Pre GE2025 Tuweke hapa majina ya Wabunge ambao tuhakikishe hawarudi baada ya 2025

Pre GE2025 Tuweke hapa majina ya Wabunge ambao tuhakikishe hawarudi baada ya 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
1. Nape Nnauye - Hajawahi kuwa msaada kwa watu wake wala Taifa letu. Hajawahi kuwa na mchango wa maana toka awe Mbunge. Tunataka watu wapya waje. Apishe.

2. January Makamba - Huyu yeye aliona sisi tuliomchagua tunachokosa huku Bumbuli ni draft. So akaamua kututengenezea za kutosha na kutugawia. Na alihusika katika upuuzi wa kugawa mitungi ya gesi ilhali bei ya gesi anajua ipi juu. Baada ya kuishiwa gesi hatujaweza tena kununua mitungi imebaki kama mapambo tu.

3. Musukuma - Huyu huwa anaongea pumba tu kila mara hana mchango wa maana katika Bunge

4. Covid 19 -Hawa walipewa Ubunge kwa ajili ya kutetea watu wao ambao ndiyo waliwapa Ubunge sasa wakija kutaka kuteuliwa kugombea tuwakatae.
Msukuma japo hajasoma ni bonge moja la mtoa hoja mzuri tu sema alizingua kwenye DP world
 
Hapana hoja zake upande wa elimu huwa namuelewa sn, ni mtu ambaye hakusoma lakini akili ake inafanya kazi vzr sn huwezi kumlindanisha na akina Jafo, Kabudi na takataka zingine
Kishimba ni darasa la saba ila ana hela. Mawazo yake yote anayotoa ni ya kukejeli elimu na waliosoma.

Kama unadhani Kishimba ana tija, nitajie wazo lolote alilotoa na Serikali ikalifuata/ ikalichukua
 
Kishimba ni darasa la saba ila ana hela. Mawazo yake yote anayotoa ni ya kukejeli elimu na waliosoma.

Kama unadhani Kishimba ana tija, nitajie wazo lolote alilotoa na Serikali ikalifuata/ ikalichukua
Madiliko ya sera ya elimu alichangia pakubwa sn mpk Rais Samia alimsifia, tuache utani kuwa la saba siyo laana, akina Prof Mkumbo wana faida gani bungeni zaidi ya kugonga meza? Mzee ana madini sn na sijawahi kumuona anasifia ujinga wa serikali
 
1. Nape Nnauye - Hajawahi kuwa msaada kwa watu wake wala Taifa letu. Hajawahi kuwa na mchango wa maana toka awe Mbunge. Tunataka watu wapya waje. Apishe.

2. January Makamba - Huyu yeye aliona sisi tuliomchagua tunachokosa huku Bumbuli ni draft. So akaamua kututengenezea za kutosha na kutugawia. Na alihusika katika upuuzi wa kugawa mitungi ya gesi ilhali bei ya gesi anajua ipi juu. Baada ya kuishiwa gesi hatujaweza tena kununua mitungi imebaki kama mapambo tu.

3. Musukuma - Huyu huwa anaongea pumba tu kila mara hana mchango wa maana katika Bunge

4. Covid 19 -Hawa walipewa Ubunge kwa ajili ya kutetea watu wao ambao ndiyo waliwapa Ubunge sasa wakija kutaka kuteuliwa kugombea tuwakatae.
Tulia Ackson
 
Madiliko ya sera ya elimu alichangia pakubwa sn mpk Rais Samia alimsifia, tuache utani kuwa la saba siyo laana, akina Prof Mkumbo wana faida gani bungeni zaidi ya kugonga meza? Mzee ana madini sn na sijawahi kumuona anasifia ujinga wa serikali
Nitajie wazo ambalo ni la kwake kwenye hiyo sera ya elimu. Siyo unamshabikia tu kwa vile alisimama na kuongea
 
Kishimba ni darasa la saba ila ana hela. Mawazo yake yote anayotoa ni ya kukejeli elimu na waliosoma.

Kama unadhani Kishimba ana tija, nitajie wazo lolote alilotoa na Serikali ikalifuata/ ikalichukua
Upo sahihi. Kishimba hana mawazo ya maana kielimu. Anataka kuonesha kuwa elimu si kitu
 
Back
Top Bottom