Tuwe wakweli katika mabalozi wote wa Tanzania Polepole anajitahidi

Tuwe wakweli katika mabalozi wote wa Tanzania Polepole anajitahidi

Balozi Kairuki (China na UK)
View attachment 2730915

View attachment 2730916

View attachment 2730917

View attachment 2730918


Balozi Polepole (Cuba)
View attachment 2730919

View attachment 2730920

View attachment 2730921


Balozi mavura (Korea)
View attachment 2730922

View attachment 2730923



Balozi makocha (Indonesia)
View attachment 2730924

View attachment 2730925



Balozi aliyekuwepo Saudia


Hawa wana kitu watafika mbali...!



Ata ukiingia ktk IG za ubalozi una ona kuna kitu cha msaada kati ya nchi hizo za nchi yetu kwa raia wake kwa maswala yanayo wahusu

Polepole tangu akiwa malawi kafanya vizuri kwa kuunganisha fursa mbalimbali na raia wa tz kiuchumi nk

Ameenda Cuba tuna ona Cuba ina uhitaji wa bidhaa ambazo zinaweza patikana tz kama mafuta ya alzeti, walimu wa kiswahili, mashirikiano kt ya vyuo vya Cuba na vyetu na taasisi mbalimbali, kuongezeka uwekezaji hasa ktk mradi wa kiwanda cha kibaha

Huyu kairuki anajieleza... hawa wawekezaji wa cement ya kichina ni nguvu zake!

Mwakani mafundi uhashi wanaenda china kujifunza, ana mabalaaa huyu balozi

Huyu wa korea ni mpya lakini kazi anaipiga

Kuna kijana mwingine ndugu yake Ally Mayai tembele Ndg. Balozi Makocha huko Indonesia nae ni kijana mdogo ila kazi anaipiga wote hawa wametoka kwenye mzizi wenyewe hivyo ata kazi wanaipiga haswa na kwa kujiamini
Vizuri wakija kuombea urahisi watakuwa na uwigo mpana zaidi WA kututafutia fursa
 
Tumjaribu mtu wa kumlipa 10m kwa mwezi.
Haya mawazo ya kimasikini mkuu.
Mil 10 ni pesa ndogo sana katika dunia ya sasa. Kuna watu wanaipata kwa saa tu. Mfano mtoto mdogo kabisa Youtuber Ryan Kaji analipwa zaidi ya mil 100 kwa mwezi na Youtube.

Watafutwe vijana wenye uwezo na maono wachanganywe kwenye hao wastaafu na PHDs katika fursa za ubalozi. Dunia inakwenda kasi angalau vijana wadogo wenye akili changa wanaoendana na kasi wanaweza kuwa na msaada pia.
 
Haya mawazo ya kimasikini mkuu.
Mil 10 ni pesa ndogo sana katika dunia ya sasa. Kuna watu wanaipata kwa saa tu. Mfano mtoto mdogo kabisa Youtuber Ryan Kaji analipwa zaidi ya mil 100 kwa mwezi na Youtube.

Watafutwe vijana wenye uwezo na maono wachanganywe kwenye hao wastaafu na PHDs katika fursa za ubalozi. Dunia inakwenda kasi angalau vijana wadogo wenye akili changa wanaoendana na kasi wanaweza kuwa na msaada pia.
Huyo Ryan Kaji ni mtanzania?

10M nazungumzia kwa salary scale za serikali. Kwamba ni mdogo au kubwa.

Maana hata 100m unayoisemea kuwa ni kubwa nayo ni mdogo ukilinganisha na mshahara wa Ronaldo Saudi Arabia. Tusiende KWA style hii. Maana pia kuna wanaoingiza fedha kuliko Ronaldo.
 
Naona kila anapopangiwa hatulii. Atapambana kutafuta fursa na kujaribu kuconnect na watanzania wanaovutiwa. Nimeona matangazo yake huko Cuba anajitahidi.

Sijajua matokeo ya ubunifu wake lakini kwa mtazamo wangu wa kiraia anajitqhidi. Kuna wengine wakipangiwa ndio unasahau kama huyo mtu yupo duniani.

Nashauri Mh Rais aanze kujaribu vijana kwenye nafasi za balozi. Kwa sababu wanakuwa na malengo ya kukua watafanyq ubunifu na nchi itapiga hatua. Sio mara ya kwanza, Kama SAS aliwahi kuwa balozi wa Tanzania Misri akiwa na miaka 22, naamini hata leo wako wengi.

Vijana wajaribiwe katika hili pia.
Lengo ka waliomteua lilikuwa ni kumpoteza sio kuchakalika
 
Huyo Ryan Kaji ni mtanzania?

10M nazungumzia kwa salary scale za serikali. Kwamba ni mdogo au kubwa.

Maana hata 100m unayoisemea kuwa ni kubwa nayo ni mdogo ukilinganisha na mshahara wa Ronaldo Saudi Arabia. Tusiende KWA style hii. Maana pia kuna wanaoingiza fedha kuliko Ronaldo.
hii!
 
Matangazo ya nini na anajitahidi nini?

Screenshot_20230828-070923_Facebook.jpg
Screenshot_20230828-070758_Facebook.jpg
 
Huyo Ryan Kaji ni mtanzania?

10M nazungumzia kwa salary scale za serikali. Kwamba ni mdogo au kubwa.

Maana hata 100m unayoisemea kuwa ni kubwa nayo ni mdogo ukilinganisha na mshahara wa Ronaldo Saudi Arabia. Tusiende KWA style hii. Maana pia kuna wanaoingiza fedha kuliko Ronaldo.
Nimekupa mfano kwenye uzi. Salim Ahmed Salimu alipewa ubalozi akiwa na miaka 22. Kutokea hapo career yake ikakua na kuwa mwanadiplomasia mkubwa duniani. Kama iliwezekana miaka hiyo bado unawezekana hata leo.

Nimekupa huo mfano kuona unahofu na pesa. Huo mshahara sio kitu kulinganisha na hiki ninachokisema. Kama issue ni pesa kuna watoto wa dogo tu hata wa bongo hapa wakifundishwa niche flani online kama content creators wanaweza kuipata kwa siku moja tu sio lazima uwe ulaya.
 
Sana, nakumbuka enzi ya Magu.

uwajibishaji maDC na maDED kupitia Tv moja hivi nadhani (Channel ten); usiku saa tatu wanapigiwa simu kuelezea vilio vya wananchi.

Itachukua miaka mingi kurejea uongozi huo.
Alafu CCM walivyowajinga wakaacha ile segment wakati ilikuwa inawabeba na kuwafanya Wananchi waiamini CCM!
 
Alafu CCM walivyowajinga wakaacha ile segment wakati ilikuwa inawabeba na kuwafanya Wananchi waiamini CCM!
Sijui kwanini waliachana nayo badala ya kuiendeleza hadi huko BBC na Aljazeera wawaone.
 
Sana, nakumbuka enzi ya Magu.

uwajibishaji maDC na maDED kupitia Tv moja hivi nadhani (Channel ten); usiku saa tatu wanapigiwa simu kuelezea vilio vya wananchi.

Itachukua miaka mingi kurejea uongozi huo.
Huo sio uongozi endelevu wa nchi, nchi inatakiwa kuongozwa kimfumo kuliko one man show.
 
Back
Top Bottom