Tuweke ushabiki pembeni, kuna kitu cha kujifunza kutoka Hamas

Tuweke ushabiki pembeni, kuna kitu cha kujifunza kutoka Hamas

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Mimi ni pro Israel kweli kweli. Ila ni mtu mwenye msimamo wa kujifunza kutoka kwa mtu yeyote hata kama ni adui Yangu

Ukweli ni kwamba safari hii Israel amekutana na kisiki. Vita hii ni ngumu sana kwa Israel. Haijawahi kutokea tangu kuundwa kwa taifa la Israel. Vita zote za nyuma Israel alikuwa akikanyaga tu lakini sio safari hii.

Ukweli ni kwamba GAZA hii Vita waliiomba na wameimudu kwa kweli. Binafsi naona miujiza unahitajika Israel Kushinda hii Vita. Kwa sayansi ya kawaida ni ngumu sana

Pamoja na uharibifu mkubwa wa majengo na vifo, HAMAS wameleta upinzani mkubwa sana

FUNZO: Mimi nasema siku zote don't underestimate mpinzani wako. Wote tumeona jinsi Russia alivyoshindwa vibaya Vita ya Ukraine. Taratibu Vita ya Ukraine na Russia inaelekea ukingoni.

Pia viongozi wajifunze Vita sio Suluhisho. Vita inaleta uharibifu bila sababu za msingi. Tunaua watu, tunaharibu miuondombinu. Tunaingia gharama bila sababu za msingi.

Kwa uzoefu wangu, Vita ni hasara
 
Israel anapata shida sana kwa sababu anapigana na watu ambao hajui wamejificha wapi. Hamas wangekuwa jeshi kamili kazi ingekuwa ishaisha kitambo sana. Israel akitaka amalize hii vita mazima akubali tu kulaumiwa na dunia nzima.

Ukimpiga Hamasi mmoja anaondoka na raia kadhaa na ndio maana vifo vya raia ni vingi sana
 
Mkuu vita dhidi ya ugaidi au magaid haijawahi kuwa nyepesi,marekani alichemka vibaya mpaka kuimaliza al Qaeda,taleban alishindwa,
Wapalestina ugaidi wao nini?? Ushasikia hata siku moja wapalestina wameenda kupigana vita marekani au ulishasikia wameenda uingereza kuleta fujo,, au hata misri iliyopakana nayo?? Usiwe bwege kila unachokisikia kutoka Amerika basi we ndio,, unajua maana ya ugaidi wewe? Upi ugaidi wa wapalestina..
 
Mimi ni pro Israel kweli kweli. Ila ni mtu mwenye msimamo wa kujifunza kutoka kwa mtu yeyote hata kama ni adui Yangu

Ukweli ni kwamba safari hii Israel amekutana na kisiki. Vita hii ni ngumu sana kwa Israel. Haijawahi kutokea tangu kuundwa kwa taifa la Israel. Vita zote za nyuma Israel alikuwa akikanyaga tu lakini sio safari hii.

Ukweli ni kwamba GAZA hii Vita waliiomba na wameimudu kwa kweli. Binafsi naona miujiza unahitajika Israel Kushinda hii Vita. Kwa sayansi ya kawaida ni ngumu sana

Pamoja na uharibifu mkubwa wa majengo na vifo, HAMAS wameleta upinzani mkubwa sana

FUNZO: Mimi nasema siku zote don't underestimate mpinzani wako. Wote tumeona jinsi Russia alivyoshindwa vibaya Vita ya Ukraine. Taratibu Vita ya Ukraine na Russia inaelekea ukingoni.

Pia viongozi wajifunze Vita sio Suluhisho. Vita inaleta uharibifu bila sababu za msingi. Tunaua watu, tunaharibu miuondombinu. Tunaingia gharama bila sababu za msingi.

Kwa uzoefu wangu, Vita ni hasara
Urusi ameshindwa vita na Ukraine, kwa vigezo gani?
 
Israel anapata shida sana kwa sababu anapigana na watu ambao hajui wamejificha wapi. Hamas wangekuwa jeshi kamili kazi ingekuwa ishaisha kitambo sana. Israel akitaka amalize hii vita mazima akubali tu kulaumiwa na dunia nzima.

