LUTULWITU JF-Expert Member Joined Sep 9, 2024 Posts 584 Reaction score 983 Dec 12, 2024 #41 Viva Tanganyika Viva.
R Rabbon JF-Expert Member Joined Apr 16, 2022 Posts 21,625 Reaction score 33,688 Dec 12, 2024 Thread starter #42 LUTULWITU said: Viva Tanganyika Viva. Click to expand... Bendera nzuri kama Nchi yenyewe.
Hismastersvoice JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 21,741 Reaction score 26,735 Dec 12, 2024 #43 Rabbon said: Zipo bendera za Taifa duniani zenye kuvutia, Lakini tuweke sawa kumbukumbu, hivi hapa duniani, Kuna bendera nzuri ya Taifa kuliko Ile ya Tanganyika? Nakupenda sana Nchi yangu Nyikani . Nawasilisha, Karibuniš View attachment 3173556 Click to expand... Ilikuwa, ila kwa sasa hili lichama tawala limeinajisi rangi ya kijani kiasi cha kuiharibia timu ya Yanga.
Rabbon said: Zipo bendera za Taifa duniani zenye kuvutia, Lakini tuweke sawa kumbukumbu, hivi hapa duniani, Kuna bendera nzuri ya Taifa kuliko Ile ya Tanganyika? Nakupenda sana Nchi yangu Nyikani . Nawasilisha, Karibuniš View attachment 3173556 Click to expand... Ilikuwa, ila kwa sasa hili lichama tawala limeinajisi rangi ya kijani kiasi cha kuiharibia timu ya Yanga.
R Rabbon JF-Expert Member Joined Apr 16, 2022 Posts 21,625 Reaction score 33,688 Dec 12, 2024 Thread starter #44 Hismastersvoice said: Ilikuwa, ila kwa sasa hili lichama tawala limeinajisi rangi ya kijani kiasi cha kuiharibia timu ya Yanga. Click to expand... Bendera ya Nyikani haifanani na Yanga yeboyebo hata kdg, Ni ya kipekee
Hismastersvoice said: Ilikuwa, ila kwa sasa hili lichama tawala limeinajisi rangi ya kijani kiasi cha kuiharibia timu ya Yanga. Click to expand... Bendera ya Nyikani haifanani na Yanga yeboyebo hata kdg, Ni ya kipekee