Tuwe wakweli kwamba Nyerere alifanya vibaya kuua Uhuru wa Tanganyika na kugawa rasilimali za Watanganyika kwa Wazanzibari wasiotaka vyao kuguswa

Tuwe wakweli kwamba Nyerere alifanya vibaya kuua Uhuru wa Tanganyika na kugawa rasilimali za Watanganyika kwa Wazanzibari wasiotaka vyao kuguswa

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Na gia zinavyobadilishwa angani huko wallahi bin Taabana Tanganyika tutaisoma Namba.

Wazanzibari wanatuchukia kwa nguvu zote na kutubagua kwa maksuidi tukiwa huko Zenji.

Ajira za serikali za Zanzibar inabidi uwe mzanzibari na ukilazimisha kuomba watabaki kukushangaa kwenye interview umeenda kufanya nini, wao wanaomba kote kote za huku bara tunazogawana nao na huko kwao kwajili ya peke yao.

JKT wabara wakimaliza mafunzo ni ngumu sana kupenya idara za ulinzi ila Zanzibar wananynyekewa sana kuingizwa idara za ulinzi, wabara wengi wanamaliza JKT pale wanarudi kulima vijijini ama kwenda Suma JKT kupokea mishahara ya laki 2, wachache sana wanatoboa kwenda idara za ulinzi, kwa Wazanzibari yani kumaliza JKT ni shavu.

Ardhi, leseni za udereva, siasa, n.k, mavyo vishazungumziwa sana kuhusu tabia ya vyao kutoguswa.
 
Na gia zinavyobadilishwa angani huko wallahi bin Taabana Tanganyika tutaisoma Namba..

Wazanzibari wanatuchukia kwa nguvu zote na kutubagua kwa maksuidi tukiwa huko Zenji,

Ajira za serikali za Zanzibar inabidi uwe mzanzibari na ukilazimisha kuomba watabaki kukushangaa kwenye interview umeenda kufanya nini, wao wanaomba kote kote za huku bara tunazogawana nao na huko kwao kwajili ya peke yao

Jkt wabara wakimaliza mafunzo ni ngumu sana kupenya idara za ulinzi ila Zanzibar wananynyekewa sana kuingizwa idara za ulinzi, wabara wengi wanamaliza jkt pale wanarudi kulima vijijini ama kwenda suma jkt kupokea mishahara ya laki 2, wachache sana wanatoboa kwenda idara za ulinzi, Kwa wazanzibari yani kumaliza jkt ni shavu.
Hayo ni kati ya makosa mengi ya Nyerere.
 
Na gia zinavyobadilishwa angani huko wallahi bin Taabana Tanganyika tutaisoma Namba..

Wazanzibari wanatuchukia kwa nguvu zote na kutubagua kwa maksuidi tukiwa huko Zenji,

Ajira za serikali za Zanzibar inabidi uwe mzanzibari na ukilazimisha kuomba watabaki kukushangaa kwenye interview umeenda kufanya nini, wao wanaomba kote kote za huku bara tunazogawana nao na huko kwao kwajili ya peke yao

Jkt wabara wakimaliza mafunzo ni ngumu sana kupenya idara za ulinzi ila Zanzibar wananynyekewa sana kuingizwa idara za ulinzi, wabara wengi wanamaliza jkt pale wanarudi kulima vijijini ama kwenda suma jkt kupokea mishahara ya laki 2, wachache sana wanatoboa kwenda idara za ulinzi, Kwa wazanzibari yani kumaliza jkt ni shavu.
Hata uhaini unajua mana yake?
 
Na gia zinavyobadilishwa angani huko wallahi bin Taabana Tanganyika tutaisoma Namba..

Wazanzibari wanatuchukia kwa nguvu zote na kutubagua kwa maksuidi tukiwa huko Zenji,

Ajira za serikali za Zanzibar inabidi uwe mzanzibari na ukilazimisha kuomba watabaki kukushangaa kwenye interview umeenda kufanya nini, wao wanaomba kote kote za huku bara tunazogawana nao na huko kwao kwajili ya peke yao

Jkt wabara wakimaliza mafunzo ni ngumu sana kupenya idara za ulinzi ila Zanzibar wananynyekewa sana kuingizwa idara za ulinzi, wabara wengi wanamaliza jkt pale wanarudi kulima vijijini ama kwenda suma jkt kupokea mishahara ya laki 2, wachache sana wanatoboa kwenda idara za ulinzi, Kwa wazanzibari yani kumaliza jkt ni shavu.

Kumlaumu mchonga kwa mapungufu yetu kujikomboa ni upoyoyo wa hali ya juu.

Tunayo haki ya kukataa na kushinikiza lolote. Migomo, maandamano na mikutano ya kisiasa ni haki yetu kwa mujibu wa katiba.

Tumlaumu mchonga kwa sisi wenyewe kushindwa kuisimamia katiba? Kwa mwendo huu hata tukiwa na katiba yoyote tusipoangalia tutaendelea kuwa wapuuzi tu.

Tujilaumu sisi wenyewe kwa uzezeta wetu ndugu kwani:

Vyama vya Siasa havijui au vimesahau wajibu wao?
 
Tanganyika ilikuwa nchi bandia iliyoanzishwa na Waingereza. Haina historia yoyote zaidi ya kuwa koloni la Uingereza.
 
Zanzibar Wana nn cha ajabu ? Waacheni msifike kabisa yaani mshajua tabia za watu bado mnawafuata tu ..Mi Zanzibar na kanda ya kaskazini ni mwiko kufika wanajisikia sana japo nishafika ila nikawajua tabia zao yaani wanafanana wakikujua tu unatoka nje wa jamii zao umeisha.
 
Zanzibar Wana nn cha ajabu ? Waacheni msifike kabisa yaani mshajua tabia za watu bado mnawafuata tu ..Mi Zanzibar na kanda ya kaskazini ni mwiko kufika wanajisikia sana japo nishafika ila nikawajua tabia zao yaani wanafanana wakikujua tu unatoka nje wa jamii zao umeisha.
Mnaendeleaje hapo Tandahimba?
 
Rasilimali gani hizo za hao unaowaita Watanganyila zilizogawiwa Zanzibar? Hivi unafahamu kwamba >60% ya Watalii wanaokuja Tanzania wanakuja sababu ya Zanzibar na siyo Bara ? Unajua utalii unachangia kiasi pato la Taifa kwa ujumla?
 
Ndugu zangu Mnapiga kelele bure tu, Hao Wanzanibar hawataki kuuvunja muungano huu hata siku 1, wanaotaka ni walala hoi wa zanzibar
 
Zanzibar kuna utalii?? Kuona magofu yaliyopakwa rangi nyeupe?

Kumbe hakuna kitu unachokijua, bila ya Zanzibar Utalii Tanzania ungeshuka kwa >60%, hivyo hapa wa kulalamika ni Zanzibar na siyo wewe, Zanzibar ina eneo la kilometer za mraba < 2 000 (Elfu mbili) wakati TZ bara zaidi ya laki tisa sasa kipi kinachokuliza? Kama umeshindwa kutumia hizo km za mraba laki 9 hata Zanzibar ikijeitenga kipi kitabadilika?
 
Back
Top Bottom