Pre GE2025 Tuweke hapa majina ya Wabunge ambao tuhakikishe hawarudi baada ya 2025

Pre GE2025 Tuweke hapa majina ya Wabunge ambao tuhakikishe hawarudi baada ya 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
1. Nape Nnauye - Hajawahi kuwa msaada kwa watu wake wala Taifa letu. Hajawahi kuwa na mchango wa maana toka awe Mbunge. Tunataka watu wapya waje. Apishe.

2. January Makamba - Huyu yeye aliona sisi tuliomchagua tunachokosa huku Bumbuli ni draft. So akaamua kututengenezea za kutosha na kutugawia. Na alihusika katika upuuzi wa kugawa mitungi ya gesi ilhali bei ya gesi anajua ipi juu. Baada ya kuishiwa gesi hatujaweza tena kununua mitungi imebaki kama mapambo tu.

3. Musukuma - Huyu huwa anaongea pumba tu kila mara hana mchango wa maana katika Bunge

4. Covid 19 -Hawa walipewa Ubunge kwa ajili ya kutetea watu wao ambao ndiyo waliwapa Ubunge sasa wakija kutaka kuteuliwa kugombea tuwakatae.


Anza kwanza na yule mama .

Yule mkubwa wao kule CCM Akikosa kura automatically wabunge wa ajabu ajabu watafikia mwisho .
 
Hao wote uliowataja watarejea Bungeni kwa kishindoo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima. Watapita Bila Kupingwa ndani ya Chama na katika uchaguzi Mkuu . Hakuna Mwana CCM atakaye chukua Fomu ya kuchuana nao ndani ya chama.
 
Babu Tale (incompetent)
Prof Kitila Mkumbo
Musukuma
Tulia Ackson
Nape
Kishimba(Huyu ukimsikiliza vizuri hanaga point ni Comedy tu)
Askofu Gwajima (ameshindwa kuwapeleka vijana Japani)
 
1. Nape Nnauye - Hajawahi kuwa msaada kwa watu wake wala Taifa letu. Hajawahi kuwa na mchango wa maana toka awe Mbunge. Tunataka watu wapya waje. Apishe.

2. January Makamba - Huyu yeye aliona sisi tuliomchagua tunachokosa huku Bumbuli ni draft. So akaamua kututengenezea za kutosha na kutugawia. Na alihusika katika upuuzi wa kugawa mitungi ya gesi ilhali bei ya gesi anajua ipi juu. Baada ya kuishiwa gesi hatujaweza tena kununua mitungi imebaki kama mapambo tu.

3. Musukuma - Huyu huwa anaongea pumba tu kila mara hana mchango wa maana katika Bunge

4. Covid 19 -Hawa walipewa Ubunge kwa ajili ya kutetea watu wao ambao ndiyo waliwapa Ubunge sasa wakija kutaka kuteuliwa kugombea tuwakatae.
maskini,
kumshinda nape, january au msukuma ni ndoto cha mchana tena ukiwa kwenye daladala ya mbezi-mbagala.

hakyupo mtu anaweza kumshinda yeyote miongoni mwa hao vijana ndani na nje ya ccm kwenye majimbao yao, hata utumie ushirikina wa kikongo au nigeria gentleman :NoGodNo:
 
1. Nape Nnauye - Hajawahi kuwa msaada kwa watu wake wala Taifa letu. Hajawahi kuwa na mchango wa maana toka awe Mbunge. Tunataka watu wapya waje. Apishe.

2. January Makamba - Huyu yeye aliona sisi tuliomchagua tunachokosa huku Bumbuli ni draft. So akaamua kututengenezea za kutosha na kutugawia. Na alihusika katika upuuzi wa kugawa mitungi ya gesi ilhali bei ya gesi anajua ipi juu. Baada ya kuishiwa gesi hatujaweza tena kununua mitungi imebaki kama mapambo tu.

3. Musukuma - Huyu huwa anaongea pumba tu kila mara hana mchango wa maana katika Bunge

4. Covid 19 -Hawa walipewa Ubunge kwa ajili ya kutetea watu wao ambao ndiyo waliwapa Ubunge sasa wakija kutaka kuteuliwa kugombea tuwakatae.
Vizuri tuweke ambao watarudi Kwani ni wachache , kama 10%, wengine hawana uhalali WA kurudi
 
Kishimba ana faida gani? Yaani hata wewe unashbikia zile komedi zake?
Hapana hoja zake upande wa elimu huwa namuelewa sn, ni mtu ambaye hakusoma lakini akili ake inafanya kazi vzr sn huwezi kumlindanisha na akina Jafo, Kabudi na takataka zingine
 
Back
Top Bottom