Tuwe wakweli katika mabalozi wote wa Tanzania Polepole anajitahidi

Tuwe wakweli katika mabalozi wote wa Tanzania Polepole anajitahidi

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Naona kila anapopangiwa hatulii. Atapambana kutafuta fursa na kujaribu kuconnect na watanzania wanaovutiwa. Nimeona matangazo yake huko Cuba anajitahidi.

Sijajua matokeo ya ubunifu wake lakini kwa mtazamo wangu wa kiraia anajitqhidi. Kuna wengine wakipangiwa ndio unasahau kama huyo mtu yupo duniani.

Nashauri Mh Rais aanze kujaribu vijana kwenye nafasi za balozi. Kwa sababu wanakuwa na malengo ya kukua watafanyq ubunifu na nchi itapiga hatua. Sio mara ya kwanza, Kama SAS aliwahi kuwa balozi wa Tanzania Misri akiwa na miaka 22, naamini hata leo wako wengi.

Vijana wajaribiwe katika hili pia.
 
Naona kila anapopangiwa hatulii. Atapambana kutafuta fursa na kujaribu kuconnect na watanzania wanaovutiwa. Nimeona matangazo yake huko Cuba anajitahidi.

Sijajua matokeo ya ubunifu wake lakini kwa mtazamo wangu wa kiraia anajitqhidi. Kuna wengine wakipangiwa ndio unasahau kama huyo mtu yupo duniani.

Nashauri Mh Rais aanze kujaribu vijana kwenye nafasi za balozi. Kwa sababu wanakuwa na malengo ya kukua watafanyq ubunifu na nchi itapiga hatua. Sio mara ya kwanza, Kama SAS aliwahi kuwa balozi wa Tanzania Misri akiwa na miaka 22, naamini hata leo wako wengi.

Vijana wajaribiwe katika hili pia.
Matangazo ya nini na anajitahidi nini?
 
Naona kila anapopangiwa hatulii. Atapambana kutafuta fursa na kujaribu kuconnect na watanzania wanaovutiwa. Nimeona matangazo yake huko Cuba anajitahidi.

Sijajua matokeo ya ubunifu wake lakini kwa mtazamo wangu wa kiraia anajitqhidi. Kuna wengine wakipangiwa ndio unasahau kama huyo mtu yupo duniani.

Nashauri Mh Rais aanze kujaribu vijana kwenye nafasi za balozi. Kwa sababu wanakuwa na malengo ya kukua watafanyq ubunifu na nchi itapiga hatua. Sio mara ya kwanza, Kama SAS aliwahi kuwa balozi wa Tanzania Misri akiwa na miaka 22, naamini hata leo wako wengi.

Vijana wajaribiwe katika hili pia.
Ila ccm haiwapendi watu wa namna hiyo ndo shida
 
Balozi Kairuki (China na UK)
3380C11D-988D-4DB4-AD75-68DA5128BA52.jpeg


9A91B528-798F-4853-9286-9C81517B5309.jpeg


50018D5D-0536-4CF4-A64E-6B44B06B690B.jpeg


12EA2F92-8492-4AE7-9AD2-B2489D2F5623.jpeg



Balozi Polepole (Cuba)
A4EB97B0-BB66-4E3D-AE66-F2A25481DCE2.jpeg


12AA54E8-4C60-4C24-B42F-6AAED1440767.jpeg


FB30CB84-0708-45F7-9986-A849BFB16DD4.jpeg



Balozi mavura (Korea)
6426C3C8-AEB8-423F-BAEC-D24DCD3350BA.jpeg


F787A7D2-404D-429B-A3DA-B23A224D47DC.jpeg




Balozi makocha (Indonesia)
8B220CC5-20DF-48A4-AD4A-F53E01FAF39F.jpeg


DFF3F13E-4257-425E-9A64-8AFA4BFD4501.jpeg




Balozi aliyekuwepo Saudia


Hawa wana kitu watafika mbali...!



Ata ukiingia ktk IG za ubalozi una ona kuna kitu cha msaada kati ya nchi hizo za nchi yetu kwa raia wake kwa maswala yanayo wahusu

Polepole tangu akiwa malawi kafanya vizuri kwa kuunganisha fursa mbalimbali na raia wa tz kiuchumi nk

Ameenda Cuba tuna ona Cuba ina uhitaji wa bidhaa ambazo zinaweza patikana tz kama mafuta ya alzeti, walimu wa kiswahili, mashirikiano kt ya vyuo vya Cuba na vyetu na taasisi mbalimbali, kuongezeka uwekezaji hasa ktk mradi wa kiwanda cha kibaha

Huyu kairuki anajieleza... hawa wawekezaji wa cement ya kichina ni nguvu zake!

