Tuwe Wakweli, tutapataje Katiba Mpya kama hatutampitisha bila kupingwa Rais Samia 2025 ili akatukamilishie Mchakato kuelekea 2030?

Kweli kabisa!
 
Sio katiba mpya Bali katiba inayoeleweka na uwezo huo CCM hawana.
Mkiipata na ikajibu hoja zenu nageuka Jibwa. NJAA KALI FC
 


Ni ngumu Sana Kwa kiongozi wa chama ambacho kimeongoza Kwa miaka mingi kuleta katiba mpya

Katiba mpya inaweza kuja pale Tu kutakapokuwa na serikali ya mseto

Bila hivyo hakuna katiba mpya mpaka mwisho wa dunia

Hata chadema wakishika serikali still hawawez kuleta katiba mpya unless kuwe na nguvu ya chama kingine ambacho nao Wana madaraka
 
Hapatafanyika uchaguzi wowote 2024/2025 bila kupatikana Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA kabla haijaitwa KATIBA pendekezwa.
 
Maana ndio ccm pekee walau anaweza push hiyo ajenda ila wengine hawataki kupoteza ulaji wao..

Samia hana makandokando so hana Cha kuhofia
 
Hapatafanyika uchaguzi wowote 2024/2025 bila kupatikana Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA kabla haijaitwa KATIBA pendekezwa.
Hayo ni mawazo Yako!
 
Kama ameshindwa kutupatia viongoz bora hawezi tupatia Katiba bora.Ccm ifanye mchakato wa kupata Rais mwingine vinginevyo chama kitapotea na kuanza kuitwa chama kikuu cha upinzani.
 
Rais Samia Ndiye ameonesha uthubutu ..... basi 2025 mama Samia apite bila kupingwa na fedha itakayookolewa kwa kutofanya Uchaguzi wa Rais ipelekwe kugharamia Mchakato wa Katiba Mpya.

Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia!

Hakuna gharama ya maana itakayookolewa hapo kwasababu Uchaguzi wa Rais unaenda sambamba na Uchaguzi wa Wabunge na Madiwani hivyo Fixed costs ni kubwa sana kuliko Variable costs zitakazohusiana na Uchaguzi wa Rais tu.
 
Hapatafanyika uchaguzi wowote 2024/2025 bila kupatikana Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA kabla haijaitwa KATIBA pendekezwa.
Kutofanyika uchaguzi maana yake CCM iendelee kutawala,jee haya ndiyo matakwa ya Watanzania?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kama nikumfanyia kampeni Mama tuanze tu lakini si kwa kuendelea kudanaganya raia.
 
Atapitishwa bila kupingwa katika njia ya kurudi kwao kisiwani kupumzika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…