Tuwe wakweli kwamba Nyerere alifanya vibaya kuua Uhuru wa Tanganyika na kugawa rasilimali za Watanganyika kwa Wazanzibari wasiotaka vyao kuguswa

Tuwe wakweli kwamba Nyerere alifanya vibaya kuua Uhuru wa Tanganyika na kugawa rasilimali za Watanganyika kwa Wazanzibari wasiotaka vyao kuguswa

Na gia zinavyobadilishwa angani huko wallahi bin Taabana Tanganyika tutaisoma Namba.

Wazanzibari wanatuchukia kwa nguvu zote na kutubagua kwa maksuidi tukiwa huko Zenji.

Ajira za serikali za Zanzibar inabidi uwe mzanzibari na ukilazimisha kuomba watabaki kukushangaa kwenye interview umeenda kufanya nini, wao wanaomba kote kote za huku bara tunazogawana nao na huko kwao kwajili ya peke yao.

JKT wabara wakimaliza mafunzo ni ngumu sana kupenya idara za ulinzi ila Zanzibar wananynyekewa sana kuingizwa idara za ulinzi, wabara wengi wanamaliza JKT pale wanarudi kulima vijijini ama kwenda Suma JKT kupokea mishahara ya laki 2, wachache sana wanatoboa kwenda idara za ulinzi, kwa Wazanzibari yani kumaliza JKT ni shavu.

Ardhi, leseni za udereva, siasa, n.k, mavyo vishazungumziwa sana kuhusu tabia ya vyao kutoguswa.
Kikubwa, na ambacho ulitaka kunena, ni kumdhihaki J.K. Nyerere.

Utaishiwa.

Wacha Uhasama.
 
J
Na gia zinavyobadilishwa angani huko wallahi bin Taabana Tanganyika tutaisoma Namba.

Wazanzibari wanatuchukia kwa nguvu zote na kutubagua kwa maksuidi tukiwa huko Zenji.

Ajira za serikali za Zanzibar inabidi uwe mzanzibari na ukilazimisha kuomba watabaki kukushangaa kwenye interview umeenda kufanya nini, wao wanaomba kote kote za huku bara tunazogawana nao na huko kwao kwajili ya peke yao.

JKT wabara wakimaliza mafunzo ni ngumu sana kupenya idara za ulinzi ila Zanzibar wananynyekewa sana kuingizwa idara za ulinzi, wabara wengi wanamaliza JKT pale wanarudi kulima vijijini ama kwenda Suma JKT kupokea mishahara ya laki 2, wachache sana wanatoboa kwenda idara za ulinzi, kwa Wazanzibari yani kumaliza JKT ni shavu.

Ardhi, leseni za udereva, siasa, n.k, mavyo vishazungumziwa sana kuhusu tabia ya vyao kutoguswa.
Dawa ni iyo katiba mpya
 
Sasa si mjitenge! Imagine mna Rais, Bunge lenu, wizara, wimbo wenu wa Taifa, mipaka, nk.

Inakuwaje mpaka leo bado mnaleta pua zenu huku Tanganyika? Hivi wale wawakilishi wenu kule Dodoma wana kazi gani? Naona kama wanatuibia tu kodi zetu. Hivi mna tofauti gani na kupe?
Umesahau ya Jumbe na Sefu?
 
Kwa nini hao "watu wetu wa usalama" waliiua Tanganyika yetu ikabaki Zanzibar tu??
Isingewezekana kubaki na Tanganyika yetu na sisi tukawa kama Zanzibar walivyo na serikali yao??
Kama nilivyosema mchakato ulikuwa ni wa haraka haikuwa rahisi kuunda Muungano wenye muundo ambao ungetupa Serikali yetu na kuwapa Zanzibar serikali yao, muda haukuruhusu.

Vilevile mkuu Muundo unaoupendekeza ni Shirikisho, muundo huo bila shaka ungetunyima (waTanganyika) mamlaka makubwa tuliyonayo kwa Zanzibar na ili kuunda muda usingetosha kujadili sekta na masuala gani yashughulikiwe katika ngazi ya shirikisho au yepi yashughulikiwe katika ngazi ya kitaifa.

