Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Wacha wee.Hata mechi za ndani anashinda Kwa sababu mechi nyingi zinachezwa nje ya uwanja , Yani Hz mechi za ndani hata kichaa ukimpa timu anashinda cha msingi tu kamati ya nje ya uwanja iwe vzur
Umezikumbuka Zanaco na Rivers ukaisahau Zalan ili uaminishe watu NABI hajashinda mechi yoyote ya kimaifa akiwa na Yanga.Baada ya mechi 2 za Yanga na Al hilal nikaona nisubiri mechi ya leo ili nifanye hitimisho km kweli Nabi ana uwezo wa kuiwezesha Yanga kufanya vzr kimataifa au laa. Nisema tu Yanga wasitarajie maajabu yoyote kutoka kwa huyu Profesa aliye-specialize kwenye kushinda mechi za ndani. Hebu tuache rekodi ziongee kwa kutazama mechi za kimataifa ambazo Nabi kaiongoza Yanga.
1.Yanga VS Rivers United 0:1 lose
2.Rivers United VS Yanga 1:0 lose
3.Yanga VS Al hilal 1:1 draw
4.Al hilal VS Yanga 1:0 lose
5.Yanga VS Club Africain 0:0 draw
Next.....??? Mimi Natabiri kipigo.
Mechi za kirafiki kimataifa Yanga Day.
6.Yanga VS Zanaco 1:2 lose
7.Yanga VS Vipers. 0:2 lose
Kati ya mechi saba Nabi kashinda mechi moja tu tena kwa mbinde. Hii ni rekodi mbaya kabisa kwa timu kubwa km Yanga.Mpaka hapo kwanini nisihitimishe kuwa huyu ni profesa wa mechi za ndani pekee?
Jana niliandika uzi kuonya km Yanga watacheza vile walivyocheza dhidi ya Al hilal kwa staili ya polepole( slow),hawatoweza kamwe kumfunga Club Africain. Cha ajabu leo wamecheza vile vile hali iliyofanya kutotengeneza shambulizi lolote la maana kwa dk zote 90.
Yanga wanacheza kwa kueleweka kuanzia kwa Diara hadi katikati ya uwanja. Baada ya hapo kila mtu anaanza kucheza anavyojua. Huoni timu ikicheza kwa mpangilio maalamu. Wakuamua kupiga chenga atapiga, wakuamua kukimbia na mpira atakimbia nao.Wa kupiga juu atapiga. Hapo ndipo nilipohitimisha kwa kusema Nabi hana uwezo wa mechi za kimataifa.
Sisemi afukuzwe ila Yanga waangalie malengo yao. Je malengo ni kuendelea kushinda ligi kuu pekee au wanataka kumfuata mtani wao kule aliko? Kazi ni kwao wenyewe wataamua.
Ni hayo tu kwa sasa.
Punguza kuropokaHata mechi za ndani anashinda Kwa sababu mechi nyingi zinachezwa nje ya uwanja , Yani Hz mechi za ndani hata kichaa ukimpa timu anashinda cha msingi tu kamati ya nje ya uwanja iwe vzur
SawaPunguza kuropoka
Huu uzi nilikuwa nautafuta sana, asante kwa kufukua. Jamaa kajiona genius kwenye uchambuzi saivi kaumbuka.Watu mkishiba makande mnajiona wachambuzi
Yale yale ya Chama Baleke na uzi wake wa Mayele na Kibu. ππHuu uzi nilikuwa nautafuta sana, asante kwa kufukua. Jamaa kajiona genius kwenye uchambuzi saivi kaumbuka.
hahahaha, jamaa wanaandikaga nyuzi,kuonesha UMBUMBUMBU WAO
Mungu fundi sana, walikuwa na nyimbo zao wenyewe kuwa Yanga wanashinda kwa bahasha sana, ngoja waende kimataifa wakaumbuke. Ila cha ajabu timu ipo hatua moja kucheza nusu fainali, wamehamia kwenye timu za shirikisho ni mbovu. Yaani kama ikitokea tumebeba hili kombe, yaani watakuwa wamepigwa KO ya kibabe sana. Virekodi vyao vya tuli tuli zote tutakuwa tumezifuta. Cha ajabu rekodi yenye ya tuli tuli ni kuisindikiza wsnzao tu.Yale yale ya Chama Baleke na uzi wake wa Mayele na Kibu. [emoji23][emoji23]
Makolo wana matatizo sana aisee.
Tuwazoee tu hawa ni kundi maalumuMungu fundi sana, walikuwa na nyimbo zao wenyewe kuwa Yanga wanashinda kwa bahasha sana, ngoja waende kimataifa wakaumbuke. Ila cha ajabu timu ipo hatua moja kucheza nusu fainali, wamehamia kwenye timu za shirikisho ni mbovu. Yaani kama ikitokea tumebeba hili kombe, yaani watakuwa wamepigwa KO ya kibabe sana. Virekodi vyao vya tuli tuli zote tutakuwa tumezifuta. Cha ajabu rekodi yenye ya tuli tuli ni kuisindikiza wsnzao tu.
Kingine tukibeba kombe yule anayelipwa milioni nne halafu anakula ugali na sukari kama masharti ya mganga nae atakuwa kapoteza pa kubwa sana kwenye historia yake ya mpira. Hatokuwa na furaha kamwe moyoni.
Hii aya ya mwisho inafikirisha sana.Mungu fundi sana, walikuwa na nyimbo zao wenyewe kuwa Yanga wanashinda kwa bahasha sana, ngoja waende kimataifa wakaumbuke. Ila cha ajabu timu ipo hatua moja kucheza nusu fainali, wamehamia kwenye timu za shirikisho ni mbovu. Yaani kama ikitokea tumebeba hili kombe, yaani watakuwa wamepigwa KO ya kibabe sana. Virekodi vyao vya tuli tuli zote tutakuwa tumezifuta. Cha ajabu rekodi yenye ya tuli tuli ni kuisindikiza wsnzao tu.
Kingine tukibeba kombe yule anayelipwa milioni nne halafu anakula ugali na sukari kama masharti ya mganga nae atakuwa kapoteza pa kubwa sana kwenye historia yake ya mpira. Hatokuwa na furaha kamwe moyoni.
Halafu baadae wanakimbia nyuzi zao. πππhahahaha, jamaa wanaandikaga nyuzi,kuonesha UMBUMBUMBU WAO
Hakika Mkuu.Mungu fundi sana, walikuwa na nyimbo zao wenyewe kuwa Yanga wanashinda kwa bahasha sana, ngoja waende kimataifa wakaumbuke. Ila cha ajabu timu ipo hatua moja kucheza nusu fainali, wamehamia kwenye timu za shirikisho ni mbovu. Yaani kama ikitokea tumebeba hili kombe, yaani watakuwa wamepigwa KO ya kibabe sana. Virekodi vyao vya tuli tuli zote tutakuwa tumezifuta. Cha ajabu rekodi yenye ya tuli tuli ni kuisindikiza wsnzao tu.
Ako kajamaa mpaka sasa kwa hatua tuliyofikia kanajuta kuifahamu Yanga na kameshajua kuwa bila yeye Kikosi cha Timu ya Wananchi kinaweza fanya chochote.Kingine tukibeba kombe yule anayelipwa milioni nne halafu anakula ugali na sukari kama masharti ya mganga nae atakuwa kapoteza pa kubwa sana kwenye historia yake ya mpira. Hatokuwa na furaha kamwe moyoni.
πππTuwazoee tu hawa ni kundi maalumu
hahahahahaHalafu baadae wanakimbia nyuzi zao. πππ