matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Matangazo ya nini na anajitahidi nini?Naona kila anapopangiwa hatulii. Atapambana kutafuta fursa na kujaribu kuconnect na watanzania wanaovutiwa. Nimeona matangazo yake huko Cuba anajitahidi.
Sijajua matokeo ya ubunifu wake lakini kwa mtazamo wangu wa kiraia anajitqhidi. Kuna wengine wakipangiwa ndio unasahau kama huyo mtu yupo duniani.
Nashauri Mh Rais aanze kujaribu vijana kwenye nafasi za balozi. Kwa sababu wanakuwa na malengo ya kukua watafanyq ubunifu na nchi itapiga hatua. Sio mara ya kwanza, Kama SAS aliwahi kuwa balozi wa Tanzania Misri akiwa na miaka 22, naamini hata leo wako wengi.
Vijana wajaribiwe katika hili pia.
Ila ccm haiwapendi watu wa namna hiyo ndo shidaNaona kila anapopangiwa hatulii. Atapambana kutafuta fursa na kujaribu kuconnect na watanzania wanaovutiwa. Nimeona matangazo yake huko Cuba anajitahidi.
Sijajua matokeo ya ubunifu wake lakini kwa mtazamo wangu wa kiraia anajitqhidi. Kuna wengine wakipangiwa ndio unasahau kama huyo mtu yupo duniani.
Nashauri Mh Rais aanze kujaribu vijana kwenye nafasi za balozi. Kwa sababu wanakuwa na malengo ya kukua watafanyq ubunifu na nchi itapiga hatua. Sio mara ya kwanza, Kama SAS aliwahi kuwa balozi wa Tanzania Misri akiwa na miaka 22, naamini hata leo wako wengi.
Vijana wajaribiwe katika hili pia.
Umesoma paragraph ya kwanza? Au umesoma hukuelewa?Matangazo ya nini na anajitahidi nini?
Matangazo ya nini na anajitahidi nini?
Sina muda huo.
"fulsa" ndiyo nini, matunda yanayopatikana Cuba?Umesoma paragraph ya kwanza? Au umesoma hukuelewa?
Kwa ufupi: Anajitahidi kutafuta fulsa, na matangazo ni ya hizo fulsa.
Hamna bana. Unajuwa kwa nini alifukuzwa malawi. Ni Kwa sababu chakubanga alipeleka kipindupindu na kimbunga. Malawi haijawahi kuwa na haya majanga. Laki jamaa alivyopelekwa tu yakaanza kutokea. Ikabidi apewe marching order.Naona kila anapopangiwa hatulii. Atapambana kutafuta fursa na kujaribu kuconnect na watanzania wanaovutiwa. Nimeona matangazo yake huko Cuba anajitahidi.
Sijajua matokeo ya ubunifu wake lakini kwa mtazamo wangu wa kiraia anajitqhidi. Kuna wengine wakipangiwa ndio unasahau kama huyo mtu yupo duniani.
Nashauri Mh Rais aanze kujaribu vijana kwenye nafasi za balozi. Kwa sababu wanakuwa na malengo ya kukua watafanyq ubunifu na nchi itapiga hatua. Sio mara ya kwanza, Kama SAS aliwahi kuwa balozi wa Tanzania Misri akiwa na miaka 22, naamini hata leo wako wengi.
Vijana wajaribiwe katika hili pia.
Rubbish [emoji1005]Hamna bana. Unajuwa kwa nini alifukuzwa malawi. Ni Kwa sababu chakubanga alipeleka kipindupindu na kimbunga. Malawi haijawahi kuwa na haya majanga. Laki jamaa alivyopelekwa tu yakaanza kutokea. Ikabidi apewe marching order.
Naunga mkono hoja, Pole Pole is good na mimi nili mspot kitambo Japo anaonekana mtu wa kawaida tu ndani ya CCM, Humphrey Polepole sio mtu wa kawaida!, He is extra ordinary very powerful! na Kuna uwezekano Watanzania tuna tatizo la uelewa? Nikimsikiliza Polepole, namuona Mwl. Nyerere. Nyie msiomuelewa Polepole, je Nyerere mngemuelewa?Naona kila anapopangiwa hatulii. Atapambana kutafuta fursa na kujaribu kuconnect na watanzania wanaovutiwa. Nimeona matangazo yake huko Cuba anajitahidi.
Nashauri Mh Rais aanze kujaribu vijana kwenye nafasi za balozi. Kwa sababu wanakuwa na malengo ya kukua watafanyq ubunifu na nchi itapiga hatua. Sio mara ya kwanza, Kama SAS aliwahi kuwa balozi wa Tanzania Misri akiwa na miaka 22, naamini hata leo wako wengi.
Vijana wajaribiwe katika hili pia.
Alimteka na Kumuua nani?Polepole hajawahi jua ubalozi ni nini .Magu aliwaharibu hawa wanaamini kwenye matv yaan huyu mama alimuendekeza eti alimpa kumfunga mdomo .huyu mhalifu unampaje ubalozi?? Zaman mabalozi tulikuwa tunaamini mabubu walikuwa hata hawaongei.ile ni level ya juu kuheshimiwa polepole hafai sio kuwa balozi hata ukuu wa wilaya hapana arudi ajibu tuhuma za utekaji na mauaji...unaijua vieeeitee wewe
Nilijua tu utaiona fulsa ! Hukopeshi ??! 😅"fulsa" ndiyo nini, matunda yanayopatikana Cuba?
Kwamba ni siri ? Kwan magu hata magu si hakuagiza lissu apigwe .Alimteka na Kumuua nani?
Mara Magu mara PolepoleKwamba ni siri ? Kwan magu hata magu si hakuagiza lissu apigwe .
Nimekukataza kukaa lumumba Mika 50 bado hujajenga