Mwakani mafundi uhashi wanaenda china kujifunza, ana mabalaaa huyu balozi

Huyu wa korea ni mpya lakini kazi anaipiga

Kuna kijana mwingine ndugu yake Ally Mayai tembele Ndg. Balozi Makocha huko Indonesia nae ni kijana mdogo ila kazi anaipiga wote hawa wametoka kwenye mzizi wenyewe hivyo ata kazi wanaipiga haswa na kwa kujiamini
 
Naona kila anapopangiwa hatulii. Atapambana kutafuta fursa na kujaribu kuconnect na watanzania wanaovutiwa. Nimeona matangazo yake huko Cuba anajitahidi.

Sijajua matokeo ya ubunifu wake lakini kwa mtazamo wangu wa kiraia anajitqhidi. Kuna wengine wakipangiwa ndio unasahau kama huyo mtu yupo duniani.

Nashauri Mh Rais aanze kujaribu vijana kwenye nafasi za balozi. Kwa sababu wanakuwa na malengo ya kukua watafanyq ubunifu na nchi itapiga hatua. Sio mara ya kwanza, Kama SAS aliwahi kuwa balozi wa Tanzania Misri akiwa na miaka 22, naamini hata leo wako wengi.

Vijana wajaribiwe katika hili pia.
Hamna bana. Unajuwa kwa nini alifukuzwa malawi. Ni Kwa sababu chakubanga alipeleka kipindupindu na kimbunga. Malawi haijawahi kuwa na haya majanga. Laki jamaa alivyopelekwa tu yakaanza kutokea. Ikabidi apewe marching order.
 
Sana, nakumbuka enzi ya Magu.

uwajibishaji maDC na maDED kupitia Tv moja hivi nadhani (Channel ten); usiku saa tatu wanapigiwa simu kuelezea vilio vya wananchi.

Itachukua miaka mingi kurejea uongozi huo.
 
Polepole hajawahi jua ubalozi ni nini .Magu aliwaharibu hawa wanaamini kwenye matv yaan huyu mama alimuendekeza eti alimpa kumfunga mdomo .huyu mhalifu unampaje ubalozi?? Zaman mabalozi tulikuwa tunaamini mabubu walikuwa hata hawaongei.ile ni level ya juu kuheshimiwa polepole hafai sio kuwa balozi hata ukuu wa wilaya hapana arudi ajibu tuhuma za utekaji na mauaji...unaijua vieeeitee wewe
 
Naona kila anapopangiwa hatulii. Atapambana kutafuta fursa na kujaribu kuconnect na watanzania wanaovutiwa. Nimeona matangazo yake huko Cuba anajitahidi.

Nashauri Mh Rais aanze kujaribu vijana kwenye nafasi za balozi. Kwa sababu wanakuwa na malengo ya kukua watafanyq ubunifu na nchi itapiga hatua. Sio mara ya kwanza, Kama SAS aliwahi kuwa balozi wa Tanzania Misri akiwa na miaka 22, naamini hata leo wako wengi.

Vijana wajaribiwe katika hili pia.
Naunga mkono hoja, Pole Pole is good na mimi nili mspot kitambo Japo anaonekana mtu wa kawaida tu ndani ya CCM, Humphrey Polepole sio mtu wa kawaida!, He is extra ordinary very powerful! na Kuna uwezekano Watanzania tuna tatizo la uelewa? Nikimsikiliza Polepole, namuona Mwl. Nyerere. Nyie msiomuelewa Polepole, je Nyerere mngemuelewa?
P
 
Polepole hajawahi jua ubalozi ni nini .Magu aliwaharibu hawa wanaamini kwenye matv yaan huyu mama alimuendekeza eti alimpa kumfunga mdomo .huyu mhalifu unampaje ubalozi?? Zaman mabalozi tulikuwa tunaamini mabubu walikuwa hata hawaongei.ile ni level ya juu kuheshimiwa polepole hafai sio kuwa balozi hata ukuu wa wilaya hapana arudi ajibu tuhuma za utekaji na mauaji...unaijua vieeeitee wewe
Alimteka na Kumuua nani?
 
Back
Top Bottom