilikuwa kule Natali, Soweto, Zululandi na mitaani Kaburu Bota alikuwa anausikia mziki mkubwa. Lakini leo tumeshuhudia watu wakikodi magari kutoka mikoani kwenda gerezani na mahakamani kumwona kiongozi wao.
Angalia Jakobu Zuma alipohukumiwa kufungwa kwa uonevu hakuna mtu alieenda gerezani hata kumsalimia au kutia fujo, mziki waliufungulia kama nguvu ya umma mtaani. Hii ndiyo maana ya nguvu ya umma, sasa ukiona wafuasi wanaomba kibali kwa bwana jela kumwona mtuumiwa au mfungwa ujue biashara imeisha kwani wamekubali yote.
Jamani huu ni ukweli ila si mtam hivyo kama wewe mfuasi unaenda Segerea wewe ni mtu mstaarabu sana tena kuzidi wale wa Lumumba unafuata sharia za nchi na unaenda pale kiungwana kumsalimia mtuhumiwa kama tunavyokwenda kuwaona wagonjwa hosipitali na hiyo si nguvu ya umma hata mkiwa milioni bado uwezi kuita nguvu ya umma.
Hivyo Mbowe yeye mwenyewe kwa mikono yake alifeki nguvu ya umma na kujenga nguvu ya waungwana ndiyo maana leo waungwana wote wanajipanga jinsi na namna ya kwenda Segerea kumsalimia kiongozi wao na hii inamaana kuwa hata atakapo hukumiwa (kama) ndiyo wataenda kwa wingi sana kumwona Mbowe gerezani. Eleweni nguvu ya umma si kufuata katiba, nguvu ya umma yenyewe ni katiba tosha sasa ukiona nguvu ya uma inafuata katiba ujue hapo ni matango poli.
Hivyo kwa vijana wa Ufipa mliobahatika kwenda shule na mnapenda nguvu ya umma anzeni kushauri na kujenga nguvu ya umma kwani inawezekana na humu waacheni vilaza waendelee kutukana mitusi kwani hawana elimu ninyi jengeni taasisi hiyo iposiku Mungu mkubwa.
Mi nalishauri jeshi la magereza kuweka utaratibu mzuri wa hawa waungwana kuweza kumsalimia kiongozi wao kwani hilo si kosa hata kidogo bali wanafuata sharia na wanaimani na kiongozi wao na wanampenda na ni watiifu kwa serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Alisema walishakamatwa..!,aliyekuwa amebakia kuunganishwa nao ni mbowe pekee!.#Acha mapenzi ya kupitiliza,yatakutia upofu,penzi kizunguzungu!Low IQ,ssh alishasema wenzAke Mbowe walifungwa.ni kina nani hao???
Ukiijua kweli itakuweka huru. Nduguzangu hii ni ngumu kumeza ila ipo katika politiko sayansi nimeona si vyema kuficha ngoja tuelimishane japo kidogo. Nikisema sayansi ninamaana ni uchunguzi wa kimaabara kupata ukweli, iko hivi Mbowe alijenga nguvu ya umma bila huo umma kuupa hiyo nguvu. Nini maana yake. Katika uongozi wa nguvu ya umma uwa maamuzi, mamlaka na haki zinasikilizwa kutoka chini kwenda juu.
Tofauti kabisa na Mbowe ambapo mdomoni alikuwa anauburi nguvu ya umma wakati maamuzi yote yalitoka juu kwa mtu mmoja au watu wachache kuwafikia wengi ndiyo maana leo yupo Segerea wafuasi wake wanapanga foleni kwenda kumsalimia wakati kama ingekuwa kweli ni nguvu ya umma wasinge sogea hata mmoja pale gerezani ila wote wangekuwa barabarani.
Ndiyo maana kisayansi utaona Nelson Mandela alipofungwa gerezani ni mkewe, watoto wake na baadhi tu ya viongozi wachache ndiyo walikuwa wanakwenda kumtembelea na si umati wote ulikusanyika gerezani. Ila habari ilikuwa kule Natali, Soweto, Zululandi na mitaani Kaburu Bota alikuwa anausikia mziki mkubwa. Lakini leo tumeshuhudia watu wakikodi magari kutoka mikoani kwenda gerezani na mahakamani kumwona kiongozi wao.
Angalia Jakobu Zuma alipohukumiwa kufungwa kwa uonevu hakuna mtu alieenda gerezani hata kumsalimia au kutia fujo, mziki waliufungulia kama nguvu ya umma mtaani. Hii ndiyo maana ya nguvu ya umma, sasa ukiona wafuasi wanaomba kibali kwa bwana jela kumwona mtuumiwa au mfungwa ujue biashara imeisha kwani wamekubali yote.
Jamani huu ni ukweli ila si mtam hivyo kama wewe mfuasi unaenda Segerea wewe ni mtu mstaarabu sana tena kuzidi wale wa Lumumba unafuata sharia za nchi na unaenda pale kiungwana kumsalimia mtuhumiwa kama tunavyokwenda kuwaona wagonjwa hosipitali na hiyo si nguvu ya umma hata mkiwa milioni bado uwezi kuita nguvu ya umma.
