OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Tuwe waaminifu, tuheshimu ndoa zetu na hofu ya Mungu ni muhimu. Vitabu vya dini zote vimekemea uzinzi.
Ila ukweli ni kwamba kila mwanamke ana ladha yake tofauti.Kusema kwamba utamaliza bucha zote nyama ni ileile sio kweli..nyama ni tofauti.
Nakumbuka Sophia alinionya nisimtongoze mate wake,kila nikimuuliza sababu hataki kusema. Siku moja akanitolea uvivu akaniambia Aisha ni mtamu sana, ameshavunja ndoa nyingi tu kwa sababu ya utamu wake. Akasema akikupa penzi huwezi kudhubutu kumuacha.
UKIMWIupo kazini wakuu tuache uzinzi
Ila ukweli ni kwamba kila mwanamke ana ladha yake tofauti.Kusema kwamba utamaliza bucha zote nyama ni ileile sio kweli..nyama ni tofauti.
Nakumbuka Sophia alinionya nisimtongoze mate wake,kila nikimuuliza sababu hataki kusema. Siku moja akanitolea uvivu akaniambia Aisha ni mtamu sana, ameshavunja ndoa nyingi tu kwa sababu ya utamu wake. Akasema akikupa penzi huwezi kudhubutu kumuacha.
UKIMWIupo kazini wakuu tuache uzinzi