Zanzibar hakuna Madini, Mazao ya Chakula, Mifugo ya Chakula, Viwanda vya kuzalisha huwa tunawang'ang'ania Nini? Na kuwapa Stahiki za Watanganyika?Huo si muungano ni uvamizi wa Tanganyika kwa Zanzibar chini ya Laanatullahi Nyerere
Mkuu hivi huwa unasoma majibu yangu kabla ya wewe kujibu?Mbona Kenya iko salama na Pemba iko karibu.
Nilisoma. Tuseme sijaelewa.Mkuu hivi huwa unasoma majibu yangu kabla ya wewe kujibu?
Rejea basi walau aya ya kwanza tu
“…Si kweli mkuu, unaona havina kitisho cha usalama kutokana na hali tulivu ya kisiasa ya sasa. Lakini unapojiandaa na vita basi wakati wa amani ndiyo wakati sahihi kupanga mipango yote…”
Mkuu nimemsikiliza huyu bwana, ila kuna mahali kati ya dakika ya 3:30-4:00 anasema ati kodi ya VAT imepewa jina lake kutokana na kufupisha jina la kanisa katoliki yaani VATICAN. Jambo ambalo halina ukweli.
Madai ya huyu bwana nimebaini hayana mashiko japo kwa kiasi kidogo sana nimekubaliana nae.Sikiliza vitabu vya kanisa katoliki vinasema kitu gani
| Nchi iliyowahi kuwa ya kijamaa | Idadi ya Waislam | |
| Algeria 🇩🇿 |
| |
| Misri 🇪🇬 |
| |
| Libya 🇱🇾 |
|
| Nchi iliyowahi kuwa ya kijamaa | Idadi ya Wakristo | |
| Angola 🇦🇴 |
| |
| Zimbabwe 🇿🇼 | 84% | |
| Zambia 🇿🇲 |
|
Vizuri.Nilisoma. Tuseme sijaelewa.
Sielewi kwa nini mnakuja kutuuwa kila uchaguzi ili kumweka kibaraka wenu?Zanzibar hakuna Madini, Mazao ya Chakula, Mifugo ya Chakula, Viwanda vya kuzalisha huwa tunawang'ang'ania Nini? Na kuwapa Stahiki za Watanganyika?
Hajatoa lake moja kichwani mwake yote yametoka kitabu cha kanisa Katoliki. Itakuwa unamsikiliza kwa jaziba au umetumwaMadai ya huyu bwana nimebaini hayana mashiko japo kwa kiasi kidogo sana nimekubaliana nae.
Amedai Tanzania imejitumbukiza kwenye Ujamaa ili kuwanyima Waislam mali- ni kweli kuwa wakati wa uhuru wengi wa matajiri walikuwa ni waislam sababu waliishi mwambao na shughuli nyingi na mtandao wa kibiashara ulipanuka zaidi mwambao.
Lakini kwa hoja hiyo utaelezeaje ujamaa ulioingizwa kwenye nchi zenye waislam wengi? Na zile zenye Wakristo wengi?
Je, huko kwenye Wakristo wengi ‘Kanisa’ lilitaka kumpora nani mali?
Nchi iliyowahi kuwa ya kijamaa Idadi ya Waislam Algeria 🇩🇿
98% Misri 🇪🇬
90% Libya 🇱🇾
97%
Achilia mbali hapo, vipi kuhusu nchi zenye wakristo wengi? Waliweka ujamaa ili kumkomoa nani?
Nchi iliyowahi kuwa ya kijamaa Idadi ya Wakristo Angola 🇦🇴
95% Zimbabwe 🇿🇼 84% Zambia 🇿🇲
87%
Tafadhali nipe majibu.
Tupe ukweliMkuu nimemsikiliza huyu bwana, ila kuna mahali kati ya dakika ya 3:30-4:00 anasema ati kodi ya VAT imepewa jina lake kutokana na kufupisha jina la kanisa katoliki yaani VATICAN. Jambo ambalo halina ukweli.
Sijaona faida ya Muungano.....siku nkiwa Rais ntaufutilia mbaaaaliiiiij......!! Jina pendwa la Tanganyika rirudi kwenye ramanNa gia zinavyobadilishwa angani huko wallahi bin Taabana Tanganyika tutaisoma Namba.
Wazanzibari wanatuchukia kwa nguvu zote na kutubagua kwa maksuidi tukiwa huko Zenji.
Ajira za serikali za Zanzibar inabidi uwe mzanzibari na ukilazimisha kuomba watabaki kukushangaa kwenye interview umeenda kufanya nini, wao wanaomba kote kote za huku bara tunazogawana nao na huko kwao kwajili ya peke yao.
JKT wabara wakimaliza mafunzo ni ngumu sana kupenya idara za ulinzi ila Zanzibar wananynyekewa sana kuingizwa idara za ulinzi, wabara wengi wanamaliza JKT pale wanarudi kulima vijijini ama kwenda Suma JKT kupokea mishahara ya laki 2, wachache sana wanatoboa kwenda idara za ulinzi, kwa Wazanzibari yani kumaliza JKT ni shavu.
Ardhi, leseni za udereva, siasa, n.k, mavyo vishazungumziwa sana kuhusu tabia ya vyao kutoguswa.
Ni chuki tu kwa waislamu hakuna chengineMkuu hivi huwa unasoma majibu yangu kabla ya wewe kujibu?
Rejea basi walau aya ya kwanza tu
“…Si kweli mkuu, unaona havina kitisho cha usalama kutokana na hali tulivu ya kisiasa ya sasa. Lakini unapojiandaa na vita basi wakati wa amani ndiyo wakati sahihi kupanga mipango yote…”
Unajua wewe unaropokwa sana. Ili update kitambulisho cha uzanzibari lazima ukao miaka 3 mfululizo. Na wako wengi sana watanganyika wanavyo. Na wanamiliki ardhi na wameajiriwa serikalini wacha zako. Inawezekana unawachukua wazanzibar either wamekutoa bikra na wakakuacha. Tembelea mitaa ya mwakaje, mfenesini, mwache alale utakuta wapo wamanyema, wayao na wamakonde wengi sana. Kiboje, miwani, ndagaa, bumwlbwisudi waruguru wandengereko ndiyo majority kwa 90% vile vile kiboje, kitumba, kidimni, dunga basi majority ni wandengreko, wapogoro, wanyamwezi. Na kuna lsehemu kibao. Mahotelini 90 ni watu wa tanganyika, ukienda beach wamasai kama upo loliondo, wachole wamejaa katikabidara nyeti za ZNZ na.muungano. watu wa kusini ndiyo wamejaa katika biashara za umachinga.Sasa wewe mpuuzi sijui utaka nini unakuja kila leo.na maada za kipuuzi. Muunganobis here to stay kama unakerekera basi tafuta bashaNa gia zinavyobadilishwa angani huko wallahi bin Taabana Tanganyika tutaisoma Namba.
Wazanzibari wanatuchukia kwa nguvu zote na kutubagua kwa maksuidi tukiwa huko Zenji.
Ajira za serikali za Zanzibar inabidi uwe mzanzibari na ukilazimisha kuomba watabaki kukushangaa kwenye interview umeenda kufanya nini, wao wanaomba kote kote za huku bara tunazogawana nao na huko kwao kwajili ya peke yao.
JKT wabara wakimaliza mafunzo ni ngumu sana kupenya idara za ulinzi ila Zanzibar wananynyekewa sana kuingizwa idara za ulinzi, wabara wengi wanamaliza JKT pale wanarudi kulima vijijini ama kwenda Suma JKT kupokea mishahara ya laki 2, wachache sana wanatoboa kwenda idara za ulinzi, kwa Wazanzibari yani kumaliza JKT ni shavu.
Ardhi, leseni za udereva, siasa, n.k, mavyo vishazungumziwa sana kuhusu tabia ya vyao kutoguswa.
Huiwezekani nchi yenye watu 60m ikaungana na nchi yenye watu 1m alafu ikawepo haki sawa kwa wote lazima nchi yenye watu 1m ipate upendeleo na haswa ikiwa nchi hiyo ni kisiwa.Idadi ya wazanzibar haifiki 2m. Kila Kijana kwao aliyemaliza Chuo ana Ajira. Wakipata Ajira za huku Bongo wanajipunguza umri Ili Wasistaafu Mapema waendelee kupokea Mshahara. Huu Muungano hauna Haki ni kabisa. Watu 65m wataunganaje na Watu 1.8m na kugawana Haki sawa. Hivi wasomi walioko Nchi hii hawaoni?
Dah umeongea ukweli mtupu saivi Zanzibar watanganyika tele Machinga wote waliofurushwa dar wamehamia zenji na vile vile wapo wale waliohamia wakaishi zenji zaidi ya miaka mitatu wakapata kitambulisho cha mzanzibari wapo tele kuanzia serikalini mpaka huku mitaani na tunaishi nao sijawahi kusikia mtanganyika kabaguliwa.Unajua wewe unaropokwa sana. Ili update kitambulisho cha uzanzibari lazima ukao miaka 3 mfululizo. Na wako wengi sana watanganyika wanavyo. Na wanamiliki ardhi na wameajiriwa serikalini wacha zako. Inawezekana unawachukua wazanzibar either wamekutoa bikra na wakakuacha. Tembelea mitaa ya mwakaje, mfenesini, mwache alale utakuta wapo wamanyema, wayao na wamakonde wengi sana. Kiboje, miwani, ndagaa, bumwlbwisudi waruguru wandengereko ndiyo majority kwa 90% vile vile kiboje, kitumba, kidimni, dunga basi majority ni wandengreko, wapogoro, wanyamwezi. Na kuna lsehemu kibao. Mahotelini 90 ni watu wa tanganyika, ukienda beach wamasai kama upo loliondo, wachole wamejaa katikabidara nyeti za ZNZ na.muungano. watu wa kusini ndiyo wamejaa katika biashara za umachinga.Sasa wewe mpuuzi sijui utaka nini unakuja kila leo.na maada za kipuuzi. Muunganobis here to stay kama unakerekera basi tafuta basha
Ndivyo mnavyodanganyana Kanisani?Huiwezekani nchi yenye watu 60m ikaungana na nchi yenye watu 1m alafu ikawepo haki sawa kwa wote lazima nchi yenye watu 1m ipate upendeleo na haswa ikiwa nchi hiyo ni kisiwa.
Watalii wengi wanakuja Tanzania kwa ajili ya Serengeti, Ngorongoro na Mlima Kilimanjaro na sio kwa ajili ya hicho kijiji cha maghofu yaliyopakwa chokaaRasilimali gani hizo za hao unaowaita Watanganyila zilizogawiwa Zanzibar? Hivi unafahamu kwamba >60% ya Watalii wanaokuja Tanzania wanakuja sababu ya Zanzibar na siyo Bara ? Unajua utalii unachangia kiasi pato la Taifa kwa ujumla?
Kiongozi hujanielewaNdivyo mnavyodanganyana Kanisani?
Kweli nilikuwa sijakufahamu vizuri, sasa nimekuelewa samahani sana mkuuKiongozi hujanielewa