Hivyo Mbowe yeye mwenyewe kwa mikono yake alifeki nguvu ya umma na kujenga nguvu ya waungwana ndiyo maana leo waungwana wote wanajipanga jinsi na namna ya kwenda Segerea kumsalimia kiongozi wao na hii inamaana kuwa hata atakapo hukumiwa (kama) ndiyo wataenda kwa wingi sana kumwona Mbowe gerezani. Eleweni nguvu ya umma si kufuata katiba, nguvu ya umma yenyewe ni katiba tosha sasa ukiona nguvu ya uma inafuata katiba ujue hapo ni matango poli.
Hivyo kwa vijana wa Ufipa mliobahatika kwenda shule na mnapenda nguvu ya umma anzeni kushauri na kujenga nguvu ya umma kwani inawezekana na humu waacheni vilaza waendelee kutukana mitusi kwani hawana elimu ninyi jengeni taasisi hiyo iposiku Mungu mkubwa.
Mi nalishauri jeshi la magereza kuweka utaratibu mzuri wa hawa waungwana kuweza kumsalimia kiongozi wao kwani hilo si kosa hata kidogo bali wanafuata sharia na wanaimani na kiongozi wao na wanampenda na ni watiifu kwa serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Magaidi wa uamsho wapo wapi?
wamehukumiwa miaka mingapi?
kutesa watu kwa kivuli cha ugaidi hyo sio haki
Ukiijua kweli itakuweka huru. Nduguzangu hii ni ngumu kumeza ila ipo katika politiko sayansi nimeona si vyema kuficha ngoja tuelimishane japo kidogo. Nikisema sayansi ninamaana ni uchunguzi wa kimaabara kupata ukweli, iko hivi Mbowe alijenga nguvu ya umma bila huo umma kuupa hiyo nguvu. Nini maana yake. Katika uongozi wa nguvu ya umma uwa maamuzi, mamlaka na haki zinasikilizwa kutoka chini kwenda juu.
Tofauti kabisa na Mbowe ambapo mdomoni alikuwa anauburi nguvu ya umma wakati maamuzi yote yalitoka juu kwa mtu mmoja au watu wachache kuwafikia wengi ndiyo maana leo yupo Segerea wafuasi wake wanapanga foleni kwenda kumsalimia wakati kama ingekuwa kweli ni nguvu ya umma wasinge sogea hata mmoja pale gerezani ila wote wangekuwa barabarani.
Ndiyo maana kisayansi utaona Nelson Mandela alipofungwa gerezani ni mkewe, watoto wake na baadhi tu ya viongozi wachache ndiyo walikuwa wanakwenda kumtembelea na si umati wote ulikusanyika gerezani. Ila habari ilikuwa kule Natali, Soweto, Zululandi na mitaani Kaburu Bota alikuwa anausikia mziki mkubwa. Lakini leo tumeshuhudia watu wakikodi magari kutoka mikoani kwenda gerezani na mahakamani kumwona kiongozi wao.
Angalia Jakobu Zuma alipohukumiwa kufungwa kwa uonevu hakuna mtu alieenda gerezani hata kumsalimia au kutia fujo, mziki waliufungulia kama nguvu ya umma mtaani. Hii ndiyo maana ya nguvu ya umma, sasa ukiona wafuasi wanaomba kibali kwa bwana jela kumwona mtuumiwa au mfungwa ujue biashara imeisha kwani wamekubali yote.
Jamani huu ni ukweli ila si mtam hivyo kama wewe mfuasi unaenda Segerea wewe ni mtu mstaarabu sana tena kuzidi wale wa Lumumba unafuata sharia za nchi na unaenda pale kiungwana kumsalimia mtuhumiwa kama tunavyokwenda kuwaona wagonjwa hosipitali na hiyo si nguvu ya umma hata mkiwa milioni bado uwezi kuita nguvu ya umma.
Hivyo Mbowe yeye mwenyewe kwa mikono yake alifeki nguvu ya umma na kujenga nguvu ya waungwana ndiyo maana leo waungwana wote wanajipanga jinsi na namna ya kwenda Segerea kumsalimia kiongozi wao na hii inamaana kuwa hata atakapo hukumiwa (kama) ndiyo wataenda kwa wingi sana kumwona Mbowe gerezani. Eleweni nguvu ya umma si kufuata katiba, nguvu ya umma yenyewe ni katiba tosha sasa ukiona nguvu ya uma inafuata katiba ujue hapo ni matango poli.
Hivyo kwa vijana wa Ufipa mliobahatika kwenda shule na mnapenda nguvu ya umma anzeni kushauri na kujenga nguvu ya umma kwani inawezekana na humu waacheni vilaza waendelee kutukana mitusi kwani hawana elimu ninyi jengeni taasisi hiyo iposiku Mungu mkubwa.
