Tuweke Ushabiki Pembeni Simba Mnaionaje timu Yenu?

Tuweke Ushabiki Pembeni Simba Mnaionaje timu Yenu?

Uto bhana yaani kipindi hicho cha akina Miquissone mlikuwa mnasema Simba inapuliza sumu vyumbani Kwa wapinzani hivyo haina ukali wowote.

Leo hii mnasema ile Simba ilikuwa Kali. Kiufupi ni kwamba kinachosemwa na mwana uto Kwa tukio la sasa husikiamini subiria miaka kadhaa akili ikimjia na hapa ndio uthibitisho wa kauli ya Manara unatimia.
Haziwatoshi hao

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Simba ya msimu uliopita na msimu huu ni mbovu hilo halina ubishi.

Kuweka hizo namba namba ndo umerahisisha kudhihirisha ujinga wa kuaminishwa na ushindi wa mbinde nyumbani.

Sio mda mrefu mtaanza kulalama humu.

Ni wazi simba bado haina muunganiko mzuri tofauti kabisa na yanga, anaebisha hili ni shabiki maandazi.
Kama haina muunganiko na inawazidi magoli ya kufunga unadhani ikipata muunganiko itakuwaje?

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kocha mpya anahitaji mda kuunganisha team.
 
Yaaan ukiangalia comments za Wana utopolo juu ya Simba binafsi nimekuwa nikijiuliza maswali yafatayo

1. Tangu Lin adui yako akushauri vitu vya kujenga?

2. Je timu yao inatandaza soka la kutisha Sana kias kwamba Wana haki ya kushauri kwa jilani wakaacha yao??

3. Kweli yanga wanakikosi Bora mno mwaka huu?? , kinatofauti gani na kikosi Cha msimu huu??

4. Je yanga hizi mechi mbili walizocheza wamefunga goli 8 au kumi Hadi mseme mnatisha?? Au Ile flook ya dabi ndio inawapa kichwa kusahau uharo wenu??

5. Kuna mijinga, na nimshabiki pori inasema et sis tunacheza kwenye uwanja mbovu, je vibonde wa Uganda vipers mlicheza nao mkiwa uwanja wa manungu?

6. Utasikia tuna Aziz k , sawa ni mchezaji mzuri Sana ,, lakin je ni mzuri kias hicho mnavyotuaminisha had Kuna mipupu inadiriki had kumlinganisha na Chama ambaye mwenzake Kila mechi unaona impact yake??


7. Unaponda usajiri wa Simba , je bigirimana , kambole ,lomalisa ndio usajiri Bora??

Sikilizeni nyie


1. Kimataifa mtamtoa zalan fc tu,, Hawa nao kutokana na Hali yao tu na sivinginevyo kwann ansema mnayoyafanya ligi ya ndani hamwez kuyafanya kimataifa hamna njaa kule babu!! Au huwez kwenda kuchumbua uwanja wa watu wakawaacha hiv hiv


2. Had mhandisi anamaliza Muda wake hata makundi tu ya Caf hamgusi, labda majianti yaweke nguvu kwenye Africa super Caf
Hata Pitso alivyokuja kuwaona mabingwa wa nchi na unbeaten hakuamini team imetwaa ubingwa inacheza mpira mbovu vile aliwaambia hakuna wachezaji wakuwavusha yanga kimataifa pale zaidi ya kufuruhia kuifunga simba ule mpira waliocheza simba kipindi cha kwanza ndo kipimo cha kimataifa waache wajipe matumaini simba mwaka jana ilikuwa mbovu lakini ilikuwa tofauti na utopolo kimataifa.
 
Shida ya Yanga mfungaji ni mmoja tuu ambaye ni mayele Simba kuna mgawsnyo wa magoli
Okrah 1
Phili 2
Dejan 1
Chama 1


Hii kitu yanga inawatesa simbabimerudi ile na msimu huu gari likija kuwaka tunamaliza na goli 100

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
We boya uwe na kumbukumbu usiwe unakurupuka kama mdudu wa chooni, yanga kaweka goli 4 ugenini na mgawanyo ni huo mayele goli 2, mwamnyeto 1, morrison 1, sijui mgawanyo wa magoli unaosema ni upi? Na hapo wenzenu wamecheza kwenye viwanja vigumu wakati timu yako ikiwa kwa mkapa mechi 3 mfululizo ikipata magoli kwa mbinde sijui wakianza kutoka mikoani itakuwaje
 
Shida ya Yanga mfungaji ni mmoja tuu ambaye ni mayele Simba kuna mgawsnyo wa magoli
Okrah 1
Phili 2
Dejan 1
Chama 1


Hii kitu yanga inawatesa simbabimerudi ile na msimu huu gari likija kuwaka tunamaliza na goli 100

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Morisson nae katupia juzi,hata mwanyeto kwetu anafunga

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Nikiikumbuka ile simba ya akina Miqussone,Morisson,Chama,Kagere..nikilinganisha na hii simba mpya ya akina okwa,phiri na mzungu....naona bado watani pengine hawajamaliza usajiri,sijui kwa kikosi hiki kimataifa hawa wenzetu wanaendaje,mechi ya pili kwenye ligi wameonyesha kustruggle sana kupata point 6...
Tuwaulize wana simba au nyie mnaionaje timu yenu?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Yaani we Utopolo umeshiba kipiro kwa shemeji yako unaanza kuishauri TIMU KUBWA. Mbona Utopolo hamfungui nyuzi za kuijenga timu yenu? Unafiki tu. Tangu lini adui akamtakia mema adui yake?

Kamshauri Haji awe mstaarabu, asiwe kama punda shukrani yake mateke.
 
