OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Jitahidi. Ukizubaa utaonjwa weweDaaah inabidi nionje kwa kweli
Tuwe waaminifu,tuheshimu ndoa zetu na hofu ya Mungu ni muhimu. Vitabu vya dini zote vimekemea uzinzi.
Ila ukweli ni kwamba kila mwanamke ana ladha yake tofauti.Kusema kwamba utamaliza bucha zote nyama ni ileile sio kweli..nyama ni tofauti.
Ukimwi upo kazini wakuu tuache uzinzi
YES UKIMWI UPO NA UNAUA.
ila comments ziwe fupi jamani.
Nakubaliana nawewe sijawahi kuona papuchi tamu kama ya mama zakaria wakati mwingine najiuliza ameweka nini Mbona ladha yake sio ya dunia hii
Dah we acha tu, kuna demu mmoja hv mtu wa Mara huko Mkurya nilisema nipite nionje la haula mpk sasa sijafuta namba yake.... hapo sijamtaja yule beki tatu wa jirani yangu ni mchaga mtamu balaa! Sijui hata tufanyaje na umri unanitupa mkono [emoji26][emoji26][emoji26]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pesa changamoto aiseee! Acha turuke nao hivyo hivyoWaoe wote [emoji12]
Ni kweli kabisa.Tuwe waaminifu,tuheshimu ndoa zetu na hofu ya Mungu ni muhimu. Vitabu vya dini zote vimekemea uzinzi.
Ila ukweli ni kwamba kila mwanamke ana ladha yake tofauti.Kusema kwamba utamaliza bucha zote nyama ni ileile sio kweli..nyama ni tofauti.
Ukimwi upo kazini wakuu tuache uzinzi
Aisee hebu weka picha tuoneNakubaliana nawewe sijawahi kuona papuchi tamu kama ya mama zakaria wakati mwingine najiuliza ameweka nini Mbona ladha yake sio ya dunia hii