Mi nalishauri jeshi la magereza kuweka utaratibu mzuri wa hawa waungwana kuweza kumsalimia kiongozi wao kwani hilo si kosa hata kidogo bali wanafuata sharia na wanaimani na kiongozi wao na wanampenda na ni watiifu kwa serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
kikatiba hana mamlaka ya kuingilia maamuzi ya sheria! kwan hujasoma judiciary, legislature na parliament?
Kwa hiyo hao waliokwenda wao ni nguvu ya nini. Ulitaka waende na ma silaha wachome vitu moto na kufanya unyang'anyi ndio mguvu ya umma unayosemea hapa? Hivi unakua kama sio mbowe kuwa mstaarabu leo hii bado watu wanagongana vichwa? Hivi angeamua na yeye kujilipua kama akina byesige au bob wine ingekuwaje.Ukiijua kweli itakuweka huru. Nduguzangu hii ni ngumu kumeza ila ipo katika politiko sayansi nimeona si vyema kuficha ngoja tuelimishane japo kidogo. Nikisema sayansi ninamaana ni uchunguzi wa kimaabara kupata ukweli, iko hivi Mbowe alijenga nguvu ya umma bila huo umma kuupa hiyo nguvu. Nini maana yake. Katika uongozi wa nguvu ya umma uwa maamuzi, mamlaka na haki zinasikilizwa kutoka chini kwenda juu.
Tofauti kabisa na Mbowe ambapo mdomoni alikuwa anauburi nguvu ya umma wakati maamuzi yote yalitoka juu kwa mtu mmoja au watu wachache kuwafikia wengi ndiyo maana leo yupo Segerea wafuasi wake wanapanga foleni kwenda kumsalimia wakati kama ingekuwa kweli ni nguvu ya umma wasinge sogea hata mmoja pale gerezani ila wote wangekuwa barabarani.
Ndiyo maana kisayansi utaona Nelson Mandela alipofungwa gerezani ni mkewe, watoto wake na baadhi tu ya viongozi wachache ndiyo walikuwa wanakwenda kumtembelea na si umati wote ulikusanyika gerezani. Ila habari ilikuwa kule Natali, Soweto, Zululandi na mitaani Kaburu Bota alikuwa anausikia mziki mkubwa. Lakini leo tumeshuhudia watu wakikodi magari kutoka mikoani kwenda gerezani na mahakamani kumwona kiongozi wao.
Angalia Jakobu Zuma alipohukumiwa kufungwa kwa uonevu hakuna mtu alieenda gerezani hata kumsalimia au kutia fujo, mziki waliufungulia kama nguvu ya umma mtaani. Hii ndiyo maana ya nguvu ya umma, sasa ukiona wafuasi wanaomba kibali kwa bwana jela kumwona mtuumiwa au mfungwa ujue biashara imeisha kwani wamekubali yote.
Jamani huu ni ukweli ila si mtam hivyo kama wewe mfuasi unaenda Segerea wewe ni mtu mstaarabu sana tena kuzidi wale wa Lumumba unafuata sharia za nchi na unaenda pale kiungwana kumsalimia mtuhumiwa kama tunavyokwenda kuwaona wagonjwa hosipitali na hiyo si nguvu ya umma hata mkiwa milioni bado uwezi kuita nguvu ya umma.
Hivyo Mbowe yeye mwenyewe kwa mikono yake alifeki nguvu ya umma na kujenga nguvu ya waungwana ndiyo maana leo waungwana wote wanajipanga jinsi na namna ya kwenda Segerea kumsalimia kiongozi wao na hii inamaana kuwa hata atakapo hukumiwa (kama) ndiyo wataenda kwa wingi sana kumwona Mbowe gerezani. Eleweni nguvu ya umma si kufuata katiba, nguvu ya umma yenyewe ni katiba tosha sasa ukiona nguvu ya uma inafuata katiba ujue hapo ni matango poli.
Hivyo kwa vijana wa Ufipa mliobahatika kwenda shule na mnapenda nguvu ya umma anzeni kushauri na kujenga nguvu ya umma kwani inawezekana na humu waacheni vilaza waendelee kutukana mitusi kwani hawana elimu ninyi jengeni taasisi hiyo iposiku Mungu mkubwa.
Mi nalishauri jeshi la magereza kuweka utaratibu mzuri wa hawa waungwana kuweza kumsalimia kiongozi wao kwani hilo si kosa hata kidogo bali wanafuata sharia na wanaimani na kiongozi wao na wanampenda na ni watiifu kwa serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hayo ni maandiko tu ila siyo utekelezajikikatiba hana mamlaka ya kuingilia maamuzi ya sheria! kwan hujasoma judiciary, legislature na parliament?
Punguza ujinga hauwezi kukusaidia.sana sana unalidhalilisha tu jeshi la polisi.Familia ya Chacha Wangwe kupitia mjane wake wanahoji na kuitaka serikali iwakamate wote waliokuwa nyuma ya mpango wa mauaji ya mumewe kupitia kijana mtiifu kwa mwenyekiti Dereva Deus Malya.
Ndio maana Mbowe aliokolewa na Polisi kuwakimbia wana Tarime na mpaka leo hathubutu kutia pua kule.