Ukimpiga Hamasi mmoja anaondoka na raia kadhaa na ndio maana vifo vya raia ni vingi sana
Jamani jamani haya madai IDF walifeli kuyathibitisha.
Hamas hawajifichi nyuma ya raia.
Qassam brigade wanazo gwanda.
Islamic jihad brigade huvaa mavazi meusi wakiwa na bullet proof.
Ushambuliaji wa hamas wa kuvizia na mashambulizi ya kushtukiza ila haihusiani na raia hiyo statement futa.

Turkiye ikiingia North Syria kupigana na kurdish mbona humaliza kazi mapema wakurdi upiganaj wao wa kuvizia vilevile?
 
Tuanze na Israel, Taifa kubwa lenye jeshi Imara
1. majeshi ya Israel yanapewa mafunzo ya kisasa na yana vifaa vya kisasa

2. Majeshi ya Israel wanalipwa vizuri sana USD 4000 per week, wanapewa chakula free, matibabu wakiumia free

3. Majeshi ya Israel yana silaha za kisasa kutoka Europe na US tena wanapewa msaada hawanunui

4. Majeshi ya Israel ya vifaru na ndege vita za kisasa kabisa

Tuje kwa Hamas sasa

1. Hamas hawana silaha za maana kwani mipaka yao yote inakuwa controled na Israel hakuna kuingiza silaha yeyote kutoka popote..silaha za hamas wanatengeneza wenyewe bunduki

2. Hamas hawana kifaru hata kimoja na hawana ndege vita hata moja

3. Hamas achilia mbali mishahara lakini pi hawana hata uhakika wa mlo mmoja kwa siku kwani Israel amezuia hadi vyakula kuingia Gaza

4. Hamas hana misaada, hakuna nchi inayoruhusiwa kuwasaidia Hamas kwa chochote na nchi hiyo ikisaidia Hamas wataitwa magaidi

5. Eneo la Gaza lina ukubwa kuanzia Tegeta hadi Posta kwa hivyo Israel wanaweza kulizunguka ndani ya dakika sifuri wakamaliza kazi yao

MATOKEO SASA UWANAJA WA VITA = ISRAEL 0 HAMAS 3

Pamoja na Israel kuwa na jeshi imara, vifaa vya kisasa, malipo mazuri misaada kila kona but still mpaka sasa kashindwa kuwapata mateka walio chini ya hamas..

Israel kitu pekee wanachoweza ni kupigana na watoto na wanawake tu basi

na pia Israel ni wataalamu wa kuvunja nyumba na hospitali na mashule kwa hapa wamefanikiwa
 
Wee unasema hivyo Kwamba Hamas Au Wapalestina wamevitaka Vita hivi na Wameshinda kumbuka Kuna Mamilioni ya Watu wamekimbia Nyumba Zao na Watu zaidi ya 25,000 Kufa hakuna huduma zozote zinazoendelea hapo Gaza Kabla ya Vita Watu walifanya Maisha Yao na Familia Zao na Mambo Yalienda Kumbuka Sio Wapalestina Wote Wana itikadi Kali za Vita Wengine wanataka Maisha na Maendleo binafsi
 
Tuanze na Israel, Taifa kubwa lenye jeshi Imara
1. majeshi ya Israel yanapewa mafunzo ya kisasa na yana vifaa vya kisasa

2. Majeshi ya Israel wanalipwa vizuri sana USD 4000 per week, wanapewa chakula free, matibabu wakiumia free

3. Majeshi ya Israel yana silaha za kisasa kutoka Europe na US tena wanapewa msaada hawanunui

4. Majeshi ya Israel ya vifaru na ndege vita za kisasa kabisa

Tuje kwa Hamas sasa

1. Hamas hawana silaha za maana kwani mipaka yao yote inakuwa controled na Israel hakuna kuingiza silaha yeyote kutoka popote..silaha za hamas wanatengeneza wenyewe bunduki

