Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo umekuwa 'active' kwelikweli na mada hizi.View attachment 2173553
hii ni rejea muhimu kwetu sote na kwa manufaa ya Taifa letu.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Naona kapoteza matumaini yote ndani ya chama, sasa kaamua kutumia akili alizokuwa kazilaza maksudi kabisa.Unahangaika sana naona jingalao .
Pole sana kwa yaliyokufika.
CCM ni nguzo ya uovu.
Hakuna cha serikali kusimamiwa na chama wala katiba.
Dawa ni katiba mpya tuu.
Mkigawana fito huko chamani kwenu ndio huwa mnakumbuka kuwa katiba ya nchi ndio "supremacy".
Huwa mnawakejeli wote wanaokosoa kwamba katiba lazima iwe juu ya kila kitu na ifuatwe,leo unaandika as if wewe ni mgeni nchini.
EnHeeee, 'Jinga' imekuwaje leo? Mbona hutulii?View attachment 2173553
hii ni rejea muhimu kwetu sote na kwa manufaa ya Taifa letu.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mafisadi kushika hatamu kwa chama tawala nchi yetu itaangamia
Tatizo huwa hatusomi hizi instruments tulizonazo.Leo umekuwa 'active' kwelikweli na mada hizi.
Ninakubaliana nawe, lakini kumbuka kama umesahau tu: CCM inajihesabu kwamba ndiyo chama pekee cha siasa nchini humu, hata baada ya vyama vingine kuruhusiwa kufanya siasa.
Hiyo ni 'relic' ya Chama kimoja, na kwa bahati mbaya sana tulivyo lala wananchi wa nchi hii, hakuna anyeuliza iweje, na kupinga kwa kutumia sheria mahakamani.
Tumelala sana, na CCM wanatumia usingizi wetu kufanya wanavyotaka wao.
Sasa bila shaka umesikia 'Maza Mizinguo, alivyoeleza jinsi walivyorekebisha katiba ya chama chao ili Mamea, na watendaji wengine wawajibike kwa chama; na sisi bado hatustuki chochote, tumo usingizini!
Ila naona kama wewe hapo umeanza kustuka..., lakini si kustuka kwa nia njema, maanake ingekuwa hivyo, maswali haya ungekuwa umeyauliza toka kitambo sana.
Tuipende Tanzania, achana na taka hizi za vyama vya wapiga dili.
Siwezi kudai Katiba mpya ...iliyopo inajitosheleza .wanaodai katiba Mpya hawajaisoma iliyopo
Kuna watu wamezisoma na kuzielewa sana.Tatizo huwa hatusomi hizi instruments tulizonazo.
yeye alitekekeza Katiba kivitendoKuna watu wamezisoma na kuzielewa sana.
Tatizo si kusoma na kuzielewa.
Ninyi wafuasi wa JPM mlimsifia na mnamsifia sana kwamba kaibadilisha nchi. Kama kweli JPM angekuwa na nia njema na hii nchi,angetengeneza mifumo ambayo hata yeye kama ambavyo hayupo leo,nchi ingeendelea kwa mujibu wa mfumo (katiba) iliyo madhubuti.
Sasa jamaa yenu alifeli hata kuhakikisha anatengeneza utii wa katiba hii hii iliyopo,akaiweka pembeni na kujifanya yeye ndiye katiba,sheria,kanuni,taratibu na hakimu mkuu.
Hatukuona jingalao wala nani wakipiga kelele kuhusu katiba kusiginwa zaidi ya kufurahia upumbavu ule.
Yeye alitekeleza kivitendo kwa kuwa "diktekta uchwara".yeye alitekekeza Katiba kivitendo
View attachment 2173553
Hii ni rejea muhimu kwetu sote na kwa manufaa ya Taifa letu.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Siwezi kudai Katiba mpya ...iliyopo inajitosheleza .wanaodai katiba Mpya hawajaisoma iliyopo
View attachment 2173553
Hii ni rejea muhimu kwetu sote na kwa manufaa ya Taifa letu.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!