Tuweke ushabiki pembeni, kuna kitu cha kujifunza kutoka Hamas

Tuweke ushabiki pembeni, kuna kitu cha kujifunza kutoka Hamas

Labda tuelimishe maana ya ugaidi!!

Inawezekana mna maana mbili tofauti vichani mwenu
Ugaidi ni kitendo cha kutumia nguvu na kuogofya watu kwa ulengwa wa kidini ama kisiasa ili kupata unufaika ama maslahi binafsi ya muhusika.
Ukitizama hilo hapo nani atakua gaidi??
Hamas ilikua political organisation kama PLO.
Ila ushajiuliza kimetokea nini mpaka Hamas wakaanza kushika silaha?
Hapa ndio unapata jibu kuwa ndio maana Gutteres alisema "Hamas' October 7 attacks are unjustifiable but did not happen with in a vaccum there is a story before october 7".
Hata PLO waliitwa magaidi hivyo hivyo walivyokua wanapambana Palestina iwe taifa kamili na Israel isijitanue nje ya mipaka ilioundwa 1947.
 
Vita sio kumwangamiza Adui tu moja kwa moja ni jumla ya athari zote zinazopatikana baada ya Vita , Hao Hamas tuseme vita ikiisha ndio wanaanza moja , upande wa majirani zao wanaendelea na maisha yao kama kawaida licha ya athari chache.
Ukubali ukatae ukweli ni kwamba Israeli kafanikiwa maana siku zote malengo ya Israeli ni kuona pale Gaza hapaendelei kwa namna yoyote ile na sasa wamepageuza magofu.
Hayo mengine kwa Hamas kuleta ukinzani ni kawaida ikionyesha kwamba alijipanga , Katika vita unaweza kuwa na siraha imara lakini ukakosa mbinu ya kutumia siraha zako kumfikia adui, Hamas walijijengea Local defensive mechanism na hapo ndio walifanikiwa , hapo nawapa tick.
 
Poleni, jamaa wamekunjwa mkao fulani hivi

575376
Israhell wataendelea kupelekewa moto mpaka wakimbie ghaza mazima yaaani
 
Labda tuelimishe maana ya ugaidi!!

Inawezekana mna maana mbili tofauti vichani mwenu
Ukiingalia sirikali ya israhell tu utaujua ugaidi
Hamas kama wangekua hawapigani na magaidi hii SMO yao ingekua ishaisha zamani sanaaaaaaaa
 
Unatakiwa kujua kuwa Israel inapigana na mataifa mengi ya Kiarabu ambayo yanawapa backups HAMAS nyuma ya pazia.
Kile ni kikubdi cha kigaidi ambacho hakiwezi kushindana na Nchi ya Israel
Afadhari hao wenye backups nyuma ya pazia. Israel yeye washirika wake wako waziwazi. So ushirika siyo issue maana hayo mambo walikuwa wanayafahamu
 
Ntaupitia nishauona ila hakuna mageuzi wala mageuzi
Huyo mzayuni wenzake wanafyekwa kule ghaza
Naye ajiandae

Huko tunapeleka kiti moto hivi karibuni, yajayo yanafurahisha.

20221113_154936-jpg.2890076
 
Back
Top Bottom