Tuwe Wakweli, tutapataje Katiba Mpya kama hatutampitisha bila kupingwa Rais Samia 2025 ili akatukamilishie Mchakato kuelekea 2030?

Tuwe Wakweli, tutapataje Katiba Mpya kama hatutampitisha bila kupingwa Rais Samia 2025 ili akatukamilishie Mchakato kuelekea 2030?

Tupate kwanza katiba mpya yenye tume huru kabla ya 2025 alafu ndiyo tuingie kwenye uchaguzi.
 
Hakuna namna tutaipata kwa hisani yake yeye kama ni yeye basi ni yeye atakayetusaidia tupenye kwenye play off tatizo linakuja mkeka utakaoletwa utakidhi kiu ya watu wote.

Turejee katiba ya warioba halafu tuboreshe kidogo. Kuna msomi mmoja alikuwaga lecture udsm na pia kiongozi mwandamizi Benki ya maendeleo Afrika marehemu mzee Bishota wa Kwembe dsm aliwahi kuwa anaandika critics za Katiba mpya kama msomi. Naamini tume imtafute mkewe awapatie nakala alizoziacha prof Bishota alikiwa na exposure kubwa ya kuishi nje ya Tanzania na sheria za kimataifa. Niliwahi kumsikia akitoa marekebisho ya katiba iliyopo. Akili nyingi sana alikuwa nazo huyu mzee.

Huyu ndio baba yake na producer wa muziki professor Ludigo. RIP prof Bishota.
 
Rais Samia Ndiye ameonesha uthubutu wa kutupatia Katiba Mpya.

Tukizubaa na kuipoteza hii fursa anaweza kuja Magufuli mwingine ambaye Katiba mpya siyo kipaumbele chake.

Hata Tundu Lissu akiingia Ikulu anaweza kubadilika na kusema Katiba mpya siyo muhimu kwa wakati wake kwani ameshatoa angalizo kwamba Misimamo ya kisiasa siyo Sheria za Mussa zilizoandikwa kwenye Mawe.

Hivyo kama kweli tunahitaji Katiba Mpya basi 2025 mama Samia apite bila kupingwa na fedha itakayookolewa kwa kutofanya Uchaguzi wa Rais ipelekwe kugharamia Mchakato wa Katiba Mpya.

Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia!
Rais Samia Suluhu ameshapita ndungu na hata kama akipingwa hakuna wa kumshinda maana anahoja za kutosha amefanya maendeleo ya kutosha imagine miaka 2 ameboresha sekta zote ameimarisha diplomasia, democrasia bado ameruhusu mikutano ya kisiasa hii ina maana kuwa anajiamini

TUKO NA MAMA HADI 2030
 
Mchakato wa katiba mpya hauwezi kuwa na gharama kubwa sana kwa sababu kila kitu kiko drafted ambayo ni maoni ya wananchi ambayo yalikusanywa na tume ya warioba cha kufanya ni kufanya amendment sehemu chache .Kazi hiyo huweza kufanywa na kikundi kidogo cha watu wachache bora kicomprise makundi yote.
Mwambie ukweli huyo chawa!
 
Kwa Katiba hii hii mbovu,

CDM isimamishe mgombea urais kupata RUZUKU ya mshindi wa pili au kupata RAIS?
Kwani nini malengo ya chama cha siasa,tuanzie hapo kabla hujaanza kuleta hayo mashudu yako. Pamoja na kumkubali Samia katika uongozi kwa jinsi anavyojitahidi kusafisha mess aliyoacha Magufuli hatuwezi kuacha kuweka mgombea, hata mtu unapooa mke wa pili siyo kwanza huyo mke mkubwa hafai,la hasha.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kwani nini malengo ya chama cha siasa,tuanzie hapo kabla hujaanza kuleta hayo mashudu yako. Pamoja na kumkubali Samia katika uongozi kwa jinsi anavyojitahidi kusafisha mess aliyoacha Magufuli hatuwezi kuacha kuweka mgombea, hata mtu unapooa mke wa pili siyo kwanza huyo mke mkubwa hafai,la hasha.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kuweka mgombea na ukijua hatopewa ushindi ikiwa atashinda , huoni ni ubinafsi na unafiki Kwa wananchi?

Upuuzi Ule ule Kila uchaguzi!!!

No KATIBA mpya no uchaguzi,

No Tume huru ya Uchaguzi no uchaguzi.

Nchi ni ya wote hii, Si ya CCCM Wala CDM pekee.
 
Kuweka mgombea na ukijua hatopewa ushindi huoni ni ubinafsi na unafiki Kwa wananchi?

Upuuzi Ule ule Kila uchaguzi?

No KATIBA mpya no uchaguzi,

No Tume huru ya Uchaguzi no uchaguzi.

Nchi ni ya wote hii, Si ya CCCM pekee.
Tutaweka mgombea kama unachukia kunywa sumu ufe. Hoja zako ni za kijima.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Tutaweka mgombea kama unachukia kunywa sumu ufe. Hoja zako ni za kijima.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Wewe ni mmoja wa Bendera fuata upepo wa CDM?

Mnaangalia Maslahi tu, tutawachuja wote mtaisha.

Siasa inagusa maisha ya watu na wengi ni maskini,

Siasa za kucompromise Kwa ajili ya Maslahi binafsi hazitakiwi.
 
Rais Samia Ndiye ameonesha uthubutu wa kutupatia Katiba Mpya.

Tukizubaa na kuipoteza hii fursa anaweza kuja Magufuli mwingine ambaye Katiba mpya siyo kipaumbele chake.

Hata Tundu Lissu akiingia Ikulu anaweza kubadilika na kusema Katiba mpya siyo muhimu kwa wakati wake kwani ameshatoa angalizo kwamba Misimamo ya kisiasa siyo Sheria za Mussa zilizoandikwa kwenye Mawe.

Hivyo kama kweli tunahitaji Katiba Mpya basi 2025 mama Samia apite bila kupingwa na fedha itakayookolewa kwa kutofanya Uchaguzi wa Rais ipelekwe kugharamia Mchakato wa Katiba Mpya.

Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia!
Ongea na chama kikuu Cha machawa chadema Hangaya awamiminie Apte bila kupingwa
 
Itakuwa alilewa maana wachaga walevi kinoma, siku ile hivyo hivyo kalewa kisha kapanda jukwaani kajitia aibu tu kwa jinsi alivyokuwa anaongea kipombe pombe mwishoe anasema "wanachama wenzangu wa ccm", yote pombe hizo.
Wewe mwenyewe unaandika ulevi tu humu utakuwa unabwia ugoro.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni mmoja wa Bendera fuata upepo wa CDM?

Mnaangalia Maslahi tu, tutawachuja wote mtaisha.

Siasa inagusa maisha ya watu na wengi ni maskini,

Siasa za kucompromise Kwa ajili ya Maslahi binafsi hazitakiwi.
Hatuwezi kukubali kurudi enzi za ujima wa NDIYO au HAPANA. Kwani hofu yenu nini Chadema kusimamisha mgombea wa Urais? Unapinga siasa za kucompromise halafu Una suggest Chadema imuachie Samia apite bila kupingwa mbona hii ni contradiction? Unatumia kilevi gani hicho wewe?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
 
Back
Top Bottom