Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wote kasoro Kishimba na Mpina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka Lucas Mbubujiko Mwashambwa aanze kulia kwa yowe kubwa sana.
1. Nape Nnauye - Hajawahi kuwa msaada kwa watu wake wala Taifa letu. Hajawahi kuwa na mchango wa maana toka awe Mbunge. Tunataka watu wapya waje. Apishe.
2. January Makamba - Huyu yeye aliona sisi tuliomchagua tunachokosa huku Bumbuli ni draft. So akaamua kututengenezea za kutosha na kutugawia. Na alihusika katika upuuzi wa kugawa mitungi ya gesi ilhali bei ya gesi anajua ipi juu. Baada ya kuishiwa gesi hatujaweza tena kununua mitungi imebaki kama mapambo tu.
3. Musukuma - Huyu huwa anaongea pumba tu kila mara hana mchango wa maana katika Bunge
4. Covid 19 -Hawa walipewa Ubunge kwa ajili ya kutetea watu wao ambao ndiyo waliwapa Ubunge sasa wakija kutaka kuteuliwa kugombea tuwakatae.
Hapo umechemsha mkuu! Fikiria upyaCcm wote kasoro Mpina.
Hakuwahi kufanya hivyo - ni uzushiNape Nnauye analaana ya kuwakanyaga wananchi wakinamama kwenye matako akipita juu yao.
Kiti unamaanisha lile pepo linalokuwa ndani ya mtu au kiti "supika"!??Wabunge hao ni shida, ila sio kubwa kama 'kiti'.
Na Salma kikwete je.?Mwigulu Nchemba
Ridhiwani Kikwete
Huyo Nape alishasema yeye ni mjanja wa uchaguzi, hategemei kura za kwenye boksi la kura, ila kushinda lazima.1. Nape Nnauye - Hajawahi kuwa msaada kwa watu wake wala Taifa letu. Hajawahi kuwa na mchango wa maana toka awe Mbunge. Tunataka watu wapya waje. Apishe.
Raia no. 1Kiti unamaanisha lile pepo linalokuwa ndani ya mtu au kiti "supika"!??
Huyo hana madharaaNa Salma kikwete je.?
Kishimba ana faida gani? Yaani hata wewe unashbikia zile komedi zake?Wote kasoro Kishimba na Mpina
Ana shida gani kwani huyu Prof MkendaProf Adolf Mkenda
maskini,1. Nape Nnauye - Hajawahi kuwa msaada kwa watu wake wala Taifa letu. Hajawahi kuwa na mchango wa maana toka awe Mbunge. Tunataka watu wapya waje. Apishe.
2. January Makamba - Huyu yeye aliona sisi tuliomchagua tunachokosa huku Bumbuli ni draft. So akaamua kututengenezea za kutosha na kutugawia. Na alihusika katika upuuzi wa kugawa mitungi ya gesi ilhali bei ya gesi anajua ipi juu. Baada ya kuishiwa gesi hatujaweza tena kununua mitungi imebaki kama mapambo tu.
3. Musukuma - Huyu huwa anaongea pumba tu kila mara hana mchango wa maana katika Bunge
4. Covid 19 -Hawa walipewa Ubunge kwa ajili ya kutetea watu wao ambao ndiyo waliwapa Ubunge sasa wakija kutaka kuteuliwa kugombea tuwakatae.

Ila hafai kuwa mbunge hata kama hana madharaHuyo hana madharaa
Vizuri tuweke ambao watarudi Kwani ni wachache , kama 10%, wengine hawana uhalali WA kurudi1. Nape Nnauye - Hajawahi kuwa msaada kwa watu wake wala Taifa letu. Hajawahi kuwa na mchango wa maana toka awe Mbunge. Tunataka watu wapya waje. Apishe.
2. January Makamba - Huyu yeye aliona sisi tuliomchagua tunachokosa huku Bumbuli ni draft. So akaamua kututengenezea za kutosha na kutugawia. Na alihusika katika upuuzi wa kugawa mitungi ya gesi ilhali bei ya gesi anajua ipi juu. Baada ya kuishiwa gesi hatujaweza tena kununua mitungi imebaki kama mapambo tu.
3. Musukuma - Huyu huwa anaongea pumba tu kila mara hana mchango wa maana katika Bunge
4. Covid 19 -Hawa walipewa Ubunge kwa ajili ya kutetea watu wao ambao ndiyo waliwapa Ubunge sasa wakija kutaka kuteuliwa kugombea tuwakatae.
Hapana hoja zake upande wa elimu huwa namuelewa sn, ni mtu ambaye hakusoma lakini akili ake inafanya kazi vzr sn huwezi kumlindanisha na akina Jafo, Kabudi na takataka zingineKishimba ana faida gani? Yaani hata wewe unashbikia zile komedi zake?