Pre GE2025 Tuweke hapa majina ya Wabunge ambao tuhakikishe hawarudi baada ya 2025

Pre GE2025 Tuweke hapa majina ya Wabunge ambao tuhakikishe hawarudi baada ya 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
1. Nape Nnauye - Hajawahi kuwa msaada kwa watu wake wala Taifa letu. Hajawahi kuwa na mchango wa maana toka awe Mbunge. Tunataka watu wapya waje. Apishe.

2. January Makamba - Huyu yeye aliona sisi tuliomchagua tunachokosa huku Bumbuli ni draft. So akaamua kututengenezea za kutosha na kutugawia. Na alihusika katika upuuzi wa kugawa mitungi ya gesi ilhali bei ya gesi anajua ipi juu. Baada ya kuishiwa gesi hatujaweza tena kununua mitungi imebaki kama mapambo tu.

3. Musukuma - Huyu huwa anaongea pumba tu kila mara hana mchango wa maana katika Bunge

4. Covid 19 -Hawa walipewa Ubunge kwa ajili ya kutetea watu wao ambao ndiyo waliwapa Ubunge sasa wakija kutaka kuteuliwa kugombea tuwakatae.
 
1. Nape Nnauye - Hajawahi kuwa msaada kwa watu wake wala Taifa letu. Hajawahi kuwa na mchango wa maana toka awe Mbunge. Tunataka watu wapya waje. Apishe.

2. January Makamba - Huyu yeye aliona sisi tuliomchagua tunachokosa huku Bumbuli ni draft. So akaamua kututengenezea za kutosha na kutugawia. Na alihusika katika upuuzi wa kugawa mitungi ya gesi ilhali bei ya gesi anajua ipi juu. Baada ya kuishiwa gesi hatujaweza tena kununua mitungi imebaki kama mapambo tu.

3. Musukuma - Huyu huwa anaongea pumba tu kila mara hana mchango wa maana katika Bunge

4. Covid 19 -Hawa walipewa Ubunge kwa ajili ya kutetea watu wao ambao ndiyo waliwapa Ubunge sasa wakija kutaka kuteuliwa kugombea tuwakatae.
Nape Nnauye analaana ya kuwakanyaga wananchi wakinamama kwenye matako akipita juu yao.
 
1. Nape Nnauye - Hajawahi kuwa msaada kwa watu wake wala Taifa letu. Hajawahi kuwa na mchango wa maana toka awe Mbunge. Tunataka watu wapya waje. Apishe.

2. January Makamba - Huyu yeye aliona sisi tuliomchagua tunachokosa huku Bumbuli ni draft. So akaamua kututengenezea za kutosha na kutugawia. Na alihusika katika upuuzi wa kugawa mitungi ya gesi ilhali bei ya gesi anajua ipi juu. Baada ya kuishiwa gesi hatujaweza tena kununua mitungi imebaki kama mapambo tu.

3. Musukuma - Huyu huwa anaongea pumba tu kila mara hana mchango wa maana katika Bunge

4. Covid 19 -Hawa walipewa Ubunge kwa ajili ya kutetea watu wao ambao ndiyo waliwapa Ubunge sasa wakija kutaka kuteuliwa kugombea tuwakatae.
5. Adolf mkenda

6. Simbachawene
 
Pamoja na mapungufu y chama cheke lakini huyu arudi aisee.
Screenshot_20250211-095716_Google Go.jpg
 
1. Nape Nnauye - Hajawahi kuwa msaada kwa watu wake wala Taifa letu. Hajawahi kuwa na mchango wa maana toka awe Mbunge. Tunataka watu wapya waje. Apishe.

2. January Makamba - Huyu yeye aliona sisi tuliomchagua tunachokosa huku Bumbuli ni draft. So akaamua kututengenezea za kutosha na kutugawia. Na alihusika katika upuuzi wa kugawa mitungi ya gesi ilhali bei ya gesi anajua ipi juu. Baada ya kuishiwa gesi hatujaweza tena kununua mitungi imebaki kama mapambo tu.

3. Musukuma - Huyu huwa anaongea pumba tu kila mara hana mchango wa maana katika Bunge

4. Covid 19 -Hawa walipewa Ubunge kwa ajili ya kutetea watu wao ambao ndiyo waliwapa Ubunge sasa wakija kutaka kuteuliwa kugombea tuwakatae.
Wabunge hao ni shida, ila sio kubwa kama 'kiti'.
 
Back
Top Bottom