Na kwahivyo hali ya wasiwasi iliyowakumba wana Mapinduzi wa Zanzibar isingepata suluhu kwa muundo huo mkuu.
 
Comoros, Mauritius, Cape Verde na Sao Tome vyote ni visiwa huru na havina kitisho cha usalama kwa mataifa yaliyo karibu yake.
Si kweli mkuu, unaona havina kitisho cha usalama kutokana na hali tulivu ya kisiasa ya sasa. Lakini unapojiandaa na vita basi wakati wa amani ndiyo wakati sahihi kupanga mipango yote.

Hivyo unavyoviona salama hii leo vinaweza tumika na kuwa kuwa ‘decisive factor’ wakati wa vita.

Leo hii Ufaransa ana kisiwa cha Mayotte, ambacho kii karibu na visiwa ulivyovitaja hiyo ina maana ya kuwa lolote likitokea Ufaransa ana pa kuanzia.

Kwa kulijua hilo Comoro wanadai kisiwa hiko kila leo.

Hapo Madagascar India wanajenga moja ya kambi kubwa ya kijeshi, vipi hilo bado halikai kama tishio mkuu?

Uchina mbali na kuwa na nchi kubwa lakini bado anadai Taiwan, na anajenga visiwa kwenye bahari ya kusini ya china suala ambalo linazua mgogoro na nchi zote ambazo bahari hiyo inapita. yote ni kwa sababu za kiusalama.

Urusi walitaka eneo la Kalinigrad toka kwa Ujerumani ilhali limejitenga kabisa zaidi ya maili 400 toka Urusi (achilia mbali Zanzibar iliyo maili 65 tu toka Dar es salaam) na nchi yao hawakuwa wajinga, walilitaka kimkakati na moja ya mkakati huo ni kupata ‘access’ ya Bahari ya Baltic na kuwa karibu na Ulaya Magharibi.

Ikumbuke ‘Monroe Doctrine’ ya Marekani iliyoweka wazi hawataki taifa lolote kujenga ushawishi katika amerika kusini, kati na visiwa vya Caribbean.

Ukitaka upate picha sahihi usiangalia kwa jicho la sasa tengeneza “worst case scenario”.

Turudi hapa nyumbani
Zanzibar ingekuwa huru na katika hali ya kisiasa ilivyokuwa hatari ingekuwa kwetu sisi waTanganyika.

Uwepo wa Zanzibar maili 65 toka kwenye fukwe za jiji letu kuu la kibiashara na ikulu ya rais wetu (ilivyokuwa) si suala dogo kiusalama.

Pata picha tungekuwa na adui na nchi nyingine, adui angepata urahisi kuitumia Zanzibar kama sehemu ya kuanzisha mashambulizi yake kwetu (umbali ni kitu muhimu sana).

Vilevile wale ambao hawakukubaliana na serikali ingelikuwa ni rahisi wao kufanya Oparesheni zao tokea Zanzibar.

Ni kama tulivyoratibu Oparesheni ya kumtoa nduli Iddi Amini Kwa kushirikiana na Waganda wenyewe wakiwa hapa nchini.
 
MJADALA unaendelea nchini kote juu ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika na muundo wa Muungano wa Zanzibar na Tanganyika. Inavyoelekea yapo matatizo, dosari na sababu za msingi zilizopelekea wananchi kuhoji muundo wa sasa wa Muungano na kuleta hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika ni yenye kuundwa kama si leo kesho.

Lakini wapo pia wanaopinga kabisa kuundwa kwa serikali ya Tanganyika.

Aliyejitokeza kwa nguvu na kwa ukali hadharani kupinga hoja hiyo ni Mwalimu Julius Nyerere, katika kupinga hoja hiyo Mwalimu anatoa hoja zifuatazo:

Hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika imeletwa kwa kuwachoka Wazanzibari na Waislamu. Ufupi wa maneno Mwalimu Nyerere anadai hoja ya kuundwa Serikali ya Tanganyika imetokana na chuki za kidini - Wakristo kuwachukia Waislamu.

Hoja haipo katika sera za CCM na taratibu zimekosewa.

