Uwezo wenu wa kiakili ni mdogo. Vichwapanzi mnashindana na genius.katika muendelezo wa jinsi mwanasiasa huyu alivo muongo:
Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana...www.jamiiforums.com
View: https://www.instagram.com/p/DEM7WBnM4n3/?is_sponsored=true&is_ineligible_for_clips_chaining=false
Wamachame punguzeni shobo,hata Sultan Mbowe mwaka 2019 alisema hatagombea tena na amechukua na kurudisha form. Na mwaka 2015 Chadema ilimuandaa Dr. Slaa kuwa mgombea wa Urais lakini dakika za majeruhi Sultan akamleta Lowassa baada ya kudakishwa B 10.katika muendelezo wa jinsi mwanasiasa huyu alivo muongo:
Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana...www.jamiiforums.com
View: https://www.instagram.com/p/DEM7WBnM4n3/?is_sponsored=true&is_ineligible_for_clips_chaining=false
Hii counter attack ya Lissu imewavuruga sana wamachameMbinu hiyo ulitaka aseme mapema wamuwekee sumu, na ndo mbinu ya ki Cuba unasema nataka niende Moro wakija kustuka upo Kigomaa unatafuna mgebuka wako
wajumbe hawa apa:Asante kwa kumbukumbu zako, na pia hongera kwa kuziweka sawa
Lakini yote kwa yote, wajumbe tunaenda na Lissu
Wewe nyumbu wa Mbowe huwezi kuelewa ngojeni muambulie makombo ya hela za Abdul.counter attack ama muongo
Kama Mbowe alivyosema CCM ikishinda 2015 ataachana na siasa na hatogombea tena uenyekiti chadema!Katika muendelezo wa jinsi mwanasiasa huyu alivo muongo:
Pia soma > Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late
2019 Mbowe alisema akimaliza kipindi hiki hatagombea tena lakini yumo tena kwa msaada kutoka CCM.