Mwarabu yupi ndugu? Huyo Abbas Tarimba anayekaribia kushuka daraja?Imefikiwa na kuvurugwa,tumempiga mwarabu kwao
Mwarabu yupi ndugu? Huyo Abbas Tarimba anayekaribia kushuka daraja?
Nafasi ya 10 kati ya 16, anamkanda bingwa wa ligi.
Marumo naye kayeya, ni timu gani iliyo na uhai kisoka iliyofungwa na Yanga kule CAFCC?
Hata huku home, bila 2.2bn, sijui mngemfunga nani nyie?
Sasa hata km ingechezwa match 1, utopoloo angepigwa tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waliowahi kutumia shilingi 200 za Noti miaka ile ya 90 wanaweza kuzifananisha na shilingi 200 za Sarafu ya Sasa kwa Uthamani?
Anyways, Hongereni Watani kushika nafasi ya Pili.
Muhimu sasa tungeungana kupinga Sheria ya Fainali kuchezwa Home/Away as zinatengeneza mazingira ya kupangwa mshindi.
Mbona wenzetu Uefa hawana hayo mambo ya Away/Home fainali
Hakuna sehemu nimesema halina hadhi ahahah!Hayo ni maneno ya mkosaji ,kumbuka mwaka jana mlifikia hadi hatua ya kuroga uwanjani kwa kombe hili hili mnaloliona halina hadhi. Acheni hadithi za sitaki mbichi hizi
Hakuna sehemu nimesema halina hadhi ahahah!
Nimesema hivi, mmetudhalilisha sana sisi ndugu zenu, mmenoa shoka kukatia mgomba, kweli? Na mgomba mmoja umewashinda!
Hakuna timu moja aliyocheza nayo Simba CAFCC msimu uliopita, ilikuwa dhaifu, na watani wasingetia mguu ABADANI!
Muhimu ni kuweka kumbukumbu kuwa, BAADA ya kufeli CAFCL, Simba akadondokea CAFCC, ila nasikia wenzetu wao wali-qualify moja kwa moja kwenda CAFCC.
Hahahaha..............naona umeamua kuwakeraaa msemo wa Manara π πSasa hata km ingechezwa match 1, utopoloo angepigwa tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mfano ile ya kwa mkapa, si ndo ingekua USMA wamechukua kiulainiiii
Slogan yenu inasemaje vileee?Aliyedhalilisha wenzie ni yule aliyeroga uwanjan tena laivu kideoni. Maneno yatawatoka mengi ila ukweli ni kwamba imewauma sana hatua kubwa waliyoipiga Yanga
Slogan yenu inasemaje vileee?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] USMA wamewavurugaa kabisa akili utopolooo, mda wote wanaanzisha nyuzi za kujipa ahueni Lol
100%byuti byutiiiiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana nasema ukweliiii.Hahahaha..............naona umeamua kuwakeraaa msemo wa Manara [emoji28][emoji28]
Kwan uongo shem??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wana hasira za kufa Kiume Jana alafu wewe unawatania π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana nasema ukweliiii.
Jana mkamfisha mayele, Aziz ki, na wapumbavu wengine wa yanga πππTunachojua USM ALGER BINGWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sio shida zetuuWatu wana hasira za kufa Kiume Jana alafu wewe unawatania [emoji28]