Kuundwa kwa serikali ya Tanganyika kutavunja Muungano na kutavunja Tanganyika pia.

Ukizingatia sifa nyingi ambazo Nyerere alijilimbikizia wakati wa utawala wake na sasa si vigumu kuelewa kwa nini anapinga kuundwa kwa serikali ya Tanganyika. Mambo yake yote aliyoyaanzisha kwa vishindo huku akisifiwa kuwa zidumu fikra zake, yamekuwa yakiporomoka moja baada ya jingine huku mwenyewe akiona. Lililosalia ni Muungano; nao ukiporomoka haitaleta picha nzuri katika historia yake katika siasa.

Lakini lililo gumu kueleweka ni hatua ya Mwalimu Nyerere kutumia Turufu ya udini kuwagawa Wabunge; wana-CCM na Wa-Tanzania kwa ujumla katika suala hili. Kauli hiyo ingesemwa na Muislamu ingepewa mtizamo tofauti na labda isingeeleweka hasa miongoni mwa Waislamu. Lakini kusemwa na Mwalimu Nyerere kunaleta mkanganyiko zaidi. Kwanini; (udini ulikuwa umejengeka). Hali hiyo ilipelekea Masheikh kumlalamikia lakini akawanyamazisha kwa kuwashutumu kuwa wanachanganya dini na siasa. Miongoni mwa Masheikh hao wapo waliofukuzwa nchini; waliowekwa kizuizini, waliofukuzwa katika chama na kadhalika.

Sheikh Hassan bin Amir katika waraka wake kwa Waislamu mwaka 1963 aliutaja udini uliokuwa unajengwa Tanzania kwa kutoa mifano ifuatayo:

Kuingizwa nchini Tanganyika mara tu baada ya uhuru vimedali vidogo vidogo vyenye picha ya bendera ya Tanganyika usoni na katikati ya bendera hiyo amesimama Mama Maria na mtoto mchanga na nyuma yake maandiko 'MARIA MTAKATIFU ULINDE UHURU WA TANGANYIKA'.

Gazeti la KIONGOZI la tarehe 1/8/1963 lilimuonyesha Bwana George Kahama akipewa cheo cha dini na Pope kwa kuwakilisha serikali ya Tanganyika katika mkutano wa Makanisa ya Roma.

Mwaka huo huo wa 1963, mnamo tarehe 24 mwezi wa nane, Baraza Kuu la Makanisa ya Kilutheri Tanganyika lilitoa matangazo kuwa Uhuru wa Tanganyika ulikuwa 'Chini ya Msalaba'.

Tarehe 17/5/1963 Makanisa yalifanyia mkutano wao ndani ya Bunge.

Alipokufa Pope Yohana wa 23 bendera ya taifa ilipepea nusu mlingoti nchi nzima!

Kabla ya kifo chake Pope Yohana wa 23 alimletea Mheshimiwa Nyerere barua ya pongezi kwa kuupanua Ukristo- barua ambayo ilitiwa saini na Pope mwenyewe. Barua hiyo imetangazwa kwenye gazeti la Tanganyika Standard.

Gazeti la Reporter la Kenya la tarehe 20/6/1963 lilitangaza katika ukurasa wake wa mbele: "KUIBADILI AFRIKA YA MASHARIKI KUWA KATIKA DINI YA ROMANI CATHOLIC". Ndani ya gazeti hilo ukurasa wa 18 liliwataja waliopewa dhamana ya kufanikisha jambo hilo kuwa ni: Uganda - Kiwanuka, Kenya - Mboya na Tanganyika Mheshimiwa Nyerere.
Mkuu haya ni madai mazito sana,

Lakini unaweza kuonesha ni kwa namna gani mwalimu alisambaza ukristo?

Walau tupate mifano hai.
 
Si kweli mkuu, unaona havina kitisho cha usalama kutokana na hali tulivu ya kisiasa ya sasa. Lakini unapojiandaa na vita basi wakati wa amani ndiyo wakati sahihi kupanga mipango yote.

Hivyo unavyoviona salama hii leo vinaweza tumika na kuwa kuwa ‘decisive factor’ wakati wa vita.

