Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha tafadhaliZipo benera za Taifa duniani zenye kuvutia,
Lakini tuweke sawa kumbukumbu, hivi hapa duniani, Kuna bendera nzuri ya Taifa kuliko Ile ya Tanganyika?
Nakupenda sana Nchi yangu Nyikani .
Nawasilisha,
Karibuniš
Pia tuna katiba nzuri kuliko ya nchi yoyote!!!,......akili za watanzania Mungu asaidie tu nikama za vitoto vya chekechea huvutiwa na rangi tuZipo benera za Taifa duniani zenye kuvutia,
Lakini tuweke sawa kumbukumbu, hivi hapa duniani, Kuna bendera nzuri ya Taifa kuliko Ile ya Tanganyika?
Nakupenda sana Nchi yangu Nyikani .
Nawasilisha,
Karibuni[emoji120]
Uliwahi kuiona bendera ya Tanganyika ikipepea mlingotini?Yaliyopo ndani yake sasa
Kweli uzuri wa mkakasi ndani kipande Cha mti
Si RANGI pekee,Pia tuna katiba nzuri kuliko ya nchi yoyote!!!,......akili za watanzania Mungu asaidie tu nikama za vitoto vya chekechea huvutiwa na rangi tu
Kwa lipi sasa!Unataka bifu na chawa wa Kuzimukazi
Penye riziki, hapakosi fitna.Sasa uzuri wa bendera una manufaa gani kwako na kwa nchi yako ili hali yanayopatikana ndani yake ni ya kuogofya zaidi?? š
Hawataki kusikia neno Tanganyika linatamkwa popote paleKwa lipi sasa!
Long live Tanganyika!!!Zipo benera za Taifa duniani zenye kuvutia,
Lakini tuweke sawa kumbukumbu, hivi hapa duniani, Kuna bendera nzuri ya Taifa kuliko Ile ya Tanganyika?
Nakupenda sana Nchi yangu Nyikani .
Nawasilisha,
Karibuniš
Tanganyika haina katiba mkuuPia tuna katiba nzuri kuliko ya nchi yoyote!!!,......akili za watanzania Mungu asaidie tu nikama za vitoto vya chekechea huvutiwa na rangi tu
Sasa Zanzibar ikiwa aliolewa kwa NDOA halali, iweje Jina la mumewe lisitajwe?Hawataki kusikia neno Tanganyika linatamkwa popote pale
Haiwezi kuwa na Rais isiwe na Katiba!Tanganyika haina katiba mkuu
Ni sawa na kusema Kuna NDOA , mke yupo ila mume hayupo!!Hakuna nchi inayoitwa Tanganyika bali Tanzania