2. Hamas hawana kifaru hata kimoja na hawana ndege vita hata moja

3. Hamas achilia mbali mishahara lakini pi hawana hata uhakika wa mlo mmoja kwa siku kwani Israel amezuia hadi vyakula kuingia Gaza

4. Hamas hana misaada, hakuna nchi inayoruhusiwa kuwasaidia Hamas kwa chochote na nchi hiyo ikisaidia Hamas wataitwa magaidi

5. Eneo la Gaza lina ukubwa kuanzia Tegeta hadi Posta kwa hivyo Israel wanaweza kulizunguka ndani ya dakika sifuri wakamaliza kazi yao

MATOKEO SASA UWANAJA WA VITA = ISRAEL 0 HAMAS 3

Pamoja na Israel kuwa na jeshi imara, vifaa vya kisasa, malipo mazuri misaada kila kona but still mpaka sasa kashindwa kuwapata mateka walio chini ya hamas..

Israel kitu pekee wanachoweza ni kupigana na watoto na wanawake tu basi

na pia Israel ni wataalamu wa kuvunja nyumba na hospitali na mashule kwa hapa wamefanikiwa
Nikiaangalia aljazira pro hamas tv wakijiliza watu pale gaza na nikija angalia wavaa kobazi humu na kanzu chafu wanachoandika unaona kweli ccm inahaki ya kuendelea kututawala miaka 50 mingine
 
Wee unasema hivyo Kwamba Hamas Au Wapalestina wamevitaka Vita hivi na Wameshinda kumbuka Kuna Mamilioni ya Watu wamekimbia Nyumba Zao na Watu zaidi ya 25,000 Kufa hakuna huduma zozote zinazoendelea hapo Gaza Kabla ya Vita Watu walifanya Maisha Yao na Familia Zao na Mambo Yalienda Kumbuka Sio Wapalestina Wote Wana itikadi Kali za Vita Wengine wanataka Maisha na Maendleo binafsi
Hawachungulii hata tv pale kituoni kwao aljazira ni huruma najiuliza hamas wanataka nini mpaka kuwaweka palestina rehani kugeuzwa mizoga kila siku. Kama binadamu lazma uwahurumie gaza ile sio kipigo ni ukatili
 
Israel anapata shida sana kwa sababu anapigana na watu ambao hajui wamejificha wapi. Hamas wangekuwa jeshi kamili kazi ingekuwa ishaisha kitambo sana. Israel akitaka amalize hii vita mazima akubali tu kulaumiwa na dunia nzima.

Ukimpiga Hamasi mmoja anaondoka na raia kadhaa na ndio maana vifo vya raia ni vingi sana
kwa vile israel anavyopiga hata kama haujulikani ulipojificha utatoka tu...hii ngoma ngumu kwa israel ukweli mchungu
 
Mimi ni pro Israel kweli kweli. Ila ni mtu mwenye msimamo wa kujifunza kutoka kwa mtu yeyote hata kama ni adui Yangu

Ukweli ni kwamba safari hii Israel amekutana na kisiki. Vita hii ni ngumu sana kwa Israel. Haijawahi kutokea tangu kuundwa kwa taifa la Israel. Vita zote za nyuma Israel alikuwa akikanyaga tu lakini sio safari hii.

Ukweli ni kwamba GAZA hii Vita waliiomba na wameimudu kwa kweli. Binafsi naona miujiza unahitajika Israel Kushinda hii Vita. Kwa sayansi ya kawaida ni ngumu sana

Pamoja na uharibifu mkubwa wa majengo na vifo, HAMAS wameleta upinzani mkubwa sana

FUNZO: Mimi nasema siku zote don't underestimate mpinzani wako. Wote tumeona jinsi Russia alivyoshindwa vibaya Vita ya Ukraine. Taratibu Vita ya Ukraine na Russia inaelekea ukingoni.

Pia viongozi wajifunze Vita sio Suluhisho. Vita inaleta uharibifu bila sababu za msingi. Tunaua watu, tunaharibu miuondombinu. Tunaingia gharama bila sababu za msingi.

Kwa uzoefu wangu, Vita ni hasara

Hii itakuwa ni habari mbaya mno kwa MK254 na wajomba zake
 
Back
Top Bottom