Leo hii Ufaransa ana kisiwa cha Mayotte, ambacho kii karibu na visiwa ulivyovitaja hiyo ina maana ya kuwa lolote likitokea Ufaransa ana pa kuanzia.

Kwa kulijua hilo Comoro wanadai kisiwa hiko kila leo.

Hapo Madagascar India wanajenga moja ya kambi kubwa ya kijeshi, vipi hilo bado halikai kama tishio mkuu?

Uchina mbali na kuwa na nchi kubwa lakini bado anadai Taiwan, na anajenga visiwa kwenye bahari ya kusini ya china suala ambalo linazua mgogoro na nchi zote ambazo bahari hiyo inapita. yote ni kwa sababu za kiusalama.

Urusi walitaka eneo la Kalinigrad toka kwa Ujerumani ilhali limejitenga kabisa zaidi ya maili 400 toka Urusi (achilia mbali Zanzibar iliyo maili 65 tu toka Dar es salaam) na nchi yao hawakuwa wajinga, walilitaka kimkakati na moja ya mkakati huo ni kupata ‘access’ ya Bahari ya Baltic na kuwa karibu na Ulaya Magharibi.

Ikumbuke ‘Monroe Doctrine’ ya Marekani iliyoweka wazi hawataki taifa lolote kujenga ushawishi katika amerika kusini, kati na visiwa vya Caribbean.

Ukitaka upate picha sahihi usiangalia kwa jicho la sasa tengeneza “worst case scenario”.

Turudi hapa nyumbani
Zanzibar ingekuwa huru na katika hali ya kisiasa ilivyokuwa hatari ingekuwa kwetu sisi waTanganyika.

Uwepo wa Zanzibar maili 65 toka kwenye fukwe za jiji letu kuu la kibiashara na ikulu ya rais wetu (ilivyokuwa) si suala dogo kiusalama.

Pata picha tungekuwa na adui na nchi nyingine, adui angepata urahisi kuitumia Zanzibar kama sehemu ya kuanzisha mashambulizi yake kwetu (umbali ni kitu muhimu sana).

Vilevile wale ambao hawakukubaliana na serikali ingelikuwa ni rahisi wao kufanya Oparesheni zao tokea Zanzibar.

Ni kama tulivyoratibu Oparesheni ya kumtoa nduli Iddi Amini Kwa kushirikiana na Waganda wenyewe wakiwa hapa nchini.
Mbona Kenya iko salama na Pemba iko karibu.
 
Zanzibar Wana nn cha ajabu ? Waacheni msifike kabisa yaani mshajua tabia za watu bado mnawafuata tu ..Mi Zanzibar na kanda ya kaskazini ni mwiko kufika wanajisikia sana japo nishafika ila nikawajua tabia zao yaani wanafanana wakikujua tu unatoka nje wa jamii zao umeisha.

Na hii ndo tabia ubaguzi!! Nyerere alikuwa geneus!! "" ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu, ukishakula huachi"

Mzanzibara na mtanganyika!! Ukishambagua mzanivara utarudi kwenye ukanda!! Na hapa umeonyesha tabia halisi ya ubaguzi haitaishia Zanzibar itaenda mpaka kwa mtu na mtu!! Huyu mweusi huyu mweupe, mfupi na mrefu, tajiri na mskini!!

Ni tabia tu ya mtu na hisia zake kuhisi anabaguliwa na kujfeel inferior!!
 
Rasilimali gani hizo za hao unaowaita Watanganyila zilizogawiwa Zanzibar? Hivi unafahamu kwamba >60% ya Watalii wanaokuja Tanzania wanakuja sababu ya Zanzibar na siyo Bara ? Unajua utalii unachangia kiasi pato la Taifa kwa ujumla?
Achana NAO wamechanganyikiwa
 
Zanzibar ingekua base ya waislam na afrika mashariki, Tanganyika ikiwemo,isingekua salama
Akili zenu fupi Sana watanganyika hapa ndio umesema NN? Jee kabla Muungano ilikuwaje ?
Tatizo Lenu watanganyika mna kariri bongo lala hii NI hoja ya kuutetea Muungano kweli??
 
