Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,072
- 2,453
Kwani katiba iliandikwa na watu wa chama gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi zilikuwa ni sera za serikali ya Urusi ambazo nchi ya urusi ilitaka zitumike duniani kote.soma kitabu kiitwacho RISE AND FALL OF SOVIET EMPIRE kimetungwa na Brian Crozier.wakati mwingine lazima tukubali marekani na washilika wake wameikomboa dunia.Hongera kwa kujirejeshea akili.
Angalau vile vioja vya viongozi wa CCM kuonekana wakiwakoromea watendaji wa serikali na kuwalazimisha kuzingatia ilani ya CCM vitaanza kutambulika kama ujinga usio kifani. Ilani ni bargaining tool ya chama bungeni. Basi. Si agizo la utekelezaji.
Nchi ya ajabu hii yenye viongozi wasiojua kiunganisho kati ya vyama-bunge-mahakama-serikali (executive). Hawajui kwamba serikali inatekeleza maazimio ya bunge, sheria na hukumu za mahakama tu; sio ilani ya chama cha siasa. Na chama hakiwasiliani na serikali moja kwa moja bali kupitia viongozi wa kisiasa serikalini. Sio ule ujinga wa mwenyekiti wa wilaya wa CCM kumhoji OCD wa polisi kuhusu ajali za barabarani au ujambazi wilayani.
Unaona leo kwamba matamko lazima yadhibitiwe. Wakati wa magufuli alitaka chochote nawe unashangilia bila kujua athar zake. ( ulifunga kibwaya ukanengua) leo hali imegeuka unalia na matamko.Matamko yetu kama viongozi ni muhimu yakawa na umakini wa hali ya juu
Anaimba kama KASUKULini imeanza kuwa na akili? jingalao
Kwa sasa mnaona hili? Enzi za mwendazake mliona sawa tu aliyokuwa akiyafanya hata kama alikuwa akivunja katiba na kukinzana na ilani ya chama..View attachment 2173553
Hii ni rejea muhimu kwetu sote na kwa manufaa ya Taifa letu.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Tatizo la Mi CCM inadhaniniko juu ya kila kitu katika Tanzania hii.View attachment 2173553
Hii ni rejea muhimu kwetu sote na kwa manufaa ya Taifa letu.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Tatizo la Mi CCM inadhaniniko juu ya kila kitu katika Tanzania hii.
Ndio maana wanakiuka misingi ya Katiba na kuona ndio inaishauri Serikali.
Using wanarejesheana nafasi za uongozi! WaTanzania ni muda wa kuamka na kudai Katiba mpya sio swala la chama fulani pekee. Hii kujidai ina wenyewe ni uchwara tu.!
Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
Siwezi kudai Katiba mpya ...iliyopo inajitosheleza .wanaodai katiba Mpya hawajaisoma iliyopo
Mataga Munataga
Mkuu mataga wanaoga MBIGILIWewe na wenzako ni propoganda au tumbo kilichowageuza kuwa msukule enzi za bwana yule?