Yaaan ukiangalia comments za Wana utopolo juu ya Simba binafsi nimekuwa nikijiuliza maswali yafatayo

1. Tangu Lin adui yako akushauri vitu vya kujenga?

2. Je timu yao inatandaza soka la kutisha Sana kias kwamba Wana haki ya kushauri kwa jilani wakaacha yao??

3. Kweli yanga wanakikosi Bora mno mwaka huu?? , kinatofauti gani na kikosi Cha msimu huu??

4. Je yanga hizi mechi mbili walizocheza wamefunga goli 8 au kumi Hadi mseme mnatisha?? Au Ile flook ya dabi ndio inawapa kichwa kusahau uharo wenu??

5. Kuna mijinga, na nimshabiki pori inasema et sis tunacheza kwenye uwanja mbovu, je vibonde wa Uganda vipers mlicheza nao mkiwa uwanja wa manungu?

6. Utasikia tuna Aziz k , sawa ni mchezaji mzuri Sana ,, lakin je ni mzuri kias hicho mnavyotuaminisha had Kuna mipupu inadiriki had kumlinganisha na Chama ambaye mwenzake Kila mechi unaona impact yake??


7. Unaponda usajiri wa Simba , je bigirimana , kambole ,lomalisa ndio usajiri Bora??

Sikilizeni nyie


1. Kimataifa mtamtoa zalan fc tu,, Hawa nao kutokana na Hali yao tu na sivinginevyo kwann ansema mnayoyafanya ligi ya ndani hamwez kuyafanya kimataifa hamna njaa kule babu!! Au huwez kwenda kuchumbua uwanja wa watu wakawaacha hiv hiv


2. Had mhandisi anamaliza Muda wake hata makundi tu ya Caf hamgusi, labda majianti yaweke nguvu kwenye Africa super Caf
Tulishakataza kujielezea sana.
 
We boya uwe na kumbukumbu usiwe unakurupuka kama mdudu wa chooni, yanga kaweka goli 4 ugenini na mgawanyo ni huo mayele goli 2, mwamnyeto 1, morrison 1, sijui mgawanyo wa magoli unaosema ni upi? Na hapo wenzenu wamecheza kwenye viwanja vigumu wakati timu yako ikiwa kwa mkapa mechi 3 mfululizo ikipata magoli kwa mbinde sijui wakianza kutoka mikoani itakuwaje
Mwamnyeto nae ni mfungaji? Au Morrison lini kafunga hata goli 7 kwenye ligi?

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Ndomana kam mnakumbuka msimu uliopita mlivyokua mnalazimisha mayele awe mfungaji bora mkajikuta mnadondosha points kwani Mayele akikamiwa shughuli imeisha...msimu uliopita Ntibazonkiza alikua anaficha madhaifu ya mayele pindi mambo yakienda kombo pia Feisal alikua form sana sasa msimu huu Feisal karudishwa shimoni kazi mtakua nayo msimu huu

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
We boya uwe na kumbukumbu usiwe unakurupuka kama mdudu wa chooni, yanga kaweka goli 4 ugenini na mgawanyo ni huo mayele goli 2, mwamnyeto 1, morrison 1, sijui mgawanyo wa magoli unaosema ni upi? Na hapo wenzenu wamecheza kwenye viwanja vigumu wakati timu yako ikiwa kwa mkapa mechi 3 mfululizo ikipata magoli kwa mbinde sijui wakianza kutoka mikoani itakuwaje
Kwambinde imeshinda goli 5? Au kwakua wenye akili ni wawili tuu huko utopoloni?

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Simba ya msimu uliopita na msimu huu ni mbovu hilo halina ubishi.

Kuweka hizo namba namba ndo umerahisisha kudhihirisha ujinga wa kuaminishwa na ushindi wa mbinde nyumbani.

Sio mda mrefu mtaanza kulalama humu.

Ni wazi simba bado haina muunganiko mzuri tofauti kabisa na yanga, anaebisha hili ni shabiki maandazi.
mashabiki wa Kolo Fc na viongozi wao wote ni oya oya hawajielewi kila wakijaa kwenye 18 tutawapasua badala ya kujenga timu yao mbovu wanadai Yanga inashinda nje ya uwanja nasisi Utopolo tunasema Makolo lete Mzungu wengine wote butu!!
 
Yaani we Utopolo umeshiba kipiro kwa shemeji yako unaanza kuishauri TIMU KUBWA. Mbona Utopolo hamfungui nyuzi za kuijenga timu yenu? Unafiki tu. Tangu lini adui akamtakia mema adui yake?

Kamshauri Haji awe mstaarabu, asiwe kama punda shukrani yake mateke.
Hapana ndg kwenye shida tunasaidiana japo.mawazo

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
mashabiki wa Kolo Fc na viongozi wao wote ni oya oya hawajielewi kila wakijaa kwenye 18 tutawapasua badala ya kujenga timu yao mbovu wanadai Yanga inashinda nje ya uwanja nasisi Utopolo tunasema Makolo lete Mzungu wengine wote butu!!
Yaani mzungu kufunga goli basi wamehamiahwa kifikra kabisa.

Hata wale wanajf kindakindaki wa simba waliokua wanasema kweli tupu kuhusu timu yao nao wameuvaa huo mkenge wa mzungu kufunga goli.
 
Akili za utopolo na maccm ndio janga la hii nchi wenye akili ni wachache mnoo
Simba hii ya ku ungaunga ni kama Yanga yetu ya akina Saprong na Ykpe tunaongoza ligi lakini tunajua timu hatuna [emoji3][emoji3][emoji2]
Chini ya Hersi Said, Simba vikombe msahau.
Mbaka mtakapo piga magoti na kutubu kwanini mli mhujumu Manji kupitia Makonda
 
Back
Top Bottom