Rasilimali gani hizo za hao unaowaita Watanganyila zilizogawiwa Zanzibar? Hivi unafahamu kwamba >60% ya Watalii wanaokuja Tanzania wanakuja sababu ya Zanzibar na siyo Bara ? Unajua utalii unachangia kiasi pato la Taifa kwa ujumla?
We jamaa acha uongo wako 98% ya watalii wanakuja Tanzania wanakuja kwa ajili ya Serengeti, Ngorongoro & Kilimanjaro na mapato 99% yanatoka maeneo hayo-badaye ndio hupewa hints za Zanzibar.

Yani mzungu aweke saving zake afunge safari kutoka ulaya eti aje Zanzibar-huku kuna maenei mingi yapo kama Zanzibar hapa duniani na ni mazuri kuliko Zanzibar.
 
Wewe Itakuwa uko sayari ya Vatikan , yaani Nyerere atuletee majeshi yake halafu yauwe watu kwa maelfu baadaye atuwekee kiongozi anayekubalika Dodoma kila baada ya miaka mitano huku akiendelea kuleta jeshi na kuuwa watu. Huku ndio kuisaidia Zanzibar ?

By the way anzeni kuliondosha jeshi lenu ambalo limeweka kambi kila mtaa.
Kwanza wewe sio Mzanzibar,waliopo Ungaja wate ni masalia ya bars.Wazanzibar halisi ni wapo pemba ambao bibi zao walizaa na waarabu.
 
Kwanza wewe sio Mzanzibar,waliopo Ungaja wate ni masalia ya bars.Wazanzibar halisi ni wapo pemba ambao bibi zao walizaa na waarabu.
Andika ulipendalo kwani hujaathirika chochote na uvamizi wenu kutoka Mkuranga. Mzigo wa mwenzako kwako ni ganda la usufi


anzeni kuliondosha jeshi lenu ambalo limeweka kambi kila mtaa.
 
Na gia zinavyobadilishwa angani huko wallahi bin Taabana Tanganyika tutaisoma Namba.

Wazanzibari wanatuchukia kwa nguvu zote na kutubagua kwa maksuidi tukiwa huko Zenji.

Ajira za serikali za Zanzibar inabidi uwe mzanzibari na ukilazimisha kuomba watabaki kukushangaa kwenye interview umeenda kufanya nini, wao wanaomba kote kote za huku bara tunazogawana nao na huko kwao kwajili ya peke yao.

JKT wabara wakimaliza mafunzo ni ngumu sana kupenya idara za ulinzi ila Zanzibar wananynyekewa sana kuingizwa idara za ulinzi, wabara wengi wanamaliza JKT pale wanarudi kulima vijijini ama kwenda Suma JKT kupokea mishahara ya laki 2, wachache sana wanatoboa kwenda idara za ulinzi, kwa Wazanzibari yani kumaliza JKT ni shavu.

Ardhi, leseni za udereva, siasa, n.k, mavyo vishazungumziwa sana kuhusu tabia ya vyao kutoguswa.
Idadi ya wazanzibar haifiki 2m. Kila Kijana kwao aliyemaliza Chuo ana Ajira. Wakipata Ajira za huku Bongo wanajipunguza umri Ili Wasistaafu Mapema waendelee kupokea Mshahara. Huu Muungano hauna Haki ni kabisa. Watu 65m wataunganaje na Watu 1.8m na kugawana Haki sawa. Hivi wasomi walioko Nchi hii hawaoni?
 
Idadi ya wazanzibar haifiki 2m. Kila Kijana kwao aliyemaliza Chuo ana Ajira. Wakipata Ajira za huku Bongo wanajipunguza umri Ili Wasistaafu Mapema waendelee kupokea Mshahara. Huu Muungano hauna Haki ni kabisa. Watu 65m wataunganaje na Watu 1.8m na kugawana Haki sawa. Hivi wasomi walioko Nchi hii hawaoni?

Huo si muungano ni uvamizi wa Tanganyika kwa Zanzibar chini ya Laanatullahi Nyerere
 
Back
Top Bottom