Tuwe wakweli, spirit ya Yanga ya kusawazisha na kushinda haipo Simba

Simba haina cha kujifunza kwa Yanga ambapo Yanga ina cha kujifunza kwa Ihefu kwani walisawazishiwa na kuongezewa
 
Kwani kanuni za TFF zinasemaje? Kuhusu ilo tuanzie hapo kwanza
 
Io spririt waliinywa walipocheza na Ihefu?
 
Hiyo Spirit ilikua wapi siku mnatiwa mimba na Ihefu kwenye majaruba ya mpunga 🤔🤔
 
Hivi siku ile Simba anawapiga mbili au Hiefu anawakanda mbili moja ile sprit ulienda wapi.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
UNAONGELEA MWANAUME SIMBA YUPO MISRI KUWAKILISHA TAIFA.

WEWE UNAPIGA KELELE CHAMAZI

CHENZALA
 
Katika mech dhid ya ?. kwa Ihef?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…