GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Tanzania ni ya kwenu, lakini yetu sisi ni Jamhuri ya Tanganyika!!!Hakuna nchi inayoitwa Tanganyika bali Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania ni ya kwenu, lakini yetu sisi ni Jamhuri ya Tanganyika!!!Hakuna nchi inayoitwa Tanganyika bali Tanzania
Raisi wa tanganyika ni nani?Haiwezi kuwa na Rais isiwe na Katiba!
Long live Tanganyika!!!
Kuna bendera ya Zanzibar - ni nzuri kwa watu wa Zanzibar!Bendera ya Tanganyika inajulikana, wale wanaoiita Tanganyika Tanzania bara waweke picha ya bendera ya Tanzania bara watu waione.
Tanganyika hili koloni la Zanzibar?Zipo benera za Taifa duniani zenye kuvutia,
Lakini tuweke sawa kumbukumbu, hivi hapa duniani, Kuna bendera nzuri ya Taifa kuliko Ile ya Tanganyika?
Nakupenda sana Nchi yangu Nyikani .
Nawasilisha,
Karibuni🙏
Na wewe unaipenda Tanganyika kama nasi Watanganyika tunavyoipenda nchi yetu ya Tanganyika?Raisi wa tanganyika ni nani?
Koloni tangu lini likawa na rais.Raisi wa tanganyika ni nani?
Zipo benera za Taifa duniani zenye kuvutia,
Lakini tuweke sawa kumbukumbu, hivi hapa duniani, Kuna bendera nzuri ya Taifa kuliko Ile ya Tanganyika?
Nakupenda sana Nchi yangu Nyikani .
Nawasilisha,
Karibuni🙏
Suala la benders ipi nzuri ni suala la mtu binafsi, mtu na mtu. Ww unaiona nzuri, wengine watasema ya marekani , wengine ya uk wengine ya south africaZipo benera za Taifa duniani zenye kuvutia,
Lakini tuweke sawa kumbukumbu, hivi hapa duniani, Kuna bendera nzuri ya Taifa kuliko Ile ya Tanganyika?
Nakupenda sana Nchi yangu Nyikani .
Nawasilisha,
Karibuni🙏
Kwan ni Bendera tuu?;Zipo benera za Taifa duniani zenye kuvutia,
Lakini tuweke sawa kumbukumbu, hivi hapa duniani, Kuna bendera nzuri ya Taifa kuliko Ile ya Tanganyika?
Nakupenda sana Nchi yangu Nyikani .
Nawasilisha,
Karibuni🙏
Tanganyika died long time ago. Oops sorry, it just got swallowed by a small island.Long live Tanganyika!!!
Sijawahi mkuuUliwahi kuiona bendera ya Tanganyika ikipepea mlingotini?
Angalia ya NepalZipo bendera za Taifa duniani zenye kuvutia,
Lakini tuweke sawa kumbukumbu, hivi hapa duniani, Kuna bendera nzuri ya Taifa kuliko Ile ya Tanganyika?
Nakupenda sana Nchi yangu Nyikani .
Nawasilisha,
Karibuni🙏
Hiyo Si nzuri,Bendera ya Nepal
Si bendera pekee,Kwan ni Bendera tuu?;
Wewe binafsi unaionaje Bendera ya nchi yetu Tanganyika?Suala la benders ipi nzuri ni suala la mtu binafsi, mtu na mtu. Ww unaiona nzuri, wengine watasema ya marekani , wengine ya uk wengine ya south africa
There is no answer for that
ISRAEL ndio inavutia bwasheZipo bendera za Taifa duniani zenye kuvutia,
Lakini tuweke sawa kumbukumbu, hivi hapa duniani, Kuna bendera nzuri ya Taifa kuliko Ile ya Tanganyika?
Nakupenda sana Nchi yangu Nyikani .
Nawasilisha,
Karibuni🙏
Tanganyika, Nyikani,ISRAEL ndio inavutia bwashe
Moderators mmejua kunifurahisha Kwa kuweka bendera ya Tanganyika hapo juu.Zipo bendera za Taifa duniani zenye kuvutia,
Lakini tuweke sawa kumbukumbu, hivi hapa duniani, Kuna bendera nzuri ya Taifa kuliko Ile ya Tanganyika?
Nakupenda sana Nchi yangu Nyikani .
Nawasilisha